Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara/ Mafanikio yana siri sana.Namfahamu Makoi,asili yake Kibosho akimiliki maduka kadhaa ya madawa (Pharmacy) ingawa hata kidato cha pili hakumaliza.
Kupitia biashara zake za madawa alijikuta akipanda haraka haraka kibiashara kumbe nyuma ya pazia alikuwa na biashara nyingine.
walimuua ili iweje? mahama haijasema. kuna siri mkuu. wakisema walitumwa ni nani aliwatuma?Inashangaza sana. Afu kuua mtu mmoja asiyekuwa na walinzi unashirikisha watu 11? watu wawili wangetosha na wasingejulikana....
tupe picha yake mkuu mngogo, sasa alikodiwa au maana hapo kuna utata au nae ni Jangili.Namfahamu Godfrey Salamba,baba yake ni marehemu Askari Trafic.
Alianza wizi mdogo mdogo akiwa na umri mdogo kati ya miaka 17 mpak 24.
Baada ya kuishi kwa Dada yake Late Mama Peter alikimbilia Shinyanga na kuunda genge la kuwapora wafugaji fedha hasa wanapotoka katika minada.
Baada ya mafanikio makubwa ya uporaji alijenga na kununua nyumba kadhaa Jijini Dar.
Mama yake kipindi chote akiishi maeneo ya Mwananyamala katika chumba kimoja.
Kabla ya hili tukio la mauaji tulionana maeneo ya Kaloleni Arusha akimiliki Toyota Land Cruiser 105.Alionekana ni mwenye harakati nyingi huku kila akiongea na simu ambazo hazikuwa za kawaida.Tulikuwa tukimkwepa sana kwakuwa zilikuwepo taarifa za uhakika katika Gari yake alikuwa na silaha na mavazi ya jeshi.
Godfrey mara kadhaa alikuwa akipata nafuu za kisheria kwakuwa marehemu Baba yake alikuwa ni Askari.Godfrey ni msukuma wizi/ ujambazi hauna kabila wala ukanda.
Hii kitu ya kula njama ndio inanifanya sitaki kuazima mtu simu apige sijui yake imesha salio.Mkuu, kwenye Sheria Kuna kitu kinaitwa Kula njama.
Hata Kama muuaji alikuwa mmoja Ila Kuna kundi la watu ambalo liliandaa mchango wa kufanikisha mauaji. Sasa watu hawa ingawa hajaua physically Ila mchango wao kwa namna flani umechangia kufanikisha mauaji.
Nao wanastahili kufungwa Ila sidhani Ka ni sahihi wao kuhukumiwa kifo.
Mfano uyo dada Rahma inaweza kuwa hakufahamu Kama ushiriki wake ni kwenye ishu ya mauaji. Akijitetea vizuri na akapata wakili mzuri anaweza kutoka. Sababu kuwaandalia chakula wauwaji sio mpaka awafahamu anaweza akawa ameambiwa na Kaka yake Kuna wageni ni jamaa zangu wanakuja so andaa chakula ili wapate cha Kula.
Na kuhusu silaha alizoficha makaburini inaweza kuwa alipewa Tu na Kaka yake akamwambia fanya uzihifadhi hizi silaha Ila usiweke maeneo ya nyumbani. Japo anaweza kuhisi hizo silaha haziwezi kutumika Kwa Nia nzuri, Ila sio sababu ya yeye kuambiwa ameshiriki njama za mauaji moja kwa moja.
Hata na mimi nimesikia hivyo kwa maneno ya wambea tu.Malikia wa pembe za Ndovu kwa taarifa za Chini chini alishaachiwa yuko jiji la Hong kong Uchina kwao.
Hata kama hawatanyongwa lakini hiyo hukumu kuwa inapepea juu ya kichwa chako siyo mchezo.hakuna anae nyongwa hapo. usihadaike.
Kama Corona imewaacha salama huko jela hiyo hukumu haitawasumbua.Hata kama hawatanyongwa lakini hiyo hukumu kuwa inapepea juu ya kichwa chako siyo mchezo.
Jamaa alikua anapenda kukaa pale PicnicNamfahamu Godfrey Salamba,baba yake ni marehemu Askari Trafic.
Alianza wizi mdogo mdogo akiwa na umri mdogo kati ya miaka 17 mpak 24.
Baada ya kuishi kwa Dada yake Late Mama Peter alikimbilia Shinyanga na kuunda genge la kuwapora wafugaji fedha hasa wanapotoka katika minada.
Baada ya mafanikio makubwa ya uporaji alijenga na kununua nyumba kadhaa Jijini Dar.
Mama yake kipindi chote akiishi maeneo ya Mwananyamala katika chumba kimoja.
Kabla ya hili tukio la mauaji tulionana maeneo ya Kaloleni Arusha akimiliki Toyota Land Cruiser 105.Alionekana ni mwenye harakati nyingi huku kila akiongea na simu ambazo hazikuwa za kawaida.Tulikuwa tukimkwepa sana kwakuwa zilikuwepo taarifa za uhakika katika Gari yake alikuwa na silaha na mavazi ya jeshi.
Godfrey mara kadhaa alikuwa akipata nafuu za kisheria kwakuwa marehemu Baba yake alikuwa ni Askari.Godfrey ni msukuma wizi/ ujambazi hauna kabila wala ukanda.
usijaribu hiyo kitu mkuu ni hatari sana.Hii kitu ya kula njama ndio inanifanya sitaki kuazima mtu simu apige sijui yake imesha salio.
Jana tu kuna dada kaniomba atumie namba yangu ya voda kupokelea hela zake. Nikamchana tu kuwa siwezi fanya mana likitokea lolote nimebebwa.
Yule meli yake yenye pembe za ndovu ilikamatwa kule ughaibuni, au sio!?Nahisi makamu mwenyekiti wa chama letu anahusika pia
Huyu mama namjuwa vzr sanaView attachment 2436384
Hivi "Malkia" yuko wapi?
Naomba uanzishe uzi kwa manufaa ya wengi.usijaribu hiyo kitu mkuu ni hatari sana.
kuna bwanamoja miaka ya juzi nafahamiana nae tulifanya biashara akaniambia hiyo hela utamtumia huyu flani kwa M Pesa (ambaye mimi simjui) basi jioni nikatuma kwa simu yangu imepita kama wiki sita nikawa nilishasahau nikapigiwa simu na mwanamke mmoja akijitambulisha ananifahamu ni mwachuo wa chuo flani mimi nilikuwa moenzi wake anaomba tuonane!
nikawa namkatalia ni ile kipindi cha watu watu wasiojulikana nikamjibu siku hizi kuna watu wasio julikana tunaongea kwa utani tu. tukaachana.
ikafika majira ya mchana akanipigia tena akitaka kujua mahali niliko maana pia nilimwambia niko busy sana safari hii anataka kunifuata kabisa!!!
bado nikamkatalia.
jioni nikapigiwa simu na namba ngeni sijui safari hii ni mwanaume akanisalimu akaulizia vifaa flani nikamwambia ninavyo akaniambia ofisi yako iko wapi kabla sijamjibu nikamwambia wewe nani amkupa namba akanitajia mahali ameipata. nikamwelekeza aje ofisini kwetu.
nikiwa nawasubiri nikawambia wahudumu wengine kazini "muda wowote mwana wa adamu atasalitiwa" nafsi ikawa inanienda mbio isivyo kawaida!
jamaa kaja na gari aina ya spacio yenye tinted kuangalia ndani kuna wanaume kama 5 Na mwanamke mmoja amekaa siti ya mbele ana mafile nikajua huyu ndio alikuwa anisokota.
basi wakaniambia unamfahamu mtu anaitwa Flan h wakanionyesha namba yake nikawambia hapana wakasema iandike kwenye simu yako upige kama italeta jina.
uzuri haikuleta jina.
wakaniambia mpigie umwiite hapa nikampigia katika kujieleza kumbe ananifahamu na hajui kama niko na polisi . nikawajibu polisi mimi nafanya kazu na watu wengi huenda ananifahm lakini mimi simfahmu nikaambiwa ulimtumia pesa siku flani na saa flani.
nikawambia labda huenda nilimtumia kwa sabau ya shunghli zangu lakini simkumbuki!
baadae wakaondoka wakaniachia namba ya yao ya simu kwamba nimwite alafu waje wamdake!
sasa nikaja nikakutana na watu kadhaa nikaambiwa katika kufuatilia kuna tawi la benk flani iliwahi kuvunjwa yeye akiwa anahusishwa! .
tuwe makini sana na mitandao pia na watu usio wafahaumu vizuri.
fuatilia nakuaminia Mrangi. za chini chini alishatoka na yuko jiji la Hong Kong uchina kwao. kwani huyu ndio mfadhili wa kumuua mzungu eti Ngongo ?Huyu mama namjuwa vzr sana
Tokea anamiliki Beijing restaurant wakati ule iko mitaa ya shoppers plaza mikocheni
Ni mwanamke wa dili sana,Ana mipango 10000 kidogo
Alafu alikujaga tz wakati ule wachina wanajenga reli,akabakia tz na akawa kama mkalimani wa wachina
Kuna dili alishanipaga hehe,aise nkachemsha mwenyewe
Vigogo wengi alikuwa amewashika
Sjui ma rpc na wengineo
Kuna wakati alikuwa mbioni kutoka sasa sijui kama ametoka au laaa
Ila nkifatilia naweza jua maana aliyekuwa dereva wake alikuwa mwanangu sana
Ila mwanamama huyu ni mtu wa mipango sana
Ova
Alikuwa mtetezi wa haki za wanyama na alikuwa anapinga ujangili katika mbuga na hifadhiKwanza tujue Lotter ni nani na alikuws anafanya kazi gani. Hapa ndio tutajua motive ilikuwa nini? Wanaweza kumuua bila kutumwa pia kutegemeana na sababu ya kumuua.
Lotter alikuwa ni one man army, mwanaharakati huru wa masuala ya meno ya tembo.Huyo Lotter alikuwa nani??
Mzee wa ivoryUmanmzunguzia Obrahnan Kimana au sio?
YeaYule meli yake yenye pembe za ndovu ilikamatwa kule ughaibuni, au si