Kwa hiyo na wewe unataka ukawe mkoloni huko?Hawa waingereza walisambaza ukoloni karibu robo ratu ya dunia leo wanarusha ngumi kiasi wahamiaji tu tena wanaoenda wakiwa hawana silaha yoyote kubwa hata membe na sindano za kuwajeruhi waingereza sidhani kama huwa nazo.
Madhara ya ukoloni na u are wa British empire sidhani kama hayo maamuzi hawa watu wanaya fahamu.
Waingereza wamefanya na waendelea kufanya na kuunga mkono uharibu sehemu mbalimbali duniani.
Watulie tu waya malice kwa njia ya amani.
Nani alianza kumvamia mwenzake na kumuharibia nchi zake muingereza ua muarabu ?Tatizo na chanzo ni hawa jamii ya waarabu na dini yao hawatakagi kukaa kistarabu, wao kila saa ni kuwaza ugaidi tupy
Kila hatua unayo chukua tambua kuwa ina matokeo hasi na chanya kulingana na wakati.Kwa hiyo na wewe unataka ukawe mkoloni huko?
Huyu FaizaFoxy anasema eti wazayuni ndio walioharibu mataifa yao hao wahamiaji!Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh
Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu
Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam na Waumin wenzao ili waishi watakavyo
kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe
Uarabuni kuna makazi ya mzungu aliyelowea? Jengeni nchi zenu acheni uvivu uvuviNani alianza kumvamia mwenzake na kumuharibia nchi zake muingereza ua muarabu ?
Dunia imegawanyika katika zama ama vipindi ni muhimu kutambua historia ya mabadiliko ya dunia.Kama walishafanya wanashindwa nini kurudia tena. Unaikumbuka Spanish Reconqesta? Hawa jamaa hawawezi kushindwa wakiamua. Ni suala la muda tu
Unaufahamu wowote kuhusu migogoro ya mashariki ya kati toka kipindi cha nyuma mpaka sasa ?Uarabuni kuna makazi ya mzungu aliyelowea? Jengeni nchi zenu acheni uvivu uvuvi
Hawajakaribishwa wamezamia halafu wakajilipua( asylum seekers).Wamekaribisha waarabu wa kutosha huko na wanadini zao kali acha wawavuruge
Muarabu sio wa kumpa hifadhi
Kuwe na mabadilishano, Waafrika walio tayari kufuata tamaduni za West na mfumo wa maisha wa huko waende Ulaya na US halafu hao Waarabu wahamiaji waje huku Africa.Nani alianza kumvamia mwenzake na kumuharibia nchi zake muingereza ua muarabu ?
Tatizo limesababishwa na mkristo mwenye kuimba kwayaWamekaribisha waarabu wa kutosha huko na wanadini zao kali acha wawavuruge
Muarabu sio wa kumpa hifadhi
Ina maana hizo nchi hakuna waislamu ambao ni wazawa wa hizo nchi kwa maana wazungu?Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh
Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu
Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam na Waumin wenzao ili waishi watakavyo
kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe
Unawatetea wanaopigika wewe ukiwa tandale kwa mtogole?Wao waingereza walikaa muda gani kwenye maeneo ya wenzao kibabe ?
Tena tushukuru wahamiaji hawaingii kibabe kama walivyo waingereza
Mbona mambo kama hayo hayatokei Tanzania au sie hatujakaribisha sana waarabu?Wamekaribisha waarabu wa kutosha huko na wanadini zao kali acha wawavuruge
Muarabu sio wa kumpa hifadhi
Muingereza kaiharubu mashariki ya kati ana jukumu kubwa la kuijenga upya na kuwapa hifadhi na usalama mkubwa watu wa kutoka eneo hilo sio tu eneo hilo bali karibu robo tatu ya dunia.Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh
Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu
Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam na Waumin wenzao ili waishi watakavyo
kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe
Madhara ya waarabu Uingereza hayafiki hata nusu ya madhara ya Uingereza kwa waarabu.Wamekaribisha waarabu wa kutosha huko na wanadini zao kali acha wawavuruge
Muarabu sio wa kumpa hifadhi
We mpumbavu kwani Uarabu ndo walioko wingereza tu? Hidadi kumbwa ya wahamiaji ni Africa kutoka kwenye makoroni ya zamani ya uingereza wakifuatiwa na wa jamii ya wa HindiTatizo na chanzo ni hawa jamii ya waarabu na dini yao hawatakagi kukaa kistarabu, wao kila saa ni kuwaza ugaidi tupy
Wazungu wa uingereza waliacha nchi zao wakavamia nchi za watu kwa mabavuUarabuni kuna makazi ya mzungu aliyelowea? Jengeni nchi zenu acheni uvivu uvuvi