Uhusika wa waliohukumiwa kunyongwa kesi ya Lotter

Uhusika wa waliohukumiwa kunyongwa kesi ya Lotter

Issue kubwa sana hii na ni kutokana na wakubwa wa huko duniani kuifuatilia ndiyo maana leo tunaona hukumu, japo imechukua muda.

Huyu jamaa kauawa kupitia samaki wadogo ila nyangumi wapo kwenye kina kirefu, that's why kuna wakati hii kesi ilipata majibu hukumu itoke ila ikapasishwa ila leo dagaa wanakula mvua na wengine kuaga dunia.

Lotter alikuwa anaharibu ma_deal ya wanene kuna mmoja yupo mitandaoni na ana kelele sana huko anaweza kuwa mmojawapo!.
Huyo anayepiga kelele mtandaoni ndio mheshimiwa mbunge?

Vv
 
Huyu mjinga Godfrey was a notorious
 

Attachments

  • Screenshot_20221205-162113.png
    Screenshot_20221205-162113.png
    112.1 KB · Views: 17
Pamoja na hukumu bado wahusika wakuu hawajapatikana.Kama kweli serikali inataka kujua hii chain, wasiwanyonge wakikaa gerezani kwa muda hawa watasema A to Z kwakuwa watajutia na kumrudia Mungu wao na watafunguka mpaka serikali ishangae unless wataka kufunika kombe kuwaokoa vigogo.
Aliyetoa pesa/ deal kwa suspect wa kwanza kwa nini hakamatwi? Huyu anajulikana kirahisi sana, habari zake anazo mtuhumiwa wa kwanza. Vinginevyo tuamini kuwa analindwa na vigogo wa hapa nchini.

Vv
 
Aliyetoa pesa/ deal kwa suspect wa kwanza kwa nini hakamatwi? Huyu anajulikana kirahisi sana, habari zake anazo mtuhumiwa wa kwanza. Vinginevyo tuamini kuwa analindwa na vigogo wa hapa nchini.

Vv
tunaambiwa ni mchina , huyo mchina ni fake, kuondolewa kwa Fahma almas karama ilikuwa kumlinda kigogo, mleta thread na mashaka nae ana interest na hii case na hukumu yake machips ndio anamtaja namba moja.
 
hawa watakuja kutoka tu nadhani kuna watu walishindwa kuweka mambo sawa kati ya wale 22 ambao dpp 11 aliwafutia mashtaka.

wengine hapo sio wahusika Mtu Kama Machpis ni mishen Town ati leo anakuwa mtuhumiwa namba moja kesi ya Mauaj tena mzungui!!!!! kuna kitu Behind scene. hii misheni ni kubwa sana.

nilishtushwa zaidi magazeti yote front page kuandika kwa Maandishi makubwa "11 kunyongwa hukumu ya historia"
Hivi mishentown huwa imebase kazi gani haswa??
 
Sasa watu wako death row si wataje wahusika halisi
Ama chain ni ndefu sana?
 
You can imagine watu wamebinywa pu/mbu kiasi gani hadi kutoa taarifa zote hizi
 
Issue kubwa sana hii na ni kutokana na wakubwa wa huko duniani kuifuatilia ndiyo maana leo tunaona hukumu, japo imechukua muda.

Huyu jamaa kauawa kupitia samaki wadogo ila nyangumi wapo kwenye kina kirefu, that's why kuna wakati hii kesi ilipata majibu hukumu itoke ila ikapasishwa ila leo dagaa wanakula mvua na wengine kuaga dunia.

Lotter alikuwa anaharibu ma_deal ya wanene kuna mmoja yupo mitandaoni na ana kelele sana huko anaweza kuwa mmojawapo!.
Hapo hakuna cha Mchina wala nini, kuna kigogo tu nchini anahusika
 
Jana nilikua Arusha, na nikasikia watu kwenye kahawa wanaongea wanasonta kiduka fulani wakisema mmoja wapo ni mwenye hilo duka, kwamba huyo mzungu aliye uawa alikua anaendesha project inayozuia ujangili wa wanyama na hasa Tembo wasiuawe, kama ndivyo hapo ndo tujiongeze kwamba Kuna nani
Ahaaa, kama ni hivyo, basi mtafuteni Abdulrahman Kinana awape muongozo sahihi
 
Back
Top Bottom