Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

Sana sana ilikuwa romance tu

Tabia ya kupigia kwenye gari walianza Waarabu miaka mingi, kuna gari maalum walizi-custumise na kuwa na 'bed' kwa ajili hiyo, dereva anazurura tuu high way kumbe wapenzi wanamalizana ndani...

Stori nyingine hii.

Ila baadaye Wazungu na wamarekani wakaanza kutengeneza magari yanayo support sex-intercourse, miaka mingi sana

James Jason
Nimekupata sawia mzee wangu [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A spot ipo ndani kabisa jirani na what so calles kizazi, lakini ni mlango wa kizazi (cervix), kama una kibamia hufiki hata umkunje vipi.





Na U-apot (wengine wanaiita C-spot) ipo juu juu chini ya kigoroli, angalia video


James Jason
Asante mzee,nimefuatilia kwa umakini hizi video na maelezo yake,sasa nimeelewa hizi sehemu mbili za muhimu.

Mkuu dunia tuliyonayo sasa taarifa ni nyingi na zinapatikana kirahisi tofauti ya enzi zenu,shida iliyopo ni wapi utapata taarifa sahihi maana mtandaoni kuna kila aina ya takataka.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mzee,nimefuatilia kwa umakini hizi video na maelezo yake,sasa nimeelewa hizi sehemu mbili za muhimu.

Mkuu dunia tuliyonayo sasa taarifa ni nyingi na zinapatikana kirahisi tofauti ya enzi zenu,shida iliyopo ni wapi utapata taarifa sahihi maana mtandaoni kuna kila aina ya takataka.


Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana jitahidini msome vitabu hivi vitatu, mtajifunza mengi:-

1. "The Perfumed Garden" - Umar ibn Muhammad Nefzawi - 15th Century

2. "French Sex Art Manners" - Georges Valensin - 1970

3. "Kama Sutra' - Vatsyayan Richard Francis Burton

James Jason
 
Hapana, nimekosea, nafikiri nilichanganya na mdogo wake mwingine aliyezaliwa wakati huo. Bila shaka Ruti alizaliwa nikiwa naenda darasa la kwanza hivi.

Nimesharekebisha na ahsante kwa kufuatilia kwa umakini.

James Jason
Shukran 🙏🙏🙏
 
Vijana jitahidini msome vitabu hivi vitatu, mtajifunza mengi:-

1. "The Peedumed Garden" - Umar ibn Muhammad Nefzawi - 15th Century

2. "French Sex Art Manners" - Georges Valensin - 1970

3. "Kama Sutra' - Vatsyayan Richard Francis Burton

James Jason
Hicho cha kwanza nadhani ni "The perfumed garden" sio mzee wetu?
 
Mpaka huu Uzi uishe 50% ya wasomaji watakuwa wamesilimu. Mana Kuna tactics za hali ya juu kufundisha basics za uislamu. Good approach. Mpaka Sasa nimeshajua kwamba ukilitaja jina la mtume Mohamad unapaswa kumalizia na na maneno "Amani na neema za Allah ziwe kwake"

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaa wapiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana jitahidini msome vitabu hivi vitatu, mtajifunza mengi:-

1. "The Peedumed Garden" - Umar ibn Muhammad Nefzawi - 15th Century

2. "French Sex Art Manners" - Georges Valensin - 1970

3. "Kama Sutra' - Vatsyayan Richard Francis Burton

James Jason
Asante nitavitafuta kwa namna yoyote,maana sina uhakika kama nitapata soft copy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom