Uingereza: Kuwa shoga kusiwe kigezo cha kukubaliwa kuwa mkimbizi

Uingereza: Kuwa shoga kusiwe kigezo cha kukubaliwa kuwa mkimbizi

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Waziri wa mambo ya ndani Uingereza, Suella Braverman, amesema mtu kusema ananyanyaswa ama kutishiwa kushitakiwa au uhai wake, kwenye nchi yake ya asili kwa vile tu ni shoga, kusiwe sifa ya mtu kukubaliwa kuwa mkimbizi kwenye nchi za ulaya na Marekani.
 
Kwamba unasingizia kuwa unapelekewa moto???
Imetokea sana na wazungu hawana hiyana wanatoa sheria na kuwakubalia tena kwa kuwahurumia ila sasa naona wameshtukiwa maana hapa watawala ni watu wanaojua uongo wa watu kwa kujitafutia maisha

PM Rishi, Waziri wa mambo ya Ndani Suheila na pembeni kuna Mayor Sadiq Khan
 
Imetokea sana na wazungu hawana hoyana wanatoa sheria na kuwakubalia tena kwa kuwahurumia ila sasa naona wameshtukiwa maana hapa watawala ni watu wanaojua uongo wa watu kwa kujitafutia maisha

PM Rishi, Waziri wa mambo ya Ndani Suheila na pembeni kuna Mayor Sadiq Khan
Ni waziri gani huko uk ambae ni shoga???
 
... kama wanapokea wakimbizi wa ksiasa, kwa sababu kwao hakuna Demokrasia, kwanini wasipokee na hawa wanaonyimwa haki zao za kijinsia nchini kwao?
... AU WANA MASLAHI GANI MAALUM NA WAKIMBIZI WA KISIASA?

😅
Sidhani kama kuwa shoga ni jambo la kupewa ukimbizi. Lakini mwanasiasa mara nyingi huwa anasimamia maslahi ya watu wengi dhidi ya watawala dhalimu waliopo madarakani.

Kuwa shoga mtu anachagua mwenyewe.
 
Sidhani kama kuwa shoga ni jambo la kupewa ukimbizi. Lakini mwanasiasa mara nyingi huwa anasimamia maslahi ya watu wengi dhidi ya watawala dhalimu waliopo madarakani.

Kuwa shoga mtu anachagua mwenyewe.
Jibu hili si lako; jibu toka kwa Jibril hili.
 
Ni waziri gani huko uk ambae ni shoga???
Uki Google wapo wengi ila sio mawaziri bali wanasiasa wengi tu mashoga na wanajulikana na wengine wamejitangaza kabisa
Wameingia sana kwenye taasisi nyeti na kila sehemu hata USA kuna Moyor watatu ni mashoga
Yaani ni mtihani huku i
 
... kama wanapokea wakimbizi wa ksiasa, kwa sababu kwao hakuna Demokrasia, kwanini wasipokee na hawa wanaonyimwa haki zao za kijinsia nchini kwao?
... AU WANA MASLAHI GANI MAALUM NA WAKIMBIZI WA KISIASA?

😅
Hakuna kitu mkuu hii speech ya huyu waziri kuna watu wameiponda sana na kusema ameongea kwa dhihaka na kuwaponda wengi
Kwa mfano wanawake wanao nyimwa haki zao na kuomba msaada wana shida gani?
Anasema kuna wakimbizi 780 milion
Wamefanikiwa kuifanya jamii iangalie wanachokifanya na siyo aina ya maisha wanayoishi.

Hawako wengi Lakini wanaishi kimkakati sana.
Aisee wanalindwa sana na wana nguvu sana ila huwaoni na kama unavyosema hawako wengi ila wanavuma
 
Back
Top Bottom