Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
-
- #41
Shule gani hiyo mlifundishwa zaidi ya kukaririshwa kuhusu sir richard turnbull na edward twinning?Kuhusu namna ya ufalme wa Uingereza tulifundishwa shuleni jinsi ulivyotofauti na Ufalme kama wa Eswatini nahisi wewe ulikua huingii darasani.
Historically ni kweli lakini siku hizi wanakula maisha bure tu hamna lolote.Unadhani ufalme wa uingereza ukitamatishwa itaweza kuzitawala nchi nyingine? Itaibuka migogoro mikubwa kama ya Taiwan na China maradufu....
Wale jamaa ndo roho ya uingereza na ndo engine ya uingereza kukua kuheshimika!
Haya mambo ni mazito kuyaelezea ila tutaendelea kupeana elimu mdogomdogo
Uingereza ipi unayoiongelea wewe? Hii ambayo wananchi wamepiga kura ya Brexit? Au ile ya Scotland kupiga kura kuona kama waendelee kutawaliwa na malkia au wasepe zao.Ukibahatika kufika na kuishi Uingereza utakuja kufuta huu uzi wako.
F. Y. I kila kitu kipo chini ya Mfalme. Serikali/Prime Minister, Kanisa/Church of England, Bunge/House of Lords / House of Common, na vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama.
Mfalme ndio Alfa na Omega.
Yeye na familia yake wanapiga hela na maisha ya anasa bila kufanya kazi yoyote.Nani kakuambia Uingereza inatawaliwa kifalme, mfalme yupo kama symbol tu
Ashiriki kwenye kampeni za kupinga kodi na tozo zisizo na tija zilizowekwa na serikali.Mshirikishe ishu moja ya MSINGI unayohisi haifuatilii
Hujaniona nikipigania hizo zipunguzwe?Ashiriki kwenye kampeni za kupinga kodi na tozo zisizo na tija zilizowekwa na serikali.
hahahaaaaa jamaa kaandika point ila wewe umeandika point ya msingiSasa wewe unaumia nini? Mnashindwa kufatilia ishu za msingi unawaza mambo ya wengine.
Tulifundishwa Civics Form II katika forms of government. Na kwenye kipengele cha Monarch tukaambiwa kuna two types of Monarchies. Constitutional Monarch na Absolute Monarch. Mfano wa Constitutional Monarch ni UK, na Absolute Monarch ni Swaziland ambayo sasa ni Eswatini.Shule gani hiyo mlifundishwa zaidi ya kukaririshwa kuhusu sir richard turnbull na edward twinning?
hahahaaaaMnapenda kuhoji na kufuatilia mambo yakipuuzi yasiyo na tija kwetu kama taifa. Watu wanatoana roho kubishania Urusi na Ukraine wakati kila siku wanapapaswa kalio na Mwigulu wamekaa kimya tu.
Hii tayari maza ieshaifanyia kazi, kuna nyingine?Ashiriki kwenye kampeni za kupinga kodi na tozo zisizo na tija zilizowekwa na serikali.
Ningekuwa nimekuona nisingesema hivyo. Anyway if so then I withdraw my comment.Hujaniona nikipigania hizo zipunguzwe?
Nacheka tuu.Sifa za mtu anayetambulika kama mfalme:
1. Awe anamiliki ardhi yote anayotawala.
2. Awe na amri juu ya watu wote wa eneo lake kila wakati
3. Awe anamiliki mali zote katika eneo lake na kwamba kila raia awe anafanya kazi kwa ajili ya mfalme
4. Tamko la mfalme linakuwa sheria ambayo inatekelezwa mara moja
5. Mfalme ndio mwongozo wa tabia, mwenendo na tamaduni ya kila raia kwenye eneo lake
6. Mfalme anayo haki ya kumpatia au kumnyang'anya yeyote kitu chochote bila kuulizwa
7. Hukumu ya mfalme ni mwanzo na mwisho wa mabishano.
8. Mfalme anawajibika kiulinzi na kuhakikisha watu wake wanapata mahitaji yao ya kila siku.
Haya yote hayapo pale Uingereza. Kinachoendelea pale ni raia masikini wanakubali kuitunza familia isiyokuwa na mamlaka ya kiutawala juu yao.
ttzo la waafrika huwa akili haiangalii mbele , walipata enz wakiwa na mamlaka ila sasa hv hiyo familia ni sehem ya heshima ya utamaduni wao ili isipotee inatunzwa kwa assets ambazo awali walikuwa wanazimiliki km utawala , wenzio hawana njaa km zako , ushindwe kula lunch unawazia estate ya late QueenWalipata wapi crown estate kama sio kwa waingereza wenyewe? Buckingham palace na Windsor castle ni mali za umma ambazo zinagharamiwa na waingereza.
hahahaaaaMbona kama umeelezea madarakani ya Rais wetu?
haikuwa sehem ya roman empire bali walitawaliwa kimabav na warumi , hlf akil yako inaonesha ww ni mvaa kobaz , hujui kuwa wenzetu huji update kuendana na mudaModel ya tawala za kifalme inafahamika ulimwenguni kote. Hata hiyo UK ilikuwa sehemu ya Roman empire ambayo utaratibu ulikuwa ndio huo nilioutaja.
Kwa hiyo taarifa tunazoziona BBC, CNN ni za uongo???Usilolojua familia ya kifalme hawatunzwi na kodi za wananchi kama hawa wastaafu wetu, wana kitu kinaitwa Crown Estate, ni kama kampuni inayomiliki vitega uchumi, huu mfuko ndio unalipia gharama za ufalme
usipende ubishi au ndo unaitumia holiday yako vzr ya kujiandaa na NECTAHistorically ni kweli lakini siku hizi wanakula maisha bure tu hamna lolote.
Juzi tu hapa scotland ilipiga kura kuamua kama wabaki au wasepe. Mfalme gani anatawala watu wanaojiamulia kama wawe chini yake au la?
Itakuja tokea kama France.Wapo baadhi ya waingereza wameshaanza kuhoji iweje wawe wanaitunza familia moja ambayo haiwasaidii chochote. Miaka sio mingi wataondoshwa.
Hiyo elimu ya civics uliletewa na huyohuyo malkia uchwara. Ukaacha kujifunza elimu ya afrika ukawafuata wao.Tulifundishwa Civics Form II katika forms of government. Na kwenye kipengele cha Monarch tukaambiwa kuna two types of Monarchies. Constitutional Monarch na Absolute Monarch. Mfano wa Constitutional Monarch ni UK, na Absolute Monarch ni Swaziland ambayo sasa ni Eswatini.
Wewe ulidoji tu vipindi au hukua unaelewa ila tulifundishwa.
wenzio wapo huru , na wananchi wapo huru kuamua , uongoz ni mfumo wa watu kujitawaka so popote unaeza rekebishwa ili ukizi matakwa ya raia , tofauti na dona countryUingereza ipi unayoiongelea wewe? Hii ambayo wananchi wamepiga kura ya Brexit? Au ile ya Scotland kupiga kura kuona kama waendelee kutawaliwa na malkia au wasepe zao.
Ufalme wa wapi ambao subjects wanajiamulia kama wawe na mfalme au waondoke zao?