Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Niliandika uzi juzi namna waislamu wanavyoshindwa kuishi na wenyeji sehemu yoyote duniani hata ukiwakaribisha nikatolea mfano waislamu wazanzibari walionunua ardhi morogoro kule matombo kwaajili ya kulima spice wameanza kukorofishana na wenyeji wanaofuga nguruwe miaka dahari kwahiyo uislamu ni janga popote duniani ukitaka kuishi kwaamani jiepushe kukaa na waislamu sikatai wapo wema na waliostaarabika kama kina jakaya ila walio wengi hawafai.
Wanataka kuishi maisha ya Firdaus wakati wapo Duniani, halafu wanawaona watu wengine ni Paka tu 🤣
 
Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh

Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu

Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam na Waumin wenzao ili waishi watakavyo

kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe kila kona
Chanzo cha vurugu ni kijana wa kikristo kuua
 
We mpumbavu kwani Uarabu ndo walioko wingereza tu? Hidadi kumbwa ya wahamiaji ni Africa kutoka kwenye makoroni ya zamani ya uingereza wakifuatiwa na wa jamii ya wa Hindi
India nayo pia ilikuwa koloni Muingereza kwa muda mrefu sana.
 
Swala sio uislam wao, au uarab,
Kila race inapenda ibaki kama inavyotaka, ulaya na america wenyewe wanasema ni nchi za weupe, na inabidi ibaki nyeupe, sasa hawa weusi, Latino, na Arabs wanataka kuharibu demographic,
Kule kwa wa Arab, hawawatski watu weusi kwa sababu wakizaliana Sana, weupe wao utapotea!
Sie huku bongo, hatupendi watu wenye asili ya Burundi, Rwanda,

Lakini kwanini zanzibar na wao wakillamika huwa munawaona wabaya? wakati ndio mfumo wa kiulimwengu ulivyo kila mtu analia na mama yangu
 
Wana jf tujitambueni tuache ushabiki wa kidini kila sehem ...hao wazungu wanataka tamaduni zetu ziaribike na wqnataka mpk serikali zetu zikubali ushoga ambao c tamaduni zetu .
Kwao hawataki tamaduni zao zivunjwe ,ila kwetu fresh tena mpk vikwazo unaekewa ukikataa kuwafata
 
Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh

Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu

Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam na Waumin wenzao ili waishi watakavyo

kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe kila kona
Shida ya waingereza na wavivu kazi hawataki wao wako busy kunywa pombe hawa wageni wanachapa kazi hawatafuti ajira wanajifanyia biashara sasa wivu unaanzia hapo, kama wazulu tu wakataka kufanya fujo sababu wao wavivu wenzao wanatafuta. Leo hii wakiondoka wageni wote biashara hakuna ila hapa ngumu sababu wengi ni raia wa UK tu so wana haki kama wengine. Lakini hawa wa UK wamesahau walienea dunia nzima kupora utajiri wa watu wengine maana wao walikuwa hawana kitu zaidi ya jeshi. Sasa zamu yao kwa yale waliyofanyia wengine. Kizazi chao cha zamani walikuwa wanafanya kazi sababu ya ugumu wa maisha wakati ule lakini wa sasa kazi hawataki.
 
Ndiyo maana Trump anapendwa na Wamarekani wazawa maana ameahidi kupambana na wahamiaji na uhamiaji haramu. Kuna mvuvumko wa populism politics duniani kote ili kulinda haki za wazawa. Kwa Ulaya nadhani walichelewa kuliona hili mapema; and it is too late. Mbaya zaidi wenyewe wanazaa katoto kamoja au hawazai kabisa wakati waarabu wanakamua mpaka watoto wanane+....

View attachment 3061229
Tatizo mtu mweusi ngozi ya tako kama wewe unavyijona mgalatia unadhani umepona
Wazungu hawajali mwarabu au mweusi, hata wewe huko uliko, unatembea kwa hofu ukienda redneck states
 
FICHA UJINGA WAKO
Wewe ufiche upumbavu wako, kama wewe ni mwarabu, nimekwambia ukweli na ukweli umekuchoma, na hata sasa kwa majibu haya tu, tayari umetamani kunilipua mabomu

Nyinyi watu ni wa hovyo mno yaani
 
Huwa nawashangaa sana weupe, kuruhusu influx ya mwarabu kwenye nchi yako ni kuruhusu machafuko tu...
Mazao waliyopanda kwa muda mrefu ndio kwanza waanza kuyavuna nawatakia uvunaji mwema usio na kelele na malalamiko.
 
Tatizo mtu mweusi ngozi ya tako kama wewe unavyijona mgalatia unadhani umepona
Wazungu hawajali mwarabu au mweusi, hata wewe huko uliko, unatembea kwa hofu ukienda redneck states
Mijitu meusi ya huku cjui ikoje ..hapo marekani enyewe mtu mweusi anabaguliwa sembuse we wa njombe manina zenu mna kazi kusema waarabu waarabu hao hawana ziki kam bongo ila Vita ndio imewafanya wengi waame na vita zenyewe chanzo ni hao hao wazungu
 
Hawa waingereza walisambaza ukoloni karibu robo ratu ya dunia leo wanarusha ngumi kiasi wahamiaji tu tena wanaoenda wakiwa hawana silaha yoyote kubwa hata membe na sindano za kuwajeruhi waingereza sidhani kama huwa nazo.

Madhara ya ukoloni wa British empire sidhani kama hawa watu wanaya fahamu.

Waingereza wamefanya na waendelea kufanya na kuunga mkono uharibu sehemu mbalimbali duniani.

Watulie tu waya malize kwa njia ya amani.
Umeandika nini mkuu?
 
Hakuna kipya chini ya jua. Mambo yaliyofanyika zamani ndiyo yanafanyika sasa hv. Hv kuna mtu aliamini kama kuna nchi duniani inaweza kuvamia nchi nyingine na kujimegea kipande cha ardhi huku dunia ikiangalia tu? Haya ni mambo yalifanyika zamani na sasa yanafanyika tukiona hapo Ukraine na hakuna nchi inafanya chochote zaidi ya kuangalia tu.

Au jinsi Israel inavyoua watu hapo Gaza si kama simulizi za zamani lakini zinatokea sasa na hakuna mtu anajihangaisha zaidi ya maneno ya hapa na pale. Na huko ikitoa itakuwa mchezo mchezo kama Gaza ila watu ndiyo watakuwa wanauliwa
Na mikataba ya Ki-Mangungo pia!
Matajiri wa dunia wanajichotea ardhi nchi masikini kama wanakunywa maji vile!
 
Wana jf tujitambueni tuache ushabiki wa kidini kila sehem ...hao wazungu wanataka tamaduni zetu ziaribike na wqnataka mpk serikali zetu zikubali ushoga ambao c tamaduni zetu .
Kwao hawataki tamaduni zao zivunjwe ,ila kwetu fresh tena mpk vikwazo unaekewa ukikataa kuwafata
Umemaliza ndugu yangu, tukubaliane tu kila mtu afuate utamaduni wa nchi zao na wao waache kulazimisha ushoga katika nchi zetu kujidai haki za binadamu. Sasa lipi lenye haki ya binadamu zaidi, ushoga au kuabudu. Sasa hivi mpaka shuleni wanafundisha watoto kuwa kuna jinsia nyingi sio Male na Female tu yaani hawa jamaa hujui wanataka nini. Tukubaliene tu tusipangine la kufanya. Walitukana Qatar mpaka wakachoka jamaa wakakaza tu, shoga karibu lakini uchafu wako fanyia kwenu.
 
Watu wote duniani wamewahi kutawaliwa au kutawaliana kimabavu, hata Wangoni walioko Tanzania leo hii walikimbia huko Africa Kusini baada ya kushindwa vita na Shaka Zulu, pia unaweza kukuta kabila lako walikuwa na mojawapo ya makabila walioshirikiana na kina Tipu-TIpu na Abushiri kukamata na kuuza watumwa.
Basi ni muda sahihi wakunywa chai waliyo iandawa kwa muda mrefu nategemea itakuwa chai bora kwao.
 
Back
Top Bottom