Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Human rights na Demokrasia ndio wanachofuata maana wakikaa kwao kufuata tamadun zao bado bwana wenu anawavamia kama alivyofanya Libya. Sasa wanakuja kwenu huko ulaya ili muwavamie wakiwa huko huko kwenu, najambo zuri kuliko yote wanazaana Kwa speed kubwa Sana.
Kaeni kwa watu na mfuate taratibu na Sheria zao...mbona hawakuwasumbua miaka yote mpaka nafasi za uongozi Waislam wanapata vizuri tu

Once you are in Rome, live as Romans
 
Kaeni kwa watu na mfuate taratibu na Sheria zao...mbona hawakuwasumbua miaka yote mpaka nafasi za uongozi Waislam wanapata vizuri tu

Once you are in Rome, live as Romans
Yakitokea south Africa mbona huwa mnalaani?. Acheni yatokee tu popote pale ili akili iwakae sawa.

Na pia wanahaki yakuabudi kadri watakavyo maana huko ndio Kuna Human rights
 
Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh

Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu

Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam na Waumin wenzao ili waishi watakavyo

kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe kila kona
Inavyoelekea, huko mbeleni dini ya mhamiaji itakuwa moja ya kigezo muhimu ili kupewa visa. Yaani watu ni wageni nchi ya watu halafu wanalazimisha matakwa yao juu ya wenyeji.

Kule Portugal raia walishaandamana kupinga uhamiaji wa hao jamaa wa dini ya "haki"..

View: https://twitter.com/AzzatAlsaalem/status/1754867942586487291?t=pBO_CVedL0PQDI9Db51Gpw&s=19
 
Itavunjwa tu.Hakuna kusamehe mihunihuni.They've to go back to their old homestead!
Nihalali wazungu watuite wesu Nyani, kama wao ndio wanatuhimiza sisi tutelekeleze haki za binadamu lakini wao wakizvunja tunaona ni sawa na tunawaunga mkono. Acha utekaji bongo uendelee.
 
Utamsikia mzanzibari akisema uingereza wanakaa makafir na mabeberu lakini akiambiwa achague nchi ya kuhamia haendi Afghanistan au Bangladesh, utakuta anataka uingereza au Israel and hata sumbawanga.
Waislamu wamegundua kwamba nchi za kikristo Zina Amani ya kweli.
Sijawahi kusikia MTU anazamia Afghanistan au Azerbeijan au undengestan au hata Mkuranga.
 
Nihalali wazungu watuite wesu Nyani, kama wao ndio wanatuhimiza sisi tutelekeleze haki za binadamu lakini wao wakizvunja tunaona ni sawa na tunawaunga mkono. Acha utekaji bongo uendelee.
Kuna muda unapaswa uelewe kwamba ustaarabu ukimfanyia mjinga asiye na shukrani unakuwa hauna tofauti na mjinga mwenyewe. Kick those bastards out of bounds!
 
Back
Top Bottom