Uhusika wa waliohukumiwa kunyongwa kesi ya Lotter

tunaambiwa ni mchina , huyo mchina ni fake, kuondolewa kwa Fahma almas karama ilikuwa kumlinda kigogo, mleta thread na mashaka nae ana interest na hii case na hukumu yake machips ndio anamtaja namba moja.
Inawezekana namba moja tunae kwenye chama cha kijani
 
Ukisoma hukumu utakutana na hii kipande kutoka kwa watuhumiwa



Kuna watu wakubwa zaidi kwenye hili sakata... sema ndio hivyo, huwa wanajitahidi kuacha mikono yao ikiwa safi
 
Hakika nimeogopa sana mi kuna mtu alikuja akataka kutumia account yangu ya nmb nikampa sijui itakuwaje ikiwa ni mtu mbaya
 
Godfrey Salamba huyu jamaa sijui alkua anajitabiria kuna kipindi fb aliwahi kupost pingu akaja akapost kufuli sijui nini alkua anapitia na kuwaza.
Mbona kama jamaa alikua mwajiriwa wa zimamoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…