George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Lakini hawakuondoka kwa kupenda, sio?Muda ulipofika waliondoka.Na hao fundamentalists waondoke na warudi makwao kupigana vita za wao kwa wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini hawakuondoka kwa kupenda, sio?Muda ulipofika waliondoka.Na hao fundamentalists waondoke na warudi makwao kupigana vita za wao kwa wao.
Ndiyo maana Trump anapendwa na Wamarekani wazawa maana ameahidi kupambana na wahamiaji na uhamiaji haramu. Kuna mvuvumko wa populism politics duniani kote ili kulinda haki za wazawa. Kwa Ulaya nadhani walichelewa kuliona hili mapema; and it is too late. Mbaya zaidi wenyewe wanazaa katoto kamoja au hawazai kabisa wakati waarabu wanakamua mpaka watoto wanane+....
View attachment 3061229
Hakuna marekani mzawaNdiyo maana Trump anapendwa na Wamarekani wazawa maana ameahidi kupambana na wahamiaji na uhamiaji haramu. Kuna mvuvumko wa populism politics duniani kote ili kulinda haki za wazawa. Kwa Ulaya nadhani walichelewa kuliona hili mapema; and it is too late. Mbaya zaidi wenyewe wanazaa katoto kamoja au hawazai kabisa wakati waarabu wanakamua mpaka watoto wanane+....
View attachment 3061229
Aliyeua sio mwarabu,ni Alex,ni mnyarwanda,kama wewe,ni mkristo kama wewe,ni mwafrika kama wewe.Ndiye aliyeua wasichana watatu kwa kisu na kujeruhi tisa,serekali ya Uingereza ili anya kosa,kwa kutomtangaza mapema,baada ya kujua ni mkristo,aliyefanya mauaji,sasa hapa muarabu anahusika vipi na vurugu hizi au muislamu anahusika vipi.Tumia akili.Huwa nawashangaa sana weupe, kuruhusu influx ya mwarabu kwenye nchi yako ni kuruhusu machafuko tu...
KWamba wamarekani wote wamezaliwa nje ya Marekani?Hakuna marekani mzawa
Waingereza wanajikuta wabinafsi kupitiliza. Ila mtu mweusi mnafiki sana aisee, kuna Mnyakyusa anajifanya kuwakandia Wahamiaji hapa jukwaani, anajifanya yuko upande wa Wazungu.Bado muda hujafika mbona ndio kwanza wameanza.
Miaka zaidi 500 ni mingi hawa hata miaka 50 ya usumbufu bado haijafika
INASEMAKANA!!.Yeye huyu nmuuaji ,inasemekana kutwa anajifungia ndani na kuimba kwaya,nyimbo za injili,dini yake ndio imemfunza kuua,bila shaka alitokewa na maono ya kufanya uuaji,wa wasichana wasio na hatia na kujeruhi tisa,kitendo cha kigaidi na cha kutisha.
Aliyeua sio mwarabu,ni Alex,ni mnyarwanda,kama wewe,ni mkristo kama wewe,ni mwafrika kama wewe.Ndiye aliyeua wasichana watatu kwa kisu na kujeruhi tisa,serekali ya Uingereza ili anya kosa,kwa kutomtangaza mapema,baada ya kujua ni mkristo,aliyefanya mauaji,sasa hapa muarabu anahusika vipi na vurugu hizi au muislamu anahusika vipi.Tumia akili.
wapo lakini wachache mnoHakuna marekani mzawa
Aliyeua ni Alex,mnywaranda,ni mkristo,ameua wasichana watatu wa kizungu,na kujeruhi 9,hakuna muarabu wala muislamu ,aliyehusika hapo.Huyo Alex,mnyarwandwa,ndio aliyesababisha vurugu yote hii.Wewe ufiche upumbavu wako, kama wewe ni mwarabu, nimekwambia ukweli na ukweli umekuchoma, na hata sasa kwa majibu haya tu, tayari umetamani kunilipua mabomu
Nyinyi watu ni wa hovyo mno yaani
Azarel, imhotepAliyeua ni Alex,mnywaranda,ni mkristo,ameua wasichana watatu wa kizungu,na kujeruhi 9,hakuna muarabu wala muislamu ,aliyehusika hapo.Huyo Alex,mnyarwandwa,ndio aliyesababisha vurugu yote hii.
Native Americans hata 1.5m hawafiki,ni negligiblewapo lakini wachache mno
Ni Muingereza mwenye Asili ya Rwanda.Aliyeua ni Alex,mnywaranda,ni mkristo,ameua wasichana watatu wa kizungu,na kujeruhi 9,hakuna muarabu wala muislamu ,aliyehusika hapo.Huyo Alex,mnyarwandwa,ndio aliyesababisha vurugu yote hii.
Umemaliza mjadala.Aliyehusika ni Alex,mkristo,Mnywaranda,hawamshutumu,wanawashutumu wasio husika.Huyu Alex,,nfio.kaua wasichans watatu na kujeruhi 9,wakristo wenzake,wazungu,wasiokuws na hatia.Na huko south Africa yanapotokeaga haya huwa pia ni waarabu?.
Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh
Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu
Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam zenye Waumin wenzao ili waishi watakavyo
kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe kila kona
Ni Muingereza mwenye Asili ya Rwanda.
Aliyeaua wasichana 3 na kujeruhi 9,ni Alex,mkristo mwenzako,huyu ndiye aliyesababisha vurugu.NA WANAOTAKIWA KUONDOKA NI WAHAMIAJI WOTE,BILA KUJALI Rangi,kabila,dini,huna dini,utaifa nk.Wao ni wageni.Wasiwapangie wenyeji ya kufanya.Watulie,laa sivyo deportation kurudi kwao inawahusu.Bloody-midevu & madera!
Wapo wengi kama weweTatizo na chanzo ni hawa jamii ya waarabu na dini yao hawatakagi kukaa kistarabu, wao kila saa ni kuwaza ugaidi tupy
Wamemkataa mnijeria kuwakilisha hukoNa huko south Africa yanapotokeaga haya huwa pia ni waarabu?.
Aliyeua ni Alex,mzaliwa wa Uingereza,wazazi wake ni wahamiaji kutoka Rwanda,kwa nini huwa wanyarwanda,wasiende kuishi Burundi au Kongo.Nani halaani yakitokea South Africa?
Kwanini msiende kuishi Saudi Arabia na ni Non Secular state?
Ubaguzi upi tena chief!Wapo wengi kama wewe
Unajua kuwa kijana alieuwa watoto wadogo watatu ni Mkristo na asili ya Rwanda na kisa ni ubaguzi waliomfanyia tangu mdogo?
Punguza ubaguzi