George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Au sio!?Mtu akishakuwa muislamu akili zinahama
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sio!?Mtu akishakuwa muislamu akili zinahama
USSR
Aliyeua wasichana watatu na kujeruji karibia tisa,wakiwa hali mbaya,ni Alex,mwenye asili ya Rwanda,muafrika,mkristo,,ndio chanzo cha vurugu,muarabu na muislamu,anahusika hivi hapa.Kosa ni serelali ya Uingereza,kuchelewa kumtangaza muuaji,Alex,kwa kidingizio cha umri,kuwa tarehe 7 August 2024 ndio anatimiza miaka 18.Tatizo na chanzo ni hawa jamii ya waarabu na dini yao hawatakagi kukaa kistarabu, wao kila saa ni kuwaza ugaidi tupy
MuingetezaNani alianza kumvamia mwenzake na kumuharibia nchi zake muingereza ua muarabu ?
Nani halaani yakitokea South Africa?Yakitokea south Africa mbona huwa mnalaani?. Acheni yatokee tu popote pale ili akili iwakae sawa.
Na pia wanahaki yakuabudi kadri watakavyo maana huko ndio Kuna Human rights
Wewe umetoa sababu yako unayoijua na Waingereza wanazo sababu zaidi.Tulia.Aliyeua wasichana watatu na kujeruji karibia tisa,wakiwa hali mbaya,ni Alex,mwenye asili ya Rwanda,muafrika,mkristo,,ndio chanzo cha vurugu,muarabu na muislamu,anahusika hivi hapa.Kosa ni serelali ya Uingereza,kuchelewa kumtangaza muuaji,Alex,kwa kidingizio cha umri,kuwa tarehe 7 August 2024 ndio anatimiza miaka 18.
Siri moja ya dunia yenyewe haikupi kile unachokitaka inakupa inachotaka.Wao waingereza walikaa muda gani kwenye maeneo ya wenzao kibabe ?
Tena tushukuru wahamiaji hawaingii kibabe kama walivyo waingereza
Umeongea UPUMBAVU.Tatizo na chanzo ni hawa jamii ya waarabu na dini yao hawatakagi kukaa kistarabu, wao kila saa ni kuwaza ugaidi tupy
Aliyeanzisha vurugu anaitwa Alex,kwa kuua wasichana watatu kwa kisu,na kujeruhi 9,ni mkristo na ana asili ya Rwanda.Hapo vurugu sio kwa ajili ya wahamiaji waarabu,ni ni wahamiaji wote,uwe mktisto,uwe muislam,uwe muafrika,muarabu,mhindi,hawawatakiAcha watwangane siwanawaita makafiri Sasa wanafata nini kwenye nchi zao!?
Wanataka kuishi huko mnapohubiri human rights & democracy. ili Kila mtu aishi atakavyo.Nani halaani yakitokea South Africa?
Kwanini msiende kuishi Saudi Arabia na ni Non Secular state?
Waingereza wale wazee ndio walikuwa wanapambana sababu ya umaskini wakati ule sasa hichi kizazi sio cha kazi wanashida sana huo ndio ukweli. Waarabu wanafanya kazi ndio maana nchi zao wao wanaajiri tu wao pesa zimejaa sasa hujiulizi utajiri huu wanaupata wapi. Huwezi kukuta raia wa UAE kaajiriwa England ila wao wamejaa Dubai. Waafrica watu wakazi wanatafuta wanaishi ni tumekosa sera nzuri tu lakini kazi watu wanatafuta sana. Uk akiwa hana kazi analipwa posho sasa unataka kufananisha na sisi.Utaonekana kuwa na Kichaa au Ujinga ukisema Waingereza ni Wavivu wa kufanya kazi
Na Watu weusi na Waarabu utasemaje?
Waingereza hawajawahi kuwa wavivu wa kazi katika Areas zote unazojua...yaani Michezo, Viwandani, Mashambani, Darasani n.k
Na hawana utamaduni wa kukaa bila kazi kama Waswahili
ukristo wake haufanyi ubao usome tofauti.Aliyeua wasichana watatu na kujeruji karibia tisa,wakiwa hali mbaya,ni Alex,mwenye asili ya Rwanda,muafrika,mkristo,,ndio chanzo cha vurugu,muarabu na muislamu,anahusika hivi hapa.Kosa ni serelali ya Uingereza,kuchelewa kumtangaza muuaji,Alex,kwa kidingizio cha umri,kuwa tarehe 7 August 2024 ndio anatimiza miaka 18.
Kila kitu kinahitaji muasisi mkongwe, anzisha maandamano uone kama hatutakusapoti.Watanzania tuna la kujifunza.tuache uoga kuiwajibisha serikali.Mauaji Kila siku yanatokea lakini wtz hawaandamani Kwa Nini?watu Kila siku wanapotea Mfano sativa,makonda etc
Lazima waarabu wakimbilie huko sababu walikua wanaishi kwenye nchi zao kwa amani mmeenda kuanzisha machafuko hakukaliki mfano wa wahamiaji wa Libya,Iraq na Syria hzo zote hazina amani sababu ya UK na bwnake USA wanafadhiri vikundi vya kigaidi amani hakunaTatizo na chanzo ni hawa jamii ya waarabu na dini yao hawatakagi kukaa kistarabu, wao kila saa ni kuwaza ugaidi tupy
Kwani hao wageni wameenda kuitawala Uingereza?Warudi kwao kwenye sharia law zikawatafune.
Mngerez tulimfahamisha kwamba kima HAFUGIKI Wakapuuza!; Sasa wanavuna walichopanda!Wakuu hali si hali huko nchini Uingereza kwa mfalme Charles III, wananchi wenyeji wakiwa wamejihami kwa silaha mbali mbali wanatembea katika makundi makundi wakiwasaka wahamiaji na kuwatembezea kichapo.
Hali ya machafuko tayari imeikumba miji ya Liverpool, Belfast, Southport, Bristol na mingine. Na inafuatiwa na wimbi la mauaji ya kutumia visu wanayofanyiwa wenyeji na wageni wahamiaji. Police inapambana kuthibiti hali ya mambo lakini inaonekana wenyeji wamejipanga kwa mapambano zaidi
![]()
UK riots latest: Thousands take part in anti-racism protests; petrol bomb thrown at mosque in 'racially motivated' incident
Police are on high alert this weekend amid concerns over more disorder breaking out as protests take place across the country. In Northern Ireland, police are investigating a "racially motivated" attack on a mosque.news.sky.com
View attachment 3061197View attachment 3061198View attachment 3061199View attachment 3061200View attachment 3061201View attachment 3061201View attachment 3061202View attachment 3061202
Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh
Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu
Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam zenye Waumin wenzao ili waishi watakavyo
kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe kila kona
Umeniwahi aisee, nilitaka niandike kitu hiki hiki.Hata wao waliwahi kuwa wageni na wakawapangia nini cha kufanya babu na bibi zako.
Dunia inazunguka haigandi.
Yeye huyu nmuuaji ,inasemekana kutwa anajifungia ndani na kuimba kwaya,nyimbo za injili,dini yake ndio imemfunza kuua,bila shaka alitokewa na maono ya kufanya uuaji,wa wasichana wasio na hatia na kujeruhi tisa,kitendo cha kigaidi na cha kutisha.ukristo wake haufanyi ubao usome tofauti.
98% matukio ya ubakaki,uporaji,kuua yamefanywa na watu wa Africa ya magharibi na watu wa mashariki ya kati.