Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Hawa waingereza walisambaza ukoloni karibu robo ratu ya dunia leo wanarusha ngumi kiasi wahamiaji tu tena wanaoenda wakiwa hawana silaha yoyote kubwa hata membe na sindano za kuwajeruhi waingereza sidhani kama huwa nazo.

Madhara ya ukoloni na u are wa British empire sidhani kama hayo maamuzi hawa watu wanaya fahamu.

Waingereza wamefanya na waendelea kufanya na kuunga mkono uharibu sehemu mbalimbali duniani.

Watulie tu waya malice kwa njia ya amani.
Kwa hiyo na wewe unataka ukawe mkoloni huko?
 
Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh

Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu

Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam na Waumin wenzao ili waishi watakavyo

kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe
Huyu FaizaFoxy anasema eti wazayuni ndio walioharibu mataifa yao hao wahamiaji!
 
Kama walishafanya wanashindwa nini kurudia tena. Unaikumbuka Spanish Reconqesta? Hawa jamaa hawawezi kushindwa wakiamua. Ni suala la muda tu
Dunia imegawanyika katika zama ama vipindi ni muhimu kutambua historia ya mabadiliko ya dunia.

Matendo mengi ya kale sasa hayawezi fanyika kabisa au kwa urahisi huo unaofikiri.
 
Nani alianza kumvamia mwenzake na kumuharibia nchi zake muingereza ua muarabu ?
Kuwe na mabadilishano, Waafrika walio tayari kufuata tamaduni za West na mfumo wa maisha wa huko waende Ulaya na US halafu hao Waarabu wahamiaji waje huku Africa.
 
Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh

Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu

Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam na Waumin wenzao ili waishi watakavyo

kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe
Ina maana hizo nchi hakuna waislamu ambao ni wazawa wa hizo nchi kwa maana wazungu?
 
Wao waingereza walikaa muda gani kwenye maeneo ya wenzao kibabe ?

Tena tushukuru wahamiaji hawaingii kibabe kama walivyo waingereza
Unawatetea wanaopigika wewe ukiwa tandale kwa mtogole?

Warudi kwao, waliwapiga wazungu wakidai kujitawala, wanapokwenda huko, wanakwenda kumdai nini mzungu aliyewaachia nchi zenyu?
 
Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh

Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu

Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam na Waumin wenzao ili waishi watakavyo

kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe
Muingereza kaiharubu mashariki ya kati ana jukumu kubwa la kuijenga upya na kuwapa hifadhi na usalama mkubwa watu wa kutoka eneo hilo sio tu eneo hilo bali karibu robo tatu ya dunia.
 
Tatizo na chanzo ni hawa jamii ya waarabu na dini yao hawatakagi kukaa kistarabu, wao kila saa ni kuwaza ugaidi tupy
We mpumbavu kwani Uarabu ndo walioko wingereza tu? Hidadi kumbwa ya wahamiaji ni Africa kutoka kwenye makoroni ya zamani ya uingereza wakifuatiwa na wa jamii ya wa Hindi
 
Back
Top Bottom