Uhusika wa waliohukumiwa kunyongwa kesi ya Lotter

Uhusika wa waliohukumiwa kunyongwa kesi ya Lotter

Pamoja na hukumu bado wahusika wakuu hawajapatikana.Kama kweli serikali inataka kujua hii chain, wasiwanyonge wakikaa gerezani kwa muda hawa watasema A to Z kwakuwa watajutia na kumrudia Mungu wao na watafunguka mpaka serikali ishangae unless wataka kufunika kombe kuwaokoa vigogo.
 
Watuhumiwa 11 wamehukimwa na Mahakama kuu ya Tanzania kwa kumuua Wayne Lotter.

Ingawa mfadhili kuu wa kesi hii alikuwa Mchina , bado haijajulikana hakukamatwa au alikamatwa akawa deported. Mwingine Fahmi Karama alikamatwa lakini haijulikani yupo wapi, hata kwenye kesi hakuletwa Kama mtuhumiwa:.

Uhusika kwenye mauaji ya Lotter Ni Kama ifuatavyo:

1. Wa kwanza, Ismail Issa Machips yeye ndio alipewa dili na mchina na kutakiwa kutafuta hitman wa kumuua Lotter. Machips na huyo mchina walikutania Arusha. Kwenye kutafuta hitman akamuhusisha Makoi.

2. Wa pili ni Makoi, yeye alimtafuta Hitman baada ya kushirikishwa na Issa Machips. Na Makoi akapendekeza mtu anayeweza hiyo kazi ni Fahmi Karama. Hivyo Hawa wawili ndio chimbuko hasa la dili lote.

3. Wa tatu Rahma Mwinyi, yeye kazi yake ilikuwa kutunza silaha zilizotumika kumuua Lotter. Na silaha hizo alikuwa anaficha makaburini huko Temeke. Pia huyu Rahma aliingizwa kwenye hili dili na kaka yake Fahmi Karama na alikuwa saa zingine anawapikia msosi watuhumiwa wengine waliokuwa wanakuja hapo kwao Temeke.

4. Wa nne Chambiie Juma, huyu alikuwa dereva taxi kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa KIA. Na Marehemu Wayne Lotter alikuwa mteje wake alipokuwa akifika KIA au kuondoka KIA. Yeye ndio alitoa taarifa kwa wauaji kwamba Mr Lotter ameshapanda ndege na anaelekea Dar.

5. Wa tano, Allen Mafue. Huyu ameingia kwenye hi kesi Kama mfadhili wa mauaji. Yeye ndiye aliyewalipa kiasi Cha millioni 20 za kitanzania akina Karama na ongiste. Na aliwalipa hizo fedha kwenye bureau de change yake.

6. Wa sita Ayoub Selemani Kihoi, yeye kazi yake kubwa ilikuwa kuwafuatilia kwa ukaribu Lotter na mwenzake na kuwapa taarifa wauaji. So kazi yake ilikuwa ni kumonitor na kuwafatilia akina Lotter wanapotoka na kwenda siku hiyo ya mauaji. Na kuwapa attention wauaji wawe tayari.

7. Wa Saba ni Abou Omary mchingile, yeye pamoja na Kihoi walikuwa pamoja kumonitor taxi waliyoitumia akina Lotter na kutoa taarifa imefika wapi na inaelekea wapi ili wauaji wawe attention.

8. Wa nane, Michael David Kwavava, huyu ndio alikuwa dereva taxi wa Mr Lotter ndio aliyemtoa JKIA kumpeleka Baobab Village Masaki. Huyu dereva taxi alikuwa na mawasiliano na Fahmi Karama kabla siku ya mauaji hayajatokea. Na Fahmi alikuwa na mazungumzo naye kwa nusu saa kuhusu huo mpango wake.

9. Wa tisa ni Ndui mana ongiste raia wa Burundi. Huyu ndie aliyetekeleza mauaji kwa kumpiga Risasi Marehemu Lotter. Pia dereva taxi kwavara alimtambua kwenye identification parade iliyofanyika polisi, kwamba ndiye aliyefyatua risasi. Pia alikuwa akishirikiana na Fahmi Karama kwenye mipango yote.

10. Wa kumi ni Godfrey Peter Salamba, huyu ndio alikuwa dereva aliyewaendesha wauaji. Ndio alikuwa dereva wa gari lilobeba wauaji.

11. Wa kumi na moja Hibonimana Augustine Nyandwi, raia wa Burundi . Yeye ndiye aliyeleta silaha iliyomuua huyo Lotter na pia aliratibu mambo mengine ya kufanya mauaji hayo.

Kwenye hao wote wenye ahueni ya kukata rufaa ni wawili dereva taxi, maana mwanzoni kwenye kesi alikuwa Kama shahidi wa Jamhuri ila baadae ikagundulika naye alikuwa na mawasiliano na Karama. Na waliomtaja ni watuhumiwa wengine. Anaweza kubisha kwamba watuhumiwa walimtaja Kama kumkomoa baada ya kusema alimuona ongiste akimpiga risasi Lotter.

Mwingine ni Erick Mafue amabaye bureau de change yake ilitumika kufanya malipo kwa watuhumiwa. Je alitumiwa tu pesa za kigeni abadilishe au pesa zilikuwa za kwake za kufadhili mauaji hayo. Na je alijuwa fedha hizo zitatumika kwenye mauaji?. Wengine kwenye kuchomoka kwenye rufaa ni kazi.

* wa Jamhuri ila baadae ikagundulika naye alikuwa na mawasiliano na Karama. Na waliomtaja ni watuhumiwa wengine. Anaweza kubisha kwamba watuhumiwa walimtaja Kama kumkomoa baada ya kusema alimuona ongiste akimpiga risasi Lotter"

Hii sio rahisi, maama ushahidi uliomfunga sio wa kutaja, na lazima wana ushahidi aliongea na huyo mwingine, hakuna motive ingine ya kuongea isipokuwa uhusika katika mauajia, ila wa bureau de change anaweza kutoka ila sio rahisi
 
Sasa rasmi nimethibitisha pasipo shaka yoyote kuwa wewe ni mpumbavu, yaani pamoja na mwandishi kuandika kwa mtiririko mzuri kabisa ila wewe ulikuwa busy kutafuta jina lenye asili ya kaskazini ulipigie kambi?what a stupid creature?
Walikua ni wa wapi? Si hapa Arusha,ili ujue sikuogopi.. njoo DM nikuelekeze nilipo nione utafanya nini kama upo hapa Arusha mjini, unaukasirikia ukweli
 
Hadi sasa sijaona mahali panapoonesha mahakama inajibu swali la kwa nini wahusika wote hao wahusike kumuua mtu mmoja tu...

Je, wauaji ni majangili wa meno ya tembo?

Je, wauaji ni majambazi wanaochukua kazi za malipo za kuua watu?
Hata mimi
Nimeitafuta sana hii connection. Mahakama ingetuambia hawa waliwahi kuwa na historia ya ujangili etc. Kuna vitu chini ya carpet havijapata mfagiaji
 
Hadi sasa sijaona mahali panapoonesha mahakama inajibu swali la kwa nini wahusika wote hao wahusike kumuua mtu mmoja tu...

Je, wauaji ni majangili wa meno ya tembo?

Je, wauaji ni majambazi wanaochukua kazi za malipo za kuua watu?
Wamekula njama. Japo muuaji ni mmoja so hao watu wote walikuwa wanajua mpango wa mauaji
 
Kuna wakaskazini hapa wafanya biashara pale Arusha, lakini mtasikia tu wakaskazini wanajua kubana budget mpaka wanapata pesa, waaapi..... Kuna mtu anajua kubana pesa kama Muhindi na Muha wa Kigoma? Watu ni majambazi, yaani kundi lote hili kumuua mtu mmoja tu tena siyo Raia kwa faida za ujambazi wao!!! Dunia hii

Namfahamu Godfrey Salamba,baba yake ni marehemu Askari Trafic.

Alianza wizi mdogo mdogo akiwa na umri mdogo kati ya miaka 17 mpak 24.

Baada ya kuishi kwa Dada yake Late Mama Peter alikimbilia Shinyanga na kuunda genge la kuwapora wafugaji fedha hasa wanapotoka katika minada.

Baada ya mafanikio makubwa ya uporaji alijenga na kununua nyumba kadhaa Jijini Dar.

Mama yake kipindi chote akiishi maeneo ya Mwananyamala katika chumba kimoja.Baada ya kufiwa na mume wake miaka ya late 1980s.

Kabla ya hili tukio la mauaji tulionana maeneo ya Kaloleni Arusha akimiliki Toyota Land Cruiser 105.Alionekana ni mwenye harakati nyingi huku kila akiongea na simu ambazo hazikuwa za kawaida.Tulikuwa tukimkwepa sana kwakuwa zilikuwepo taarifa za uhakika katika Gari yake alikuwa na silaha na mavazi ya jeshi.

Godfrey mara kadhaa alikuwa akipata nafuu za kisheria kwakuwa marehemu Baba yake alikuwa ni Askari.Godfrey ni msukuma wizi/ ujambazi hauna kabila wala ukanda.
 
Pamoja na hukumu bado wahusika wakuu hawajapatikana.Kama kweli serikali inataka kujua hii chain, wasiwanyonge wakikaa gerezani kwa muda hawa watasema A to Z kwakuwa watajutia na kumrudia Mungu wao na watafunguka mpaka serikali ishangae unless wataka kufunika kombe kuwaokoa vigogo.
Hata wakisema hawawezi geuza lolote lile, hawa kosa lao ni kuua,kula njama ya kuua
 
Namfahamu Issa Ismail Machips.
Huyu ni msomali kwa asili na mwanaCCM kindaki ndaki.

Jina la machips asili yake ni kumiliki mghahawa wa chakula stand Jijini Arusha.Kupitia CCM aliweza kupewa kibali cha ujenzi Banda kitu ambacho hakikuwa cha kawaida.

Machips ni kizazi cha pili cha wasomali waliokuja/hamia Tanganyika kabla ya uhuru.Wazee wao wengi waliweka makazi yao maeneo ya Monduli,Engaruka,Loliondo,Hai na maeneo ya mipakani hasa Kenya.Wengi walijihusisha na biashara haramu ya meno ya Tembo,Faru na ngozi za wanyama kama Simba,Chui ....

Katika kipindi cha utawala wa kikoloni jamii yao ilikuwa juu sana kiuchumi ingawa hawakujihusha sana na masuala ya elimu ukiacha familia chache.Matokeo yake baada ya biashara ujangili kubanwa familia nyingi zilikikuta zimeingia katika umasikini na wengine kukimbilia Ulaya na USA.

Kwa hakika machips na genge lake wataka rufaa baada ya miaka miwili au mitatu watakuwa uraiani wakifurahia mema ya nchi.

Na amini wametiwa hatiani kwasababu aliyeuwawa alikuwa MZUNGU laiti angekuwa mmatumbi mwenzetu Majaji wetu wa michongo wangesema hakuna ushahidi wa uhakika.

Ngongo safarini Ibanda Kyerwa Park.
 
20
Watuhumiwa 11 wamehukimwa na Mahakama kuu ya Tanzania kwa kumuua Wayne Lotter.

Ingawa mfadhili kuu wa kesi hii alikuwa Mchina , bado haijajulikana hakukamatwa au alikamatwa akawa deported. Mwingine Fahmi Karama alikamatwa lakini haijulikani yupo wapi, hata kwenye kesi hakuletwa Kama mtuhumiwa:.

Uhusika kwenye mauaji ya Lotter Ni Kama ifuatavyo:

1. Wa kwanza, Ismail Issa Machips yeye ndio alipewa dili na mchina na kutakiwa kutafuta hitman wa kumuua Lotter. Machips na huyo mchina walikutania Arusha. Kwenye kutafuta hitman akamuhusisha Makoi.

2. Wa pili ni Makoi, yeye alimtafuta Hitman baada ya kushirikishwa na Issa Machips. Na Makoi akapendekeza mtu anayeweza hiyo kazi ni Fahmi Karama. Hivyo Hawa wawili ndio chimbuko hasa la dili lote.

3. Wa tatu Rahma Mwinyi, yeye kazi yake ilikuwa kutunza silaha zilizotumika kumuua Lotter. Na silaha hizo alikuwa anaficha makaburini huko Temeke. Pia huyu Rahma aliingizwa kwenye hili dili na kaka yake Fahmi Karama na alikuwa saa zingine anawapikia msosi watuhumiwa wengine waliokuwa wanakuja hapo kwao Temeke.

4. Wa nne Chambiie Juma, huyu alikuwa dereva taxi kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa KIA. Na Marehemu Wayne Lotter alikuwa mteje wake alipokuwa akifika KIA au kuondoka KIA. Yeye ndio alitoa taarifa kwa wauaji kwamba Mr Lotter ameshapanda ndege na anaelekea Dar.

5. Wa tano, Allen Mafue. Huyu ameingia kwenye hi kesi Kama mfadhili wa mauaji. Yeye ndiye aliyewalipa kiasi Cha millioni 20 za kitanzania akina Karama na ongiste. Na aliwalipa hizo fedha kwenye bureau de change yake.

6. Wa sita Ayoub Selemani Kihoi, yeye kazi yake kubwa ilikuwa kuwafuatilia kwa ukaribu Lotter na mwenzake na kuwapa taarifa wauaji. So kazi yake ilikuwa ni kumonitor na kuwafatilia akina Lotter wanapotoka na kwenda siku hiyo ya mauaji. Na kuwapa attention wauaji wawe tayari.

7. Wa Saba ni Abou Omary mchingile, yeye pamoja na Kihoi walikuwa pamoja kumonitor taxi waliyoitumia akina Lotter na kutoa taarifa imefika wapi na inaelekea wapi ili wauaji wawe attention.

8. Wa nane, Michael David Kwavava, huyu ndio alikuwa dereva taxi wa Mr Lotter ndio aliyemtoa JKIA kumpeleka Baobab Village Masaki. Huyu dereva taxi alikuwa na mawasiliano na Fahmi Karama kabla siku ya mauaji hayajatokea. Na Fahmi alikuwa na mazungumzo naye kwa nusu saa kuhusu huo mpango wake.

9. Wa tisa ni Ndui mana ongiste raia wa Burundi. Huyu ndie aliyetekeleza mauaji kwa kumpiga Risasi Marehemu Lotter. Pia dereva taxi kwavara alimtambua kwenye identification parade iliyofanyika polisi, kwamba ndiye aliyefyatua risasi. Pia alikuwa akishirikiana na Fahmi Karama kwenye mipango yote.

10. Wa kumi ni Godfrey Peter Salamba, huyu ndio alikuwa dereva aliyewaendesha wauaji. Ndio alikuwa dereva wa gari lilobeba wauaji.

11. Wa kumi na moja Hibonimana Augustine Nyandwi, raia wa Burundi . Yeye ndiye aliyeleta silaha iliyomuua huyo Lotter na pia aliratibu mambo mengine ya kufanya mauaji hayo.

Kwenye hao wote wenye ahueni ya kukata rufaa ni wawili dereva taxi, maana mwanzoni kwenye kesi alikuwa Kama shahidi wa Jamhuri ila baadae ikagundulika naye alikuwa na mawasiliano na Karama. Na waliomtaja ni watuhumiwa wengine. Anaweza kubisha kwamba watuhumiwa walimtaja Kama kumkomoa baada ya kusema alimuona ongiste akimpiga risasi Lotter.

Mwingine ni Erick Mafue amabaye bureau de change yake ilitumika kufanya malipo kwa watuhumiwa. Je alitumiwa tu pesa za kigeni abadilishe au pesa zilikuwa za kwake za kufadhili mauaji hayo. Na je alijuwa fedha hizo zitatumika kwenye mauaji?. Wengine kwenye kuchomoka kwenye rufaa ni kazi.
20M tu zenye mgao watu 11 zimetoa uhai wa mtu?
 
Sijawahi kuifuatilia hii kesi ila kwa hukumu iliyotoka kuna mchezo umefanyika kufunika kombe.

Inaonyesha kuna wahusika wakubwa sana nyuma ya pazia ambao hawajatajwa.

Maana imeanzia tu mtu amepewa deal ya kuua na ndio mnyororo wa wahusika umeanzia hapo. Hao vijana siju wazee ni kweli wanehusika kuua ila je wametumwa na nani? Kwa nini aliyewatuma ambaye ndio chanzo cha mauaji hajausishwa. Nawaza tu kwa kina ila sina interest yoyote na hayo mambo

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Kwanza tujue Lotter ni nani na alikuws anafanya kazi gani. Hapa ndio tutajua motive ilikuwa nini? Wanaweza kumuua bila kutumwa pia kutegemeana na sababu ya kumuua.
 
Namfahamu Issa Ismail Machips.
Huyu ni msomali kwa asili na mwanaCCM kindaki ndaki.
Actually siwafahamu hao woote lakini ningekuwa sahihi kama ningesema hao woote watakuwa wana ccm.

Wana ujasiri sana hao wanachama
 
Namfahamu Makoi,asili yake Kibosho akimiliki maduka kadhaa ya madawa (Pharmacy) ingawa hata kidato cha pili hakumaliza.

Kupitia biashara zake za madawa alijikuta akipanda haraka haraka kibiashara kumbe nyuma ya pazia alikuwa na biashara nyingine.
 
Back
Top Bottom