Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

hivi na yale maji (squirting) yanatoka wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi na yale maji (squirting) yanatoka wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye mfumo wa kutoa uchafu kwa njia ya majimaji kwenye mwili

Ingawaje maji haya yanapitia kwenye njia ya mkojo, lakini 99% si mkojo, hayana UREA ama Nitric Acid, hayana utelezi kama ute ule wa kuloanisha uke wakati wa maandalizi

Zingatia pia kuwa, ku-squirt na kufika orgasms ni vitu viwili tofauti ingawaje vyaweza kutokea kwa pamoja (sanjali)

Vile vile viwango wa maji hutofautiana kati ya mwanamke na mwanamke, na siyo wanawake wote wenye uwezo wa kuyatoa na sababu zipo nyingi lakini wanawake wote wakifanyiwa inavyopasa LAZIMA yatatoka...

Somo lingine hili lahitaji uzi wake

James Jason
 
Leo ni ile j2....
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi ikiisha hiii usisite kufungua Uzi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa heshima kabisa fikiria namna ya kutuletea hili somo,utabidi uwe mwalimu tu hapa,hakuna namna,(ukipata muda)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kati ya g,a na c/u spot ipi inamletea mwanamke mzuka zaidi ili afike orgasm ama a squirt?
Na pia kipi kinampa mwanamke raha zaidi kati ya orgasm ya kawaida na squirt?
Natanguliza shukrani kwa darasa la bure.
 
Wewe ni mkweli sana na kweli huna kisomo kama ulivyojieleza. Wewe 'ela' tafuta mwenyewe sisi tunafuta HELA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…