Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Siyo kupungua. Issue ni kuwa kila mtu akashinde mechi za nyumbani kwao. Mechi za ugenini kawaachie wale wa huko ugenini.
Kwann na wao walikuja kwetu ...na kwann bado wako huku na base zao wameeka mataifa kibao na kuwekeza mikataba ya kishenzi huku
Wao watulie kama sisi tulivotulia
..
 
Hakuna kipya chini ya jua. Mambo yaliyofanyika zamani ndiyo yanafanyika sasa hv. Hv kuna mtu aliamini kama kuna nchi duniani inaweza kuvamia nchi nyingine na kujimegea kipande cha ardhi huku dunia ikiangalia tu? Haya ni mambo yalifanyika zamani na sasa yanafanyika tukiona hapo Ukraine na hakuna nchi inafanya chochote zaidi ya kuangalia tu.

Au jinsi Israel inavyoua watu hapo Gaza si kama simulizi za zamani lakini zinatokea sasa na hakuna mtu anajihangaisha zaidi ya maneno ya hapa na pale. Na huko UK ikitokea full civil war itakuwa mchezo mchezo kama Gaza ila watu ndiyo watakuwa wanauliwa
Sawa

Kila mtu ana namna anavyo yatazama mambo.
 
Dunia imegawanyika katika zama ama vipindi ni muhimu kutambua historia ya mabadiliko ya dunia.

Matendo mengi ya kale sasa hayawezi fanyika kabisa au kwa urahisi huo unaofikiri.
Hakuna kipya kila kitu kinajirudia ..ukoloni upo mpk leo
Vita mpk leo vipo
Sizani kama unaitaji D mbili kueleweshwa
 
Swala sio uislam wao, au uarab,
Kila race inapenda ibaki kama inavyotaka, ulaya na america wenyewe wanasema ni nchi za weupe, na inabidi ibaki nyeupe, sasa hawa weusi, Latino, na Arabs wanataka kuharibu demographic,
Kule kwa wa Arab, hawawatski watu weusi kwa sababu wakizaliana Sana, weupe wao utapotea!
Sie huku bongo, hatupendi watu wenye asili ya Burundi, Rwanda,
Kati ya muarabu na hao wengine nani alimfuata mwenzake kwa fujo katika eneo lake ?
 
Swala sio uislam wao, au uarab,
Kila race inapenda ibaki kama inavyotaka, ulaya na america wenyewe wanasema ni nchi za weupe, na inabidi ibaki nyeupe, sasa hawa weusi, Latino, na Arabs wanataka kuharibu demographic,
Kule kwa wa Arab, hawawatski watu weusi kwa sababu wakizaliana Sana, weupe wao utapotea!
Sie huku bongo, hatupendi watu wenye asili ya Burundi, Rwanda,
Nchi iliyostaarabika na yenye wasomi wengi kama Waingereza wala hawana tena shida na rangi ya mtu kwa kiasi hicho unachosema, England wamejitahidi sana kuignore huo ujinga

Tatizo ni Wahamiaji kutaka English people waishi kwa lifestyle yao

Kwa Mfano : -

● Wafunge barabara saa 7 mchana na saa 10 Alasiri wafanye ibada barabarani

● Wavae hijabu na Nikab mpaka kwenye ATM' s ambapo Camera haiwezi kusoma sura ya Mtu...na anaweza kuwa Muhalifu

● Wapige azana mpaka jirani na Maktaba yenye watu waliotulia kusoma

● Wapige Azana karibu na Hospitali zenye wagonjwa waliopo ICU

Hakuna Muingereza mwenye akiki timamu atataka hayo...hata Atheists sio Wakristo tu
 
Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh

Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu

Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam na Waumin wenzao ili waishi watakavyo

kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe kila kona
Human rights na Demokrasia ndio wanachofuata maana wakikaa kwao kufuata tamadun zao bado bwana wenu anawavamia kama alivyofanya Libya. Sasa wanakuja kwenu huko ulaya ili muwavamie wakiwa huko huko kwenu, najambo zuri kuliko yote wanazaana Kwa speed kubwa Sana.
 
Hawa waingereza walisambaza ukoloni karibu robo ratu ya dunia leo wanarusha ngumi kiasi wahamiaji tu tena wanaoenda wakiwa hawana silaha yoyote kubwa hata membe na sindano za kuwajeruhi waingereza sidhani kama huwa nazo.

Madhara ya ukoloni wa British empire sidhani kama hawa watu wanaya fahamu.

Waingereza wamefanya na waendelea kufanya na kuunga mkono uharibu sehemu mbalimbali duniani.

Watulie tu waya malize kwa njia ya amani.
Hawana silaha wakati unasikia wanadunga watu visu, wewe unaongea vitu gani bwana kila wakati nyie ni kuunga mkono ugaidi.
 
Niliandika uzi juzi namna waislamu wanavyoshindwa kuishi na wenyeji sehemu yoyote duniani hata ukiwakaribisha nikatolea mfano waislamu wazanzibari walionunua ardhi morogoro kule matombo kwaajili ya kulima spice wameanza kukorofishana na wenyeji wanaofuga nguruwe miaka dahari kwahiyo uislamu ni janga popote duniani ukitaka kuishi kwaamani jiepushe kukaa na waislamu sikatai wapo wema na waliostaarabika kama kina jakaya ila walio wengi hawafai.
Hatuezi Vumilia ujinga na hicho ndio kitu tunapishana ...
 
Shida ya waingereza na wavivu kazi hawataki wao wako busy kunywa pombe hawa wageni wanachapa kazi hawatafuti ajira wanajifanyia biashara sasa wivu unaanzia hapo, kama wazulu tu wakataka kufanya fujo sababu wao wavivu wenzao wanatafuta. Leo hii wakiondoka wageni wote biashara hakuna ila hapa ngumu sababu wengi ni raia wa UK tu so wana haki kama wengine. Lakini hawa wa UK wamesahau walienea dunia nzima kupora utajiri wa watu wengine maana wao walikuwa hawana kitu zaidi ya jeshi. Sasa zamu yao kwa yale waliyofanyia wengine. Kizazi chao cha zamani walikuwa wanafanya kazi sababu ya ugumu wa maisha wakati ule lakini wa sasa kazi hawataki.
Utaonekana kuwa na Kichaa au Ujinga ukisema Waingereza ni Wavivu wa kufanya kazi

Na Watu weusi na Waarabu utasemaje?

Waingereza hawajawahi kuwa wavivu wa kazi katika Areas zote unazojua...yaani Michezo, Viwandani, Mashambani, Darasani n.k

Na hawana utamaduni wa kukaa bila kazi kama Waswahili
 
Umemaliza ndugu yangu, tukubaliane tu kila mtu afuate utamaduni wa nchi zao na wao waache kulazimisha ushoga katika nchi zetu kujidai haki za binadamu. Sasa lipi lenye haki ya binadamu zaidi, ushoga au kuabudu. Sasa hivi mpaka shuleni wanafundisha watoto kuwa kuna jinsia nyingi sio Male na Female tu yaani hawa jamaa hujui wanataka nini. Tukubaliene tu tusipangine la kufanya. Walitukana Qatar mpaka wakachoka jamaa wakakaza tu, shoga karibu lakini uchafu wako fanyia kwenu.
Tamaduni zao wanazotetea sasa .mfano mashindano ya Olympic upumbav walionyesha kukashifu ukristo hio umeonesha kwao dini sio kipaumbele Chao kabisa .lakin hapa bongo watu wanavyowatukuza xx mpk unajiuliza hawa wanajua wanachotetea kweli ?
 
Back
Top Bottom