Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

SEHEMU YA NANE
*******************

Siku ya Jumapili nilitulia nyumbani kwa ajili ya kunyoosha nguo na kujisomea.

Baadaye nilianza kufikiria jinsi ya kuanza kumtongoza Hamida.
******

Enzi hizo kupata mpenzi wa kudumu naye unasotea haswa, hasa katika mazingira magumu kama haya ya geti kali na msimamo wa kidini.

Kwakuwa tayari nimepata tiketi ya kuwa na Yasir siku nne kwa wiki japo kwa saa chache, niliona ni nafasi nzuri ya kutimiza azma yangu...

Siku ya Jumatatu niliwahi afisini kama kawaida yangu, niliingia huku napiga mluzi

"Karibu boss, habari za asubuhi? Marry alinisalimu wakati naingia afisini kwangu...

" Njema sana bibie, ukimaliza kazi zako uje afisini" nilimuambia.

Nilifanya kazi baadaye nikaletewa chai, nikamwambia Marry aketi niongee naye huku nakunywa chai...

"Zoezi la kumnasa mwarabu limeanza, Ijumaa nimesilimu" kikanyanyua kikombe nikanywa chai kidogo

"Enhe!" Alishabikia

"Ndiyo hivyo, sasa naitwa Jamaal, japo sinto badili kwenye makaratasi kiserikali, ila wewe tambua mimi ni Muislamu na jina langu ni Jamaal" niliendelea

"Huyo bibie kweli amekuweza, yani ulivyokuwa hushikiki leo umetulizwa, kweli hakuna mkate mgumu kwenye chai" aliongea huku akicheka.

Marry tunaelewana sana, wakati mwingine nilikuwa namshirikisha kufanikisha kupata warembo wa kustarehe nao, yaani kifupi nilikuwa kiwembe balaa!

Lakini tangia nimuone Hamida mara ya kwanza, nikawa kama pepo la uzinzi limenitoka vile, maana sikutamani tena wanawake. Nilikuwa namtaka yeye tu, hadi nimpate tena kwa kumuoa kabisa.

Tuliendelea kuongea na Marry hadi walipoingia wageni, mie nikaendelea na kazi zangu naye akawahudumia wageni (wateja)
****

Muda wa kutoka kazini ulipowadia nilienda nyumbani, nikabadili nguo kisha nikaelekea kwa mzee Burhani kwa mwalimu wangu Yasir.

Tulianza masomo ya Qur'an, alianza kunifundisha herufi za kiarabu, (abt... Aliif, bee tee..) Hadi mwisho na kuniambia nizidurusu hadi nizikariri hadi mpangilio wake. Alinifundisha herufi 30 japo aliniambia zipo zingine lakini kwa mpangilio wa kuzichanganya.

Aliporidhika ninazitamka vizuri, alitoka akaniacha na kuniambia niendelee kuzisoma zote kwa sauti (siyo ya juu bali ya kusikia) hadi atakaporudi.

Sehemu niliyokuwa nasomea ilikuwa chumba kinginge ambacho huwa wanakitumia kuswalia wanaoswalia nyumbani.

Chumba si kikubwa kama pale sebuleni, kuna zulia zuri la kijani, kuna miswala iliyokunjwa mitano, hakuna vitu vingine bali misahafu.

Kabla ya jua kuzama, nikaona mtu anaingia, kumbe Hamida, mkononi ameshika bilauli...

"Pumzika kidogo, nimekuletea togwa..." Alisema

Nikaacha kusoma, nikapokea na kumuuliza

"Na hili umelitengeneza wewe?!

"Hapana leo sijaliandaa mimi, ma-mkubwa ndiyo ameandaa" alijibu.

"Ahaa, basi kesho niandalie kinywaji utakachotengeneza wewe" nilimuambia

"Unafikiri mie sijui, ndiyo fani yangu ati" alisema kwa kulegeza ulimi ile lafudhi ya kimombasa

"Haya basi nione ufundi wako hiyo kesho" nilimjibu. Kisha akatoka.

Mara Yasir akaingia na adhana ya magharibi ikaanza.

"Twende zetu masjid" Yasir alisema

Bila kujibu kitu nikainuka, tukatoka nje na kuelekea msikitini.

Njiani aliniuliza kama nimehifadhi herufi zote, nikamwambia tukitoka msikitini nitamsomea ili ahakiki.

Baada ya ibada tulirudi kwao na kuingia chumba kile kile cha kusomea na akaanza kunisikiliza.

Kuna herufi chache nilikuwa nakosea kuzitamka ipasavyo, akanirekebisha kisha akaniambia ngoja akanunue daftari ili niziandike.

Kumbe wakati nasoma, walikuja akina Hamida, mama yake na mama mkubwa kwa nje (koridoni)/walikuwa wananisikiliza...

Hamida akaingia na kuniambia...

"Ma shaa Allah hodari kumbe, mara hii umehifadhi!..."

"Kwani umenisikia?" Nilihoji

"Eeee, wote tumekusikia kasoro baba tu yeye hajarudi, tulijibanza kwenye korido"

"Namshukuru Mungu, lakini naamini ukinifundisha wewe, nitahifadhi kwa haraka zaidi" nilichombeza kwa sauti ya chini kidogo

"Mmh, makubwa" alisema huku akaondoka kwa kuwa mlango mkuu ulikuwa unasukumwa.

Aliyeingia alikuwa mzee Burhani.

"Assalaam aleikum yaa Jamaal" alinisalimu huku akiingia mle chumbani

"Wa aleikum salaam" nilimjibu.

"Sasa leo tujifunze namna ya kusalimia kwa kirefu" mzee alianza somo lake lisilo rasmi...

"Assalaam aleikum wa rahmatullah wa barakatu, hii ndiyo salamu bora kwa waja kusalimiana" aliendelea

"Maana yake ni kwamba, amani ya iwe kwenu na rehema za Allah na baraka zake" aliendelea

"Kujibu kwake ni, wa aleikum salaam wa rahmatullah wa barakatu, na maana yake ni kwamba, nanyi iwe kwenu hiyo amani, na rehema za Allah pamoja na baraka zake" kisha akaendelea.

"Kusalimia ni sunna, yaani ni jambo tulilohimizwa kufanya na ambalo Mtume (rehema na amani zimwendee) alikuwa akifanya" kisha akaendelea...

"Kujibu salamu ni fardhi, fardhi maana yake ni wajibu, hivyo ukisalimiwa ni wajibu kurudisha salaam. Usiporudisha unapata dhambi. Lakini usiposalimia hupati dhambi japo utakosa faida nyinginezo kama utakavyofundishwa siku za usoni" alimaliza na Yasir akawa anaingia...

"Haya, andika herufi zote kwa kufuatisha kama zilivyo kwenye kitabu, hakikisha unaziumba vizuri" Yasir aliniambia baada ya kusalimia.

Wakaniacha nikaendelea na uandishi, haikunichukuwa muda kumaliza, maana na herufi 30 tu. Nikawa tayari.

Muda wa swala ya isha tukaenda kuswali, tukarudi, pia siku hiyo nilikula hapo vyakula vizuri laini laini, ilikiwa tambi za nazi, mikate ya boflo na mchuzi wa samaki (koana) na vidubwashika vingine vidogo vidogo.

Mazungumzo yaliendelea, nikajiona ni kama sehemu ya familia ya mzee Burhani.

Saa nne kasoro niliaga na kuelekea nyumbani.

Kidogo kidogo ratiba zangu zilianza kubadilika.

'Maggot' ziendi tena, 'Tazara' siendi, 'Mboye' siendi, Sikinde tu tena Kariakoo ndio mara moja moja nilikiwa nahudhuria nikiwa kijana mwenye utulivu, ratiba za sinema zikapungua pia.
*********

Nilisomeshwa na Yasir kwa siku tatu tu, taarifa zilikija kuwa lori lake lipo tayari hivyo Alhamisi waliondoka yeye na Abdul kuelekea Kahama.

Siku hiyo ya alhamis nilifika kama kawaida kwa mzee Burhani majira ya saa kumi na nusu hivi, nilikaribishwa vizuri na mama mkubwa, kisha nikaingia chumba cha kusomea.

Mara mama Warda (mama yake Hamida pia) akaingia na kuniambia kuwa Yasir amesafiri leo, hivyo durusu aliyokufundisha, mzee akirudi atakufanyia utaratibu upate maalim wa kukuendeleza.

Nilimjibu kuwa hakuna neno, nitajitahidi kusoma kwa bidii.

Da, nakumbuka siku hii nilisoma kwa sauti ya juu kidogo ili walio vyumba vingine wasikie kama kuna sehemu nakosea basi wanisahihishe.

Nilisoma mara kadhaa na kumaliza nilipoishia na kurudia tena na tena, baadaye Hamida akaja na bilauli...

"Nimekuletea kinywaji kingine leo, ni juisi ya furusadi" alisema Hamida huku akinipatia...

"Bila shaka umeiandaa wewe" nilisema huku naipokea

"Hapana, hii aliandaa mama, mie leo nilitika kidogo, nimerudi muda mchache kabla hujafika" alijibu

Kisha akaendelea...

"Halafu nimekusikiliza kuna sehemu unakosea kutamka..., siyo zwadi, ni dhwad, tamka kwa kujaza ulimi mdomoni..."

"Dhwad" nikajaribu,

"Enheee, hivyo umepatia" akaendelea

"Sasa rekebisha matamshi kwenye fatha'a, na fatha'a ten an, yaani kwenye dhwad."

Nikajaribu, nikaweza, akanipongeza kisha akaketi pembeni yangu kwa nyuma kidogo wote tukiangalia uelekeo mmoja na kuniamuru nisome kuanzia mwanzo...

Nikawa nasoma, na kila nilipokosea ananirekebisha papohapo...

Hali iliendelea hivyo hadi baba yake akaja na kukuta ananisomesha vizuri, akaingia akatuangalia kisha akatoka kwenda sebuleni.

Naye hakukaa muda mrefu akaenda sebuleni, mie nikawa naandika ili yakae vizuri kichwani.View attachment 1343892

James Jason
Safi sana hii story nasoma na kupata picha kichwan kama nami nilikiwepo ktk mazingira hayo very very interesting hongera mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"ROSE"
****"***

Mwaka 1977, mwezi sita tarehe ishirini mwanzoni, ilikuwa majira ya alasiri nipo bandarini Dar es Salaam nasubiria turuhusiwe tuingie ndani ya meli, Ms Mtwara. Safari yangu ilikuwa inaishia Lindi, kazi fulani hivi ya muda mfupi.

Nilikuwa kijana barobaro mwenye mwili kama wanariadha, ndani ya ajira miezi sita ama saba hivi, mwenye shauku ya safari, na kwa mara ya kwanza ndio natarajia kupanda meli, kabla ya hapo sikuwahi kupanda chombo cha majini chenye kutumia injini ingawaje nilishawahi kupanda mtumbwi kuvuka mto Sibiti (Iramba / Meatu) na kuogelea nilikuwa najuwa hivyo sikuwa na hofu ya safari bali shauku ya kuona "dunia ya bahari" ilivyo.

Kusini ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda, njia ya barabara ilikuwa na changamoto sana enzi hizo hivyo njia nyepesi ilikuwa ni kupanda ndege (ndege za lift [emoji16] twin walter ama buffalo) ama meli (Mv Lindi ama Ms Mtwara).

Baada ya muda mfupi tukaruhusiwa kuingia ndani ya meli, nikaingia kisha nikaelekezwa sehemu yangu (daraja la pili). Nikaweka sanduku langu vizuri (chapa 'swata' au 'smata', sikumbuki vizuri.

Ndani ya apartment yetu nilimkuta abiria mmoja mzee wa makamo tayari amekaa anasoma gazeti, baada ya kumsalimia nikasimama jirani na dirisha nikiangalia mandhari ya bandari. Mara akaingia abiria mwingine lakini cha ajabu alikuwa mwanadada, akapigwa na butwaa kukuta ndani tupo wanaume wawili, akatoka nje, (alimfuata mhudumu ili aoneshwe sehemu yake.)

Haikupita muda mrefu akaingia abiria mwingine, mwanaume, kwa umri alionekana mkubwa kuliko mimi lakini hakuwa mzee.

Honi kadhaa zilipigwa kuashiria meli inataka 'kung'oa nanga' na kuanza safari, nikachungulia nje dirishani nikaona kuna mzee mmoja anaogelea kwa umahiri mkubwa akielekea upande wa mbele kumalizia kutoa kamba nene iliyoishikilia meli ibanane vyema na gati.

Honi ziliendelea na meli ikaanza kuondoka taratibu. Mara yule mdada na mhudumu walikuja kwenye apartment yetu, mhudumu akamsihi akae nasi kwa kuwa meli imejaa sana na apartment zote zilizokuwa na wanawake zimejaa.

Bila shaka kulikuwa na utaratibu wa kuwaweka wanaume peke yao na wanawake peke yao, au mchanganyiko wa kifamilia kweye daraja la kwanza na pili (lakini daraja la tatu ilikuwa ni mchanganyiko haswa - a.k.a kajamba nani).

Nikawa nazungumza ya yule abiria mwingine aitwaye John (siyo jina lake) kuhusu safri za baharini na mazingira ya huko tuendako, yule mzee wa makamo alikuwa bize na magazeti na dada alikuwa ametulia tu (sura iliyofura kwa hasira na labda woga.

Hali iliendelea hivyo hadi tulipotoka "nje" kabisa (nje = mbali na ufukweni / bandarini).

Hali ya bahari mara ikaanza kubadilika, upepo mkali ulikuwa unavuma lakini hakukuwa na mvua, bali mawimbi yalianza kuongezeka ukubwa. Nikamsikia John akisema "bora MV Lindi" haiyumbishwi sana, lakini hii leo tutakoma..."

Abiria huyu (John) niliyekuwa naongea naye alikuwa ni mwenyeji wa Mtwara na anapajuwa Lindi vizuri. Niliendelea kumuuliza maswali kadha wa kadha na yeye alikuwa akijibu kadri ya alivyokuwa anajuwa.
^^^^^^^^^^

Mara tukaona yule dada kama anahangaika hivi hatulii (akiwa amekaa), kisha akainamisha kichwa. Dada huyu alikuwa mweusi kiasi, ki umri alionekana mkubwa kwangu kama miaka miwili hivi, alikuwa amevaa gauni la rangi ya kahawia yenye "V" shingoni na mikono mifupi, halikuwa gauni refu sana lakini lilifunika magoti, alikuwa amevaa viatu ya kawaida vya ya rangi ya udhurungi vya kutumbukiza na hakuwa na mizigo bali begi lake la mkononi ambalo lilikuwa kubwa kiasi.

Ghafla yule dada akafungua mlango akatoka nje, mie nikabaki nashangaa, jamaa yangu akaniambia kuwa amezidiwa huyo ameenda kutapika. Jamaa akaniuliza kama nilishawahi kusafiri majini, nikamjibu hapana, akaingiza mkono kwenye mkoba wake akatoa ndimu ananipatia, akaniambia ukihisi kichefuchefu nusa hiyo ndimu.

Tulikuwa tayari tumeshakuwa mbali kabisa na nchi kavu na jua la magharibi lilianza kuonesha miale yake mizuri ya dhahabu, hali ya bahari bado haikuwa shwari, mawimbi yaliendelea kuzidi.

Mara yule dada akarudi huku akihema na kuyumbayumba, akaketi, 'akajiinamia'

Wakati huo wote hatukuwa tumeongea naye, alionekana kama ana kisirani fulani hivi hivyo tuliepusha kubadilishana lugha zisizofaa.

"Dada, chukuwa hii, inusenuse itakusaidia", hatimaye nilivunja ukimya kwa kumpa ile ndimu niliyopewa.

"Ahsante" alisema huku akinyoosha mkono na kuichukuna na kuanza kuinusa. Lakini haikupita muda akainuka tena kwenda nje, safari hii nami nikamfuata. Akaingia maliwatoni, nikawa namsubiria kwa nje. Haikupita muda mrefu akatoka, akaniuliza na wewe unataka kutapika? Nikamjibu hapana, bali nilikufuata wewe nilidhani utahitaji msaada.

Ikawa sasa tumefungulia mzungumzo, nikamwambia , tusirudi ndani, tushuke daraja la tatu labda utapata nafuu. Tukashuka, lakini haikusaidia, kila akiona mtu anatapika naye anajibu kwa kutapika (kwa wale wasafiri wa mara kwa mara wa majini wanafahamu hali hii)

Abiria walitapika sana, na meli ilikuwa imejaza haswa! Tukaamua kurudi kwetu huku tunayumbayumba.
=
=
=

Giza likaingia, hali haikutulia, baada ya muda kupita tukatangaziwa kuwa meli itasitisha safari kwa muda hadi kupambazuke, kisha ikaelekea bandari ya wapi sijui ndio Kilwa ikashusha nanga nje kidogo ya 'bandari'.

Maeneo tulipotia nanga bahari ilikuwa ya mawimbi madogo kiasi cha kufanya kuwa na utulivu mkubwa melini. Hakuna kutapika tena, na watu walianza stori za hapa na pale. Hamu ya chakula cha jioni ikàanza.

Abiria wengi walikuwa wamebeba vyakula vyao, lakini mimi sikubeba chakula, wala yule jamaa yangu (John) wala yule binti. Tukaenda wanapouza vyakula (ndani ya meli) tukanunua wali mbaazi na kurudi chumbani na kuanza kula. 'Mchele kitumbo' haukuwa na ladha tamu lakini mbaazi zilikuwa tamu balaa [emoji39]. Yule 'mzee wa magazeti' akatoa vikopo vya nyama ya kopo na biskuti zake na juisi (orange squash) akachanganya na maji ya kwenye bomba akawa anakula na kunywa. Alitugawia sote ile juisi, ilikuwa nzuri sana na katika kuzungumza naye tukajifunza kuwa alikuwa ni askari wa Jeshi la wananchi.

Poleni kwa maelezo marefu, sikuwa na hata wazo la kula 'tunda kimasihara' hadi hapo.
^^^^^^

Katika mazungumzo na huyo dada nikajuwa kuwa anaelekea Lindi pia, ameajiriwa na ndio 'first appointment' yake lakini alienda Dar Utumishi kufuata nyaraka zake nyingine muhimu, hivyo hii kwake ilikuwa mara yake ya pili kusafiri baharini, na Lindi pale ni Mwalimu katika Shule ya msingi fulani hapo mjini.

Tuliendelea na stori za hapa na pale hadi usiku wa manane yule dada akawa hoi kwa usingizi, tukamruhusu apande 'deck' ya juu kulala. Yule mzee naye akajilaza chalichali 'deck' ya chini, mie nikapanda deck ya juu yake na chini ya yule dada akalala jamaa yangu John.
=
=
=

Nilistushwa na honi ya meli, kuchunglia dirishani kumbe kumekucha kabisa, na meli ilikuwa inang'oa nanga.

Hali ya bahari ilikuwa shwari kabisa. Nilipiga mswaki (kutumia dawa ya meno bonamed) na kunawa uso, wengine pia walifanya hivyo na safari iliendelea tukiwa sasa tumezoeana kama tuliwahi kufahamiana kabla.
=
=
=

Hatimaye meli ilifika Lindi bandarini. Tuliamua kuongozana wote pamoja wakati wa kushuka kwenye meli. Tulikaguliwa (ukaguzi wa kawaida) na maafisa wa bandarini kisha kuruhusiwa kuendelea.

Mbele alikuwa yule mzee, akifuatiwa na John, mimi kisha yule dada. Nikaiona Lindi na watu waliochangamka. Tukafika sehemu za kuegeshea magari na teksi.

Yule mzee alifuatwa na Landrover 108 chasis fupi ya jeshi, tukabaki watatu (ofcourse pamoja na abiria wengine wengi waliokuwa aidha wakiwasubiri wenyeji wao ama usafiri, wengine waliendelea kutawanyika kwa kutembea.

Dereva mmoja hivi mtanashati akatufuata na kutusalimia, "mnaelekea wapi nikupelekeni?" Aliuliza. Kwa kuwa tulikuwa tumesimama pamoja alidhani safari yetu ni moja yule, John akamjibu tupeleke posta kwanza (siyo mbali kutoka bandarini), kuna simu alikuwa anataka kupiga.

Enzi hizo simu zilikuwa za waya, unaenda Shirika la "posta na simu" unaikuta simu zile za kuingiza sarafu. Waliobahatika walikuwanazo zile za kukoroga (unazungusha 'hendeli" kisha unapokelewa na mhudumu anakuunganisha na namba unayotaka. Baadaye zikaja zile za mezani za kukoroga kwa namba, hii ilikuwa ya kisasa sana enzi hizo)

Ukimpata 'operator ' wa simu, naye anahangaika kukutafutia namba uliyotaka, akiipata ndipo anakupigia hapo ulipo (kama ni kibandani au nyumbani ama ofisini) kisha anakuunganisha. Haikuwa ajabu kusubiri kwa zaidi ya nusu saa kupata namba unayotaka.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Tukaingia kwenye teksi, dada mbele, sisi siti za nyuma na dereva akachukuwa sanduku langu na mkoba wa John akaweka kwenye buti. Hao tukaanza kuelekea Posta.

Teksi ikafika Shirika la posta na simu, John akaenda ndani, kwenye teksi tukabaki watatu, yaani, dereva, yule dada na mimi. Dereva wa teksi alikuwa mcheshi na mzungumzaji mno, alituuliza habari za safari tukamjulisha hali ilivyokuwa, tuliendelea na stori mbili tatu, hatukuwa 'bored'

Baada ya nusu saa kupita yule dereva akasema ataongeza gharama ya muda wa kusubiri. Alikuwa dereva mstaarabu sana, nakumbuka jina lake mpaka leo, ndugu Mansoor. Teksi yake aina ya Peugeot 404, nafikiri ndiyo ilikuwa teksi iliyopambwa vizuri kuliko zote Lindi kwa wakati huo. Ilikuwa ya rangi ya maziwa, ndani kwenye 'driving mirror' alining'iniza sanamu ya ndege (shorwe) wa plastiki ambapo gari ikiyumba ile sanamu inatoa milio fulani hivi kama ndege wa porini, tairi zina 'wheel cap' nzuri za silva pia nyuma ameweka antena ya redio ndefu na uzito kidogo nchani na kuifanya iwe inayumbayumba. Hakika alikuwa anaipenda teksi yake. Wahenga wa waliokaa Lindi miaka hiyo ambao wamo humu watakuwa wanamfahamu Mansoor 'dereva teksi.'

Baada ya kama dakika kumi, John akaja, akutuambia bado hajapata simu aliyokusudia, hivyo alishusha mkoba wake, akaniachia noti mbili za shilingi kumi (20/-) na kuturuhusu tuendelee. Aliniuliza nitafikia wapi, nikamwambia kuwa nina mwenyeji wangu yupo National Housing baada ya kupanda mlima 'wapiwapi' (just a hill) laini namba (kapuni) nyumba namba (kapuni). Aliahidi kunitafuta kwa ajili ya kuendeleza urafiki.

Tulimwacha akiingiza mkoba wake ndani na kuendelea kusubiri simu, sisi hao tukaondoka. Nikamuuliza yule binti anashukia wapi, akajibu yeye anakaa maeneo ya Sokoine ndani ya hospitali. (hakuwa nesi) bali kuna ndugu yake ni daktari amefikia kwake. Lakini alitaka aende 'somewhere' Likotwa kufuata mayai kwanza (kulikuwa na ufugaji wa kuku wengi maeneo hayo), hivyo ruti tukaamua tuende Likotwa (sijui jina nimepatia maana ni miaka mingi) kisha turudi National Housing halafu amalizie Hospitalini.

Hadi muda huo wazo la kula tunda kimasihara wala halikuwepo, ilikuwa ni ujamaa tu ambao Nyerere alikuwa anajaribu kuujenga na wiki mbili baadaye nilimuona Nyerere "live" kwa mara ya kwanza pale Rahaleo uwanjani alipozuru Lindi.

Baada ya kuchukuwa mayai hao tulirudi hadi nyumba za 'National housing', tukapinda kulia kuacha njia kuu, tukafika 'line' husika tukapinda kushoto kuingia mtaani, macho yangu yote kwenye namba za nyumba, hatimaye nikaiona nyumba lengwa.

Kama mnavyojuwa nyumba za 'neshinali' wakati huo, zimenyooka kwenye mstari na nyumba mbili zimeungana (kwa hadhi ya nyumba zile), ukiingia unakutana na sebule, kushoto chumba na kulia chumba, kuna choo na bafu na jiko. Ndani kuna vitanda vya chuma "banco". Kulikuwa na mabakuli makubwa imara sana yameandikwa TG na messtin imara sana pia imeandikwa TG, jiko la "stove", taa za kandili pamoja na pasi chapa jogoo (ya mkaa).

Kulikuwepo na "kiti cha uvivu" kimoja (wahenga wanavijua hivi, siku hizi vipo vichache sana), pia ilikuwepo meza ndogo ya kahawa pamoja na viti viwili vya mbao mninga vya kukunja. (Kadiri ninavyoandika nakumbuka mengi lakini siwezi kuandika yote ngoja niwahi kwenye 'masihara")

Mlango husika ulikuwa umefungwa na hakukuwa na dalili ya mwenyeji ndani, nikashusha sanduku langu, mara akatokea jirani akatukaribisha na kunijulisha kuwa mwenyeji wangu amepatwa na dharura kidogo ameenda Mnazi mmoja huenda atarudi kesho, akanikabidhi funguo.

Kuanzia hapa shetani akaanza kufanya kazi yake, nikajikuta namwambia yule dada ashukie hapa tupumzike kidogo kisha nimsindikize kwake ambapo hapakuwa mbali kwa kutembea.

Nikamsaidia kushusha trei zake tano za mayai, nikamlipa dereva teksi hela yake na chenji nilimuachia (shilingi 5, hela ndefu wakati huo).

Jirani atakusaidia kuingiza sanduku langu, mie bize na mayai, dada na mkoba wake. Pale sebuleni jirani akatuacha akatoka kuendelea na mambo yake.

Wote tukawa tunashangaa shangaa mandhari ya ndani ya nyumba, hapakuwa vitu vingi kama nilivyoeleza hapo juu. Akiwa amekaa kwenye kiti nami kwenye kiti kingine tulipiga stori mbili tatu za kawaida huku nikimuangalia sasa kwa jicho la tatu.

Dada ameumbika vizuri, macho angavu, ndipo nilipoanza kuona kiuno kilivyogawika vyema, mtoto wa Kinyamwezi kutoka Tabora, kifuani chuchu saa sita na robo, 'mgongo' bambataa linalochipukia, rangi nyeusi asilia, nywele nyeusi zimefungwa mtindo wa 'mabutu', very simple and natural. Hakika Rose (siyo jina lake halisi) alikuwa ameumbika sana.

Nikawasha redio ya mbao (all transistor radio), stesheni ya Radio Tanzania, kisha nikamuacha sebuleni akiangalia magazeti yaliyopo kwenye meza ya kahawa nikaanza kukagua nyumba, chumba kimoja kilikuwa wazi (kimeshindikwa tu) na kingine kilikuwa kimefungwa kwa funguo (chumba cha mwenyeji), nikaingiza begi langu chumbani.
Trei za mayai pamoja na mkoba wake nikaweka chini ya meza (lakini siyo sakafuni), kisha nikaenda jikoni. Nilikuta kumeandaliwa staftahi (chai kwenye birika la bati, mikate, jam na Tanbond) [emoji39]

Nikaenda maliwatoni, nikaona pako sawa, nikarudi sebuleni ili kumuonesha 'dada' Rose wapi choo kilipo kisha nikawasha jiko (stove) kwa ajili ya kupasha chai. Chai ilikuwa inanukia vizuri sana (green lebel)

Ikumbukwe kuwa mwenyeji wangu alikuwa anatarajia niwasili mapema asubuhi lakini tulilazimika kuchelewa kwa sababu ya hali ya hewa (dhoruba) baharini.

Rose alivyotoka maliwatoni akanifuata jikoni, akaanza kunisaidia 'kuandaa meza'

Hakika tulikuwa na njaa, na tuliifakamia mikate yote iliyokiwepo jikoni.

Mida ilikuwa imeenda na matumbo yalikuwa yameshiba vyema. Kushiba kwa tumbo kulianzisha njaa nyingine ambayo sasa shetani alikuwa bega kwa bega nami....

...Nikamwambia akaoge, maana joto lilikuwa kali, chai pamoja na safari. Akaingia chumbani kujiandaa, mie nikabaki sebuleni nikisikiliza redio.

Hakyanani, kuna wanawake wameumbika jamani, 'si kwa Singida Dodoma ile', alipita amevaa khanga mbili, moja kajifunga kiunoni na nyingine amejifunga kuzuia matiti. Matiti yake hayakuhitaji sidiria japo alivaa wakati tupo safarini, sasa niliyaangalia vizuri japo yalifunikwa na khanga ya juu. Huku mnara mie upo juu hatari huku ukinesanesa ndani ya chupi yangu ya 'jinja' na kunifanya nihisi maumivu, fasta nikaingia chumbani na kufungua begi langu na kuchukuwa taulo na kujifunga baada ya kuvua nguo nilizovaa.

Paaap, nikaibana 'pipe' (dushe) kwa juu na taulo kuzuia Rose asione na kuifanya pipe isinesenese (kwa mtindo ule wa nataka tena)

Alichukuwa muda mrefu bafuni, sikutaka kumfuata; alipotoka nami nikaenda bafuni kuoga, nikaonana ameanika chupi yake 'zaiboni', nikainusa, hahahha [emoji23], nikairudisha alipoianika, nilioga fasta na kurudi chumbani na kuingia bila hodi.

Lahaulaaaa, nilimkuta ameinama anapaka mafuta miguuni, alishtuka na kusimama, "jamani James ungebisha hodi nijifunge..." Alisema huku akijaribu kuchukuwa khanga iliyopo kitandani.

Hakuiwahi, tayari nilikuwa nyuma yake nikiwa nimejifunga taulo na kumkumbatia kwa kumshika tumboni kwa mikono niwili.

Nikambusu nyuma ya shingo yake, akageuka kiasi kama anataka kuniangalia, nikambusu shavuni na kumwambia naomba leo ubaki hapa unipikie chakula cha jioni, kesho ndipo uende kwenu Sokoine. Alisitasita lakini hatimaye alilainika. (Weweeeee)

Wakati nambembeleza abaki, nilikuwa natalii mbuga zote kuanzia kaskazini hadi kusini, bahari ya hindi hadi ziwa Tanganyika, by then sikuwa na elimu kubwa ya mahaba japo baadye sana nilipata fursa ya kusoma baadhi ya vitabu mfano "the perfumed garden" na "French sex art manners" nk. vilivyonipa ujuzi wa kutosha, katika maisha yangu nimewapagawisha sana wanawake.

Kwa uhaba huo wa ujuzi kimbilio langu lilikuwa matiti, makalio, kin*embe. Sikuwa najuwa habari ya "password" (nywira), kunyonyana ulimi, kupiga deki wala nini. Niliendelea kutomasa tomasa nikiwa nyuma yake mikono nikiwa nimeshusha 'Ikulu' yake, kiwanja cha mpira nikifanya fujo za hapa na pale, mara akageuka akaniambia ninyonye titi hili, 'dakeki..., nilinyonya chuchu ile kiboya boya kisha nikahamia chuchu ya pili...

Wakati huo hatukuwa na hofu ya maradhi yatokanayo na ngono, hakuna habari ya condom, tishio lilikuwa ni kisonono na kaswende ambapo pia siyo wengi walikuwa wakiugua.

Rose akaanza kupagawa kama amepatwa na maruhani, macho legelege, miguu yake ikaanza kukosa nguvu, akaniambia siwezi kusimama tena, nikamlaza kidandani na kuendelea kunyonya chuchu zake ndefu nyeusi. "Endelea vivyo hivyo lakini kwa taratibu" alisema. Mnara wangu tayari ulikuwa hauwezi tena kuvumilia, nikatoa taulo tupa kule chini, akaa mkao pendwa chali, huku amekunja miguu na kuitanua kiasi. Da! Kitumbua hiki hapa kimetuna na kimenona, kis*mi kimesimama vyema (visimi virefu type), nikamshikisha dushe ili aingize, aliposhika dushe alitoa macho huyo! na kuguna mmh, akaanza kuiparaza paraza hadi ikapata utelezi, akasema ingiza...

Nilipata tabu kidogo kupenya na ile naingiza tu, sidhani kama hata tako 23 [emoji1787] zilifika, mabeberu hawa hapa! Akaonesha kama kushangaa hivi lakini "sekunde chache" tu dushe likaanza 'kudhikiri' tena likiwa bado ndani ya papuchi, akasema "he!" (Ile ya kushangaa)

Nilipampu nje ndani nje ndani, Rose alilia milio yote, ile miguno ya chini kwa chini siyo sauti kubwa, nilisugua haswa, shuka likaloa, kitanda kilikuwa kinaninyima uhuru wa kupiga mikito vizuri, mneso ulikuwa mkubwa, kwa wanaojuwa vitanda vya chuma vya banco vya wakati huo wanaelewa, nikamwambia tushushe godoro chini, tukavuta shuka upande ili tupate sehemu kavu, hapo Rose ameshako*joa mara kadhaa mie bado (sijamwaga la pili)

Niliendelea na kifo cha mende safari hii nikiwa nafika vizuri napotaka huko ndani, mara nikamuona ananikwaruza mgongoni na kunikandamiza, mzee baba nikadidimiza yote, pipe ikawa inabanwa na kuachiwa mara kadhaa mara akalegea mikono na kuhema juu kwa juu kama vile mtu anayekosa pumzi (oxygen); kwa kubanwa na kuachiwa kule kwa dushe nikaona mabeberu haooo mbioni, nikaongeza tako kadhaa mara haooo!

Nikawa hoi nami, nikiwa juu ya kifua chake, dushe ndani, akaanza kuifinyafinya dushe huku akiniangalia na kutabasamu , nikamuuliza nitoe, akasema subiri. Sekunde chache baadaye dushe likaanza kunywea akaniambia toa. Taratibu nikatoa dushe huku yeye akiifuta na khanga yake, kisha nikainuka.

Tukaenda bafuni wote, tukaoga na kuchezeana sana hadi dushe likasoma mnara maximum, tukaelekea chumbani fasta, akashika "mfumbati" wa banco, (chuma mboga), nikalambisha kwenye kin*embe kama vile nakosea pa kuingiza akaishika na kuizamisha...

Nilikandamiza akaruka kwa kusogea mbele, akaniambia usizamishe yote, nikawa napiga ndani nje kwa kuzingatia atakavyo, mtoto wa Tabora akaanza kuonesha ujuzi wa 'kulisakata rhumba', mie nikawa sina kazi kubwa nime relax huku yeye "akishika hatamu ya uongozi", mara namuona ananiangalia huku ametumbua mijicho utafikiri mjusi amebanwa na mlango na sauti ikaanza , aaa, aaah , Aaah AAAAH huku ikiongezeka volume na ni ile sauti ya kutokea kifuani (siyo mdomoni wala kooni, kwa wanamuziki wanaelewa)

Papuchi ilikuwa chapachaa, mie dushe bado limedisa 'to the maximum', misuli ya dushe imesimama balaa huku ikiwa imefunikwa na bao la "Rose" sehemu sehemu, nikazidi kupampu, akasema amechoka miguu haina nguvu, nikamwambia anipandie juu nikalala chali. Akajivutavuta akapanda, kuingiza kitu na boksi, K ya motooo, dushe likaenda kugusa sehemu akasema aakh, kisha akanilalia kifuani akaanza kupiga tako yeye, nafikiri ilimsaidia dushe lisimguse sehemu ya ndani zaidi maana alikuwa ana control yeye kiwango cha 'penetration.'

Aliendelea kufanya ufundi wake hadi wazungu wakaja.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Rose alikuwa mtamu sana, hakuwa 'sealed' lakini papuchi haikuwa na 'mileage' nyingi.

"James umenito*mba vizuri yani nimekojoa mara nyingi haijawahi kunitokea, halafu mbo*o yako tamu sana, inajaa vizuri" aliniambia, nami nikamsifia kwa kuwa na papuchi safi na yenye mileage ndogo, ndipo akaniambia alianza kutumika Chuo cha ualimu na boyfriend wake wa kwanza ambaye bado yupo naye lakini amepangiwa kufundisha Mkoa wa Tanga na yeye ndio amepangiwa Lindi miezi sita iliyopita.

Hapa ndipo akafunguka kuwa anaishi na baba yake wa hiyari ambaye ni daktari hospitali ya Lindi (rafiki wa baba yake mzazi)

Alifunguka pia kuwa alikuwa ana miezi kadhaa tangia atoke chuo cha Ualimu Tukuyu hawajakutana tena na boy friend wake ambaye walipanga wataoana, wanawasiliana kwa barua.

Tukaongea mengi, hasa kutaka kumjuwa yeye zaidi, baadaye akaelekea jikoni kuangalia chochote cha kupika.
=
=
=

Tulilala hapo, kesho yake ndio nikamsindikiza kwao.

Niliendelea kufaidi utamu wa Rose hadi nilivyoondoka Lindi wiki nane baadaye.

Tuliendelea kuwasiliana kwa barua hadi niliposafiri ughaibuni nikawa bize na masomo, nilivyomkumbuka nikamuandikia barua ambayo haikujibiwa hadi leo.

Sijui ilimfikia ama watu wa posta walivyoona barua toka ng'ambo wakaichana wakidhani watakuta Paundi?, sijui aliipata akanipotezea?, sijui alifariki?

Popote ulipo Rose nakukumbuka sana, kama umo humu Jf kwa maelezo haya lazima utakuwa umejijuwa. Nitafute PM "nikupe zawadi zako kutoka Uingereza"

Bila shaka sasa atakuwa umestaafu Serikalini kama mimi.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^
~~~~MWISHO~~~~

Angalizo: Picha hauna uhusiano na storiView attachment 1335724

James Jason
copy and paste kutoka uzi wa kula tunda kimasihara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SEHEMU YA TISA
*******************

Ahamis ile ilipita vizuri. Niliamua 'kumuua' Hamida kwa kutumia 'sumu ya kuua taratibu', sikuwa na papara na sijui uvumilivu ule ulitoka wapi!

Kuanzia Ijumaa hadi Jumapili ilikuwa siku za mimi kupumzika kufundishwa masomo ya dini, hivyo nilipanga Ijumaa hii niende sinema.

Sikuwa napata nafasi ya kuongea na Hamida nje ya nyumbani kwao, tena akiwa amejihifadhi mwili wote kasoro sehemu ya uso, lakini nilikuwa nafurahia uwepo wake karibu nami hasa siku ya 'jana' ambapo alipokuwa akinirekebisha kusoma vizuri.

"Hivi wewe kwani huwa huendi matembezini? Mie kesho usiku nitaenda sinema Cameo kuna filamu nzuri nimeona kwenye gazeti. Kesho Ijumaa nikitoka kazini nitakuja kununua juisi, bila shaka nitakukuta angalau nikuone maana kesho hadi Jumapili nilichaguwa kupumzika na kufanya mambo mengine"

Hili lilikuwa ni shambulizi dogo na hafifu lakini lenye sumu inayoweza kuua taratibu, ni barua (memo) niliyompatia Hamida kabla hajaondoka kwenye kile chumba kuelekea sebuleni.
*********

Ijumaa nikiwa kazini nilimuaga Mary kuwa naelekea msikitini. Nilitoka saa sita kamili kuelekea maeneo ya mtaa wa mkunguni kisha nikaenda msikiti wa Manyema.

Miaka hiyo maeneo ya mtaa wa Living stone, mkunguni ilikuwa imechangamka sana, katika harakati zangu nilikuwa naonekana maeneo ya kjiwe cha mabaharia (sea men's coner), enzi hizo kazi ya ubaharia ilikuwa ya ujiko sana kwa vijana na wengi walijifunza kuzamia meli (stowaway) kutokea kijiwe hicho... Biashara za jeans kali (used), bidhaa zingine za 'mamtoni' (nje ya nchi) zilikuwa zinafanyika maeneo hayo , siyo kwa maduka maalumu bali mkononi tu, unapata info, Baharia fulani anauza cheni za gold apate nauli arudi 'Belgium', unamvizia, unampa hela anakupa cheni, ama bidhaa nyingine kama alivyotangazia 'wasela' (sikuhizi mnasema masela), Sela lilitokana na ubaharia, Sail, Sailer yani baharia hususan wale wa vyombo vitumiavyo upepo kama nguvu ya kusafirisha chombo (Jahazi, Dau, Mashua, na ngalawa)

Mabaharia wengine walikuwa wanashinda pale Forodhani Atiman House (barabara ya Sokoine na Kivukoni)

Maeneo hayo (Mkunguni / Living stone) kulikuwa na biashara zisizo rasmi za kubadilisha hela yetu na kuwa dola, madini, udalali na kadhalika.

Nikiwa maeneo hayo mida ya waislamu kuswali nilikuwa nasikia adhana kwa ukaribu na pia mawaidha wakati mwingine unayasikia hata ukiwa mita kadhaa kutoka eneo la msikiti, hivyo nilichaguwa msikiti wa Manyema kusalia swala za Ijumaa.

"Hongera, umekuwa mswaliina, katuombee na sisi" alisema Mary wakati natoka

"Ahsante, nitarudi saa saba na nusu hivi maana leo ni siku ya kusikiliza hotuba mbili za Ijumaa" nilisema na kuongeza maneno kidogo kuonesha kuwa dini imeanza kunikolea.

Mary alitamasamu, mie nikaondoka.

Mary kama nilivyozoea kumwita alikuwa ni mtu wa kutoka Kilimanjaro, ana mume na watoto wawili. Nilimzoea sana, lakini sikuwahi 'kumtokea' (kumtongoza) licha ya yeye kunionesha dalili zote za kutaka 'nitembee naye', dalili zilikolea pale naye aliponishirikisha mambo yake ya nyumbani... Hakuwa na ndoa yenye furaha..., ila kuna siku alinitega sana hadi uzalendo ukanishinda, ilikuwa kabla ya kumuona Hamida.

(Stori yake ni fupi sana, nitaelezea kwenye uzi wa kula kimasihara pamoja na stori nyingine ya shindano la kufikisha bao 12)

=

Baada ya Ibada ya Ijumaa nilirudi ofisini kumalizia siku.

"Umependeza kweli na kanzu yako" alisema Mary wakati naingia ofisini huku nimevaa kanzu juu ya nguo nilizovaa asubuhi, kabla sijaenda msikitini, nilipitia Kariakoo mtaa wa pemba kwenye duka moja hivi la mhindi nikanunua kanzu na kofia ya mkono (waliziita kofia za Zanzibar) ndio nikaelekea Manyema.

"Ahsante Marry", nimeamua kubadilika, karibu nawe nianze kukuona ukivaa baibui (buibui), nilisema kisha nikaingia ofisini kwangu.

Enzi hizo mabaibui yalikuwa tofauti na ya sasa, yalikuwa kama yana kikofia hivi (ushungi) halafu lazima ukivute upande mmoja ukibane kwapani kuepuka kulikanyaga ama kuburuza (ilikuwa ndio fashen), rangi nyeusi tii, 'texture' nzuri ajabu. Ilikuwa ni kawaida kwa wanawake kuvaa hayo mabaibui wakitaka 'kutoka' (yaani kwenda sehemu)
********

Mary alicheka akionesha (kwa kumaanisha) kuwa ni vigumu yeye kubadili dini.

Mezani nilikuta bahasha (barua) kutoka wakala la pijot. Saa tisa na nusu nilitoka ofisini moja kwa moja hadi nyumbani pamoja na mambo nipate kuisoma vizuri ile barua
******

Wakati nipo mwaka wa mwisho Uingereza niliwaandikia Peugeot Ufaransa nikitaka wanipatie profoma invoice ya kununua 504 GL pickup. Walinijibu kuwa nipitie wa wakala waliomuidhinisha aliyepo Dar es Salaam.

Hivyo nilivyofika Dar kutoka masomoni nilinunua Batavuz kwa jamaa mmoja wa kutoka Zanzibar pale Mkunguni, ilikuwa kama mpya tu, kisha ndio nikaenda Peugeot house pale mtaa wa Ali Hassan Mwinyi (Bibi titi / Ohio) nikaagiza kupitia wakala wao. Masomo ya post graduate diploma hayakuwa yananichukulia muda sana hivyo nilifanya kazi za part time na kutengeneza hela ya kutosha kununua gari na mazagazaga mengine...

Meli zilikuwa zinachelewa sana kuwasili kutoka ulaya hasa zile zinazozungukia Atlantic hadi South Africa kisha ndio kuja mashariki ya Africa, zile zilizopitia upenyo wa Gibralta kisha upenyo wa Suez zilikuwa zinawahi.

Kwenye ile barua niliambiwa gari yangu imeshafika na ipo afisini kwao hivyo niende kukamilisha taratibu zingine ili nikabidhiwe...

Nilifurahi sana, nikajisema hili litakuwa jambo la kwanza siku ya jumatatu.

Saa kumi na nusu nikaenda kwa akina Hamida, baada ya Mama Warda kunikaribisha nilimuambia leo sikai, sina kipindi bali nilimuagiza juisi Hamida..

"Hamidaaaa" mama Warda aliita huku yeye akirudi sebuleni na kuniacha nimesimama kwenye karido...

"Abee mama" aliitikia Hamida kwa sauti yake nyororo kama ya mama yake, sauti inayonifanya niwe 'mgeni' nyumbani kwao kila siku...

Hamida alitoka chumbani kwake, aliponiona tu, alirudi ndani tena kisha akatoka na kuelekea kwenye jokofu kubwa kuchukuwa juisi niliyomuagiza...

Lengo halikuwa juisi bali majibu ya barua (ki-memo) nilichomuachia jana...

Mapigo ya moyo yananidunda kuliko kawaida, nawaza sijui atajibu namna gani...

Alikuja uelekeo wangu, kwa mwendo wa madaha (ndio mwendo wake ) shingo upande kidogo mikono yote ameshika dumu la lita 3 japo angeweza kulishika kwa mkono mmoja..

Alinikabidhi lile dumu kwa mikono yote miwili na mkono wake wa kushoto akiwa amebana karatasi ndogo ambayo haionekani kwa urahisi, akanigusa vidole vyangu vya mkono wa kulia wakati napokea dumu kama ishara ya kutaka kunipatia kitu...

"Haijaganda sana leo..." Alisema huku ameinama chini kidogo, nami nikamjibu kuwa haina neno nikapokea, nigaaka kwa sauti kubwa ili mama na wengine sebuleni wasikie kisha nikatoka.

Wakati ananigusa vidole nilijisikia kama nimepigwa shoti hivi na kusisimka hatari, nilijikaza kwa kutoonesha tofauti.

Nilitoka hadi nyumbani tena na kuanza kuisoma.

Aliandika mwandiko 'mduchu' sana (what we call microscopic words), karatasi ilikuwa ndogo sana na alitaka kuandika mengi...

Mwandiko umelalia kushoto, nafikiri alitumia zile pen aina ya bic zenye rangi ya njano kwa nje (0.6mm)

Kimemo chake hakikuwa cha mahaba, bali aliandika...

"Assalaam aleikum, mie sijambo alhamdulillah. Jana nilisoma ujumbe wako, huwa natoka lakini kwa sababu maalum ambayo wazazi wataielewa, angalau wakati nasoma nilikuwa huru kidogo, lakini maisha yetu ni ya kufungiwa ndani muda mwingi. Nakuona kuwa una busara kuna jambo mie pia nataka nikushirikishe unishauri, maana hapa Kaka yangu baba na mama wote sioni kwa hili kama wananishauri vyema. Kesho ukija kurudisha dumu nitakuwa nimeshajuwa namna ya kutoka tuweze kuongea, wa billah tawfiq."

Nilirudia kuisoma memo ile kama mara 23 hivi [emoji23]

Ilikuwa inaniondoa wasiwasi, inatuliza mtima, inaondoa joto, inaleta matumaini kwenye harakati zangu za kuongeza dozi ya 'sumu' maana mzee Katibu Kata alinishauri nisiwe na papara la sivyo nitafeli na kujiaibisha.

Kwa siku moja nilipokea barua mbili zenye kunipa furaha, asikwambie mtu, nikikuwa na furaha sana hasa kile kipengele "kesho nitakuwa nimeshajuwa namna ya kutoka..."
******

Baada ya chakula cha jioni nilienda Cameo Cinema kuangalia filamu mpya iitwayo Grease. Ni filamu ya stori ya mapenzi.

Muda wote nikiwa naangalia sinema hiyo nilikuwa najiona kama mimi ndiye Danny Zuko (Starring) na Sandy ni Hamida....

Nilifurahia sana filamu hiyo na kutamani kama Hamida angekuwepo ukumbini siku hiyo.

Tulifurahishwa pia kwa trela za "bad spensa"

Saa tano na nusu usiku tayari nilikuwa nyumbani, filamu za kizungu mara nyingi huchukuwa dakika 90 ama 120.

Nililala kwa furaha siku hiyo huku nikiona kama saa haziendi ili niende kwa Hamida kurudisha dumu la juisi [emoji14]
****

Majira ya saa tano asubuhi nilienda kwa akina Hamida, bahati nzuri ni yeye aliyenipokea na kunikaribisha sebuleni.

Niliwakuta mama wa kiafrika, mama Warda na Nadya pia wakiwa wanasogoa (wanazungumza)

Hamida alipokea lile dumu kisha akaenda nalo, huku akiniambia...

"nimekutengenezea togwa, najuwa unalipenda, leo ma-mkubwa nilimuambia apumzike, ngoja nikuletee..."

Punde si punde alirudi akiwa na dumu dogo lingine la lita moja lenye togwa ndani, wakati akija nami nilikuwa naaga ili nitoke tukutane kwenye korido.

"Najuwa utalipenda bila shaka, ma-mkubwa alinifundisha vizuri.." Alisema kwa sauti ili wa sebuleni nao wasikie...

"Ahsante, nashukuru ila mie sikai tutaonana kesho ama Jumatatu..." Nilisema huku nikiipokea memo yake nyingine aliyoibana kama jana.

Niliipokea kisha kiganja changu nikashika vidole vyake kwa sekunde kadhaa, akavivuta kujitoa lakini si kwa hasira, akanifungulia mlango. Matendo hayo yalifanyika ndani ya sekunde chache wakati wa kubadilishana yale maneno ya kuagana.

Nilimuaga kwa kumpungia mkono na kuondoka kuelekea nyumbani.
******

=

"Assalaam aleikum, panapo majaaliwa kesho baada ya kunywa chai nimeaga nitaenda Msasani kwa Shangazi, basi kama una nafasi naomba unisindikize nipate kukueleza yanayonisibu, saa nne asubuhi unisubiri kituo cha Mwanamboka Kinondoni, usikose, wabillah tawfiq"

Hayo yalikuwa meneno kwenye memo ya Hamida.

Ikumbukwe kuwa hadi sasa Hamida sijamtongoza na hajui kiasi gani nimempenda na maamuzi magumu niliyofanya na ninayoendelea kuyafanya.

Jumamosi hii ni siku yangu ya kwenda DDC Kariakoo kwenye dansi, lakini ratiba za ibada nazo zinanibana, hivyo nilienda kwa kuchelewa, na safari hii nilikaa upande ule wa watu waliotulia. Madaraja hadi ndani ya kumbi za starehe.

Bahati nzuri Mziki wa DDC Mlimani Park ulikuwa haujaanza, kulikuwa na maonesho ya Kibisa ngoma troup.

Kwenye kikundi hiki ndipo nilipomuona kijana Amri Athumani ambaye alikuwa akiliza watu sana kwa uigizaji wake, hususani igizo aliloigiza kama mtoto wa kambo aliye lelewa kwa manyanyaso na mateso makubwa lakini baadaye alifanikiwa kuwa na maisha mazuri... (Pumzika kwa amani King Majuto)
************

=

Saa zikawa haziendi, enzi hizo hakuna simu za mkononi, hakuna mitandao ya internet, nilisoma masomo ya kutumia tarakikishi (computer) nikiwa Uingereza, naikumbuka pc yangu chuoni ilikuwa IBM 386 ikitumia mfumo endeshi (operating system) microsoft windows 3.1, hadi nacheka hapa, ilikuwa ni ya kisasa sana wakati huo....

Mzee Burhani alikuwa anayo simu ya mezani, lakini sikuwa na tabia ya kuwapigia. Na hata nikimpigia Hamida kwenye simu ya mezani nitaongea naye vipi maneno ya mapenzi akiwa sebuleni na mara nyingi panakuwa na watu...

Njia zilizobakia ni kuonana naye ana kwa ana ama kuandikiana barua.

Sasa kwa memo ile ya Hamida muda ndio ukawa 'hauendi' kabisa!

Niliamua kufanya kazi zote nizifanyazo Jumapili ili siku hiyo niwe huru, nikapaweka vizuri chumbani, sebuleni na mazingira ya nje, nilikuwa msafi kupitiliza, na kazi nyingi nilikuwa nafanya mwenyewe, mwili wangu ulikuwa umejengeka vizuri, nyama nyama zilikuwepo kidogo siyo kama ilivyokuwa miaka sita iliyopita.
*****

Usiku baada ya kula ndio nilienda DDC kwa ajili ya mziki wa dansi.

Baada ya Kibisa ngoma troup kumaliza maonesho yao ya ngoma za asili, mziki wa dansi ulianza taratibu kwa mpiga solo mmoja kuanza kuchombeza... Kisha wanamziki wengine wakachukuwa nafasi zao na burudani ikaanza kuchanganya.

Tulifaidi sana kusikikiza, kucheza na kuwaona mubashara wanamuziki... Upangiliaji wa vyombo, mpangilio wa sauti, maudhui, solo guitar kusikika vizuri, ridhim (rhythm) guitar kusikika bila kumezwa, bass guitar kuchombeza ipasavyo, organ kuchukuwa nafasi yake, saxafone na trumpets kusikika wakati muafaka, drums kuongoza mziki mzima, uchezaji wa wanamziki na wapenzi wa muziki na kadhakika ni burudani safi kabisa iliyotufanya tufurahie na kutokosa kila weekend...
*****

Nitaweka wimbo mmoja kwenye attachment ili wewe kijana wa sasa usikilize kwa makini...

=

Siku ilipita hivyo, nilirudi nyumbani nikiwa mwenye furaha na kupumzika.

Saa mbili asubuhi alarm iliniamsha, nilipitiwa na usingizi hata ibada ya swala asubuhi sikufanya.

Niliamka na kufanya yapaswayo kufanywa asubuhi kisha nikatengeneza chai ya maziwa ya BB condensed milk, slesi za mikate na mayai ya kukaanga.

Saa tatu kamili nipo tayari, nikachukuwa ile memo tena na kuanza kuisoma upyaaaa kama vile sijaisoma....

"...saa nne uwepo Mwanamboka.... Usikose..." Nilijikuta nafurahi kwa mara nyingine tena japo si kwa mtoko wa kimapenzi, kwanza Hamida hajui kama 'nimekufa nimeoza juu yake' nilijisemea.

Nilachukuwa juzuu na kudurusu herufi hadi nilipoishia Alhamisi ili nipate sehemu za kumuuliza ama sababu za kuanzia kuvunja ukimya rasmi...

Saa tatu na robo nilianza safari mdogo mdogo hadi magomeni kituo cha taksi, sikuchukuwa batavuz, nikakodi taksi hadi Kindondoni, akanishusha kituo cha Mwanamboka.

Saa nne kasoro kumi mie nipo kituoni. Nilisimama tu hapakuwa na benchi wala kivuli cha paa.

Hali ya hewa ilikuwa si joto wala baridi, watu wachache barabarani, wengi wao bado wapo makanisani...

Kila baada ya dakika najikuta naangalia motima (saa) yangu, muda hauendi! Mara saa nne hii hapa! Hakuna dalili ya Hamida...

Ilipofika saa nne na dakika ishirini na tano hivi nikaona UDA ya kwenda Mwenge imesimama na kushusha abiria, ilikuwa basi kubwa, na abiria wote walikuwa wakishukia mlango wa mbele, mlango wa nyuma ulikuwa wa kuingilia tu. Na ukiingia tu unakutana na mkatisha tiketi (amekaa) anakukatia kwa mashine flani hivi ndogo kama efd kwa sasa ila ilikuwa mechanical. Kupanda kwenye basi ni kwa foleni.
****

Mara paap nikamwona Hamida anashuka mlango wa mbele na kuja upande wangu...

Alikuwa amevaa gauni la rangi ya pink, mtandio uliofungwa vizuri wa rangi pink, viatu fulani vinavyoziba vidole vya mbele hadi nusu mguu vya pink, mkononi ameshika begi dogo la mkononi nalo rangi ya pink, hakika mavazi yalimpendeza.

"Assalaam aleikum" alinisalimia bila kunipa mkono.

"Wa aleikum salaam Hamida", umechelewa

" Nisamehe, nilichelewa kuaga maana nimebadilisha ilikuwa nirudi baadaye magharibi lakini nimeomba ruhusa nilale huko Msasani, nimekubaliwa" alijibu.

"Batavuz yako umeiweka wapi" aliuliza huku akiangaza huku na huko

" Aaa, leo sikuja nayo, nimekuja kwa teksi" nilijibu

"We nawe, pale na hapa tu unapoteza hela kwa teksi" alisema huku akimaanisha

"Kwakuwa sijui mazingira tuendako ndio nikaona bora niiache ili tutumie usafiri wa jumuiya ama teksi" nilijibu kwa kujiamini.

Nami siku hiyo nilikuwa nimepigilia hasa, nilivaa safari buti, kadet, shati pia kadet, kichwani nywele nimechana vyema (mchicha / afro).

"Nisubiri ngoja nikachukue teksi" nilisema huku naondoka

Dakika chache tu nilirudi nikiwa ndani ya teksi siti ya nyuma upande wa kulia...

Niliinama na kumfungulia mlango...

"Karibu, twende!" Nilisema naye akatii na kuingia kwenye teksi.

"Kituo cha kwanza wapi?" Nilimuuliza Hamida ili atoe ramani kwa dereva

"Katuache Morogoro super market" alidakia Hamida...

Moyoni nikashangaa, mbona tunaelekea huko badala ya Msasani... Ila sikumuuliza.

Kulikuwa na ukimya fulani hivi hadi dereva alipoweka mziki wa Boney M, Dad cool.

Nikaanza kutingisha kichwa, Hamida ananiangalia tu katulia.

Tulivyofika Moroco dereva akapinda kulia na kufuata Bagamoyo road kuelekea mjini (siku hizi inaitwa Ali Hassan Mwinyi rd, tulivyofika mbuyuni mbele kidogo dereva akachukuwa njia ya kushoto barabara ya Haile Selasie moja kwa moja hadi Morogoro supermarket.

Nikamlipa dereva ujira wake kisha tukashuka, Hamida akawa anaelekea ndani ya supermarket, nikamfuata, nikamuuliza mbona tumekuja hapa, akanijibu anataka amnunulie shangazi yake zawadi, hivyo tukaingia ndani kwa ajili ya shopping.
*************

Itaendea...
IMG-20200129-WA0013.jpeg
IMG-20200129-WA0011.jpeg
IMG-20200129-WA0009.jpeg
IMG-20200126-WA0000.jpeg




James Jason
 
Du! Nina maswali kama buku hivi kwa muandishi[emoji848] Ni mzee au kijana? Kama ni mzee basi huyu ni gifted wa ukweli au ni msomi wa hali ya juu, maan kwa Muda wake (zaman) lakin amefanukiwa Sana kwenda sawa na vijana hasa wa kupind hki (na kutuzid kbsa wngne), yaan unatusafirisha miaka hiyo na tunaipata picha halisi Kama tulikuepo! Kwa wazee wenzak nafkir wanatoa machozi ya furaha kwa kukumbushwa enzi zao kutokea kipind hki (bila shaka hawajategemea[emoji38]) LAKIN Kama nikijana bas ameiva Sana maan kaichambua utafkir alikuepo enzi za mzizima, uandishi, mtiririko wa simuliz, matukio, mazingira nk (Niliishi & Kusimea mkoan SINGIDA na nmetembelea Sana reli ya Kati kutokea Itigi, sasa, Du!!!! Umeichambua Singida adi nahis naiona vile. KONGOLE ZA KUTOSHA KIONGOZI[emoji1666]. NB: Natamani nijue hali yako kiuchumi kwasasa na perhaps shughuli unayoifanya maan kwa watu wa umri wako kucheza na smart phone na purukushani za mitandaoni mpaka tunakutana JF si kitoto Mkuu bila shaka hata insta unayo akaunti na unatupia Kama kawa[emoji38][emoji38][emoji38] (joke)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du! Nina maswali kama buku hivi kwa muandishi[emoji848] Ni mzee au kijana? Kama ni mzee basi huyu ni gifted wa ukweli au ni msomi wa hali ya juu, maan kwa Muda wake (zaman) lakin amefanukiwa Sana kwenda sawa na vijana hasa wa kupind hki (na kutuzid kbsa wngne), yaan unatusafirisha miaka hiyo na tunaipata picha halisi Kama tulikuepo! Kwa wazee wenzak nafkir wanatoa machozi ya furaha kwa kukumbushwa enzi zao kutokea kipind hki (bila shaka hawajategemea[emoji38]) LAKIN Kama nikijana bas ameiva Sana maan kaichambua utafkir alikuepo enzi za mzizima, uandishi, mtiririko wa simuliz, matukio, mazingira nk (Niliishi & Kusimea mkoan SINGIDA na nmetembelea Sana reli ya Kati kutokea Itigi, sasa, Du!!!! Umeichambua Singida adi nahis naiona vile. KONGOLE ZA KUTOSHA KIONGOZI[emoji1666]. NB: Natamani nijue hali yako kiuchumi kwasasa na perhaps shughuli unayoifanya maan kwa watu wa umri wako kucheza na smart phone na purukushani za mitandaoni mpaka tunakutana JF si kitoto Mkuu bila shaka hata insta unayo akaunti na unatupia Kama kawa[emoji38][emoji38][emoji38] (joke)

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana.

Nilianza kubofya tarakilishi mwaka 1978 uingereza kwa kutumia pc IBM ambayo ilikuwa 386

Baada ya 386 zikaja 486 kisha pentium ONE.

DOS & Windows 3.1 ndiyo zilikiwa mfumo endeshi japo ilikiwepo mifumo mingine lakini walisoma waliokuwa wanataka kubobea huko

Elimu yangu ya 'vyeti' ni Shahada na diploma baada ya shahada. Ila nina elimu ya kurithi ya utaturuni ya kutosha na pia ya kutokokana na kuishi Dar na kutembea mikoa karibu yote Tz kumenifanya niongeze maarifa

Kompyuta nilijifunza kwa ajili ya matumizi ya kawaida na lilikiwa somo la lazima na awali pale college. Niliporudi Tz nilianza kutumia pc yangu mwaka 1993, IBM.

Nimestaafu mwaka jana, maisha ni ya kawaida tu ya utumishi uliotukuka.

Najifariji Jf wakati wa subira hii.


James Jason
 
Ahsante sana.

Nilianza kubofya tarakilishi mwaka 1978 uingereza kwa kutumia pc IBM ambayo ilikuwa 386

Baada ya 386 zikaja 486 kisha pentium ONE.

DOS & Windows 3.1 ndiyo zilikiwa mfumo endeshi japo ilikiwepo mifumo mingine lakini walisoma waliokuwa wanataka kubobea huko

Elimu yangu ya 'vyeti' ni Shahada na diploma baada ya shahada. Ila nina elimu ya kurithi ya utaturuni ya kutosha na pia ya kutokokana na kuishi Dar na kutembea mikoa karibu yote Tz kumenifanya niongeze maarifa

Kompyuta nilijifunza kwa ajili ya matumizi ya kawaida na lilikiwa somo la lazima na awali pale college. Niliporidi Tz nilianza kutumia pc yangu mwaka 1993, IBM.

Nimestaafu mwaka jana, maisha ni ya kawaida tu ya utumishi uliotukuka, soon nitaanza kuwa bize nikishapokea hela yangu ya mkupuo.

Najifariji Jf wakati wa subira hii.


James Jason
Mkuu hongera sana una kipaji sana cha kusimulia na una kumbukumbu nzuri ya matukio!
 
Mie niko najiuliza umri wako. kama amri athumani alikuwa kijana mdogo kwako, wewe upoje?
Wakati ule alikuwa kijana, mie amenizidi kiaka 10 na miezi kadhaa.

Sijazeeka 'kihivyoo', show napiga kama kawaida, na nguvu za kufanya kazi ninazo bado, nilizaliwa miaka miwili kabla ya Tanganyika kupata uhuru.

James Jason
 
Wakati ule alikuwa kijana, mie amenizidi kiaka 10 na miezi kadhaa.

Sijazeeka 'kihivyoo', show napiga kama kawaida, na nguvu za kufanya kazi ninazo bado, nilizaliwa miaka miwili kabla ya Tanganyika kupata uhuru.

James Jason
Mkuu nilikua na wazo,kwanini usiwapm mods waupangilie huu uzi kwa mtiririko mzuri kuanzia mwanzo mpaka hapa ulipofikia maana kwa wasomaji wapya akianza mwanzoni lazima umchanganye maana unaanzia sehemu ya tatu!

Huu uzi ni mzuri sana sema mtitiriko wake kwa mwanzoni haujakaa sawa.
 
Back
Top Bottom