Uimbaji wa aina hii sio sahihi ndani ya kanisa la kisabato.

Uimbaji wa aina hii sio sahihi ndani ya kanisa la kisabato.

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Nani aliyeanzisha huo uhuni wa kwaya kuimba kama wasanii wa bongo flavour na playback? Mchungaji Paul Semba yuko sahihi kukemea huo ushenzi. Hata katoliki mnaowasimanga hawawezi kufanya hiki kinachofanyika ndani ya SDA. Mkataeni shetani mapema kabla hajazidi kuharibu mambo.

 
Huo ni msimamo wa mchungaji kama mtu binafsi au kanisa? Kanisa kama kanisa ndiyo linatakiwa litoe mwongozo kwa matawi yake.
 
Back
Top Bottom