Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Huyo anayepiga kelele mtandaoni ndio mheshimiwa mbunge?Issue kubwa sana hii na ni kutokana na wakubwa wa huko duniani kuifuatilia ndiyo maana leo tunaona hukumu, japo imechukua muda.
Huyu jamaa kauawa kupitia samaki wadogo ila nyangumi wapo kwenye kina kirefu, that's why kuna wakati hii kesi ilipata majibu hukumu itoke ila ikapasishwa ila leo dagaa wanakula mvua na wengine kuaga dunia.
Lotter alikuwa anaharibu ma_deal ya wanene kuna mmoja yupo mitandaoni na ana kelele sana huko anaweza kuwa mmojawapo!.
Vv