Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

Nimekupata sawia mzee wangu [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A spot ipo ndani kabisa jirani na what so calles kizazi, lakini ni mlango wa kizazi (cervix), kama una kibamia hufiki hata umkunje vipi.




Na U-apot (wengine wanaiita C-spot) ipo juu juu chini ya kigoroli, angalia video

James Jason
Asante mzee,nimefuatilia kwa umakini hizi video na maelezo yake,sasa nimeelewa hizi sehemu mbili za muhimu.

Mkuu dunia tuliyonayo sasa taarifa ni nyingi na zinapatikana kirahisi tofauti ya enzi zenu,shida iliyopo ni wapi utapata taarifa sahihi maana mtandaoni kuna kila aina ya takataka.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana jitahidini msome vitabu hivi vitatu, mtajifunza mengi:-

1. "The Perfumed Garden" - Umar ibn Muhammad Nefzawi - 15th Century

2. "French Sex Art Manners" - Georges Valensin - 1970

3. "Kama Sutra' - Vatsyayan Richard Francis Burton

James Jason
 
Hapana, nimekosea, nafikiri nilichanganya na mdogo wake mwingine aliyezaliwa wakati huo. Bila shaka Ruti alizaliwa nikiwa naenda darasa la kwanza hivi.

Nimesharekebisha na ahsante kwa kufuatilia kwa umakini.

James Jason
Shukran 🙏🙏🙏
 
Hicho cha kwanza nadhani ni "The perfumed garden" sio mzee wetu?
 
Aaaa wapiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante nitavitafuta kwa namna yoyote,maana sina uhakika kama nitapata soft copy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…