Uingereza: Kuwa shoga kusiwe kigezo cha kukubaliwa kuwa mkimbizi

Uingereza: Kuwa shoga kusiwe kigezo cha kukubaliwa kuwa mkimbizi

Makundi ambayo yanalindwa sana na kutetewa hasahasa nchi za Ulaya na Amerika ni:

1- Wanawake
2-Mashoga
3-Watoto

Haya makundi ukijaribu kuyaponda au kuwanyanyasa cha moto utakiona.
 
Imetokea sana na wazungu hawana hiyana wanatoa sheria na kuwakubalia tena kwa kuwahurumia ila sasa naona wameshtukiwa maana hapa watawala ni watu wanaojua uongo wa watu kwa kujitafutia maisha

PM Rishi, Waziri wa mambo ya Ndani Suheila na pembeni kuna Mayor Sadiq Khan
Kwa hayo majina ya viongozi lazima wapigilie nyundo, wabongo tunasema kimeumana!
 
Black Sniper nimeisikiliza hotuba yake na nimeiona Iko poa sana,lakini si kwamba ni kamilifu.

Ila Kwa mfano mtu anatoka Sudan, anakwenda Libya anaishi mwaka nzima bila ya kudhuriwa, kwa Nini apande boti kwenda Lampedusa??
Huo ndio ukweli
Hao wana uwezo wa kurudi kwao bila tatizo ndio maana nimesema ni wa uchumi tu hao na sio wakimbizi
 
Imetokea sana na wazungu hawana hiyana wanatoa sheria na kuwakubalia tena kwa kuwahurumia ila sasa naona wameshtukiwa maana hapa watawala ni watu wanaojua uongo wa watu kwa kujitafutia maisha

PM Rishi, Waziri wa mambo ya Ndani Suheila na pembeni kuna Mayor Sadiq Khan
Tatizo anaelengwa hapo ni mwafrika ila hawawezi kusema wazi kuwa hawawataki waafrika kwenye nchi zao.

Rejea tamko la waziri mkuu wa Italia mrembo Giorgia Meloni ambae mapema mwezi September alisema kwamba wahamiaji wa kutoka Afrika (alitumia tu neno wahamiaji) ni tishio kwa mstakabali wa bara ya Ulaya.

Kisha baadae akasema Italia itajenga vituo zaidi (detention Centres) vya kuwashikilia wahamiaji hadi miezi 18 kabla ya kushughulikia kesi zao za kuzamia kutaka ukimbizi.

Ukifika kwenye kisiwa cha Lampedusa ndo utaelewa jinsi viongozi wa Afrika walovyowatekeleza vijana wake ambao ndo kizazi cha kesho.

Huyo Suella Braverman nae alitaka kuhakikisha wahamiaji wengi waloingia UK kwa njia haramu wapelekwe Kigali kwa mazee PK ili kesi zao zishughulikiwe pale lakini wanasheria wa UK wa kesi za uhamiaji wamefanikiwa kuzima mchakato huo ambao umeonekana kuwa si wa kibinadamu.

Yaani huyu mdada alisafiri kabisaa kuingia KIgali kuangali mazingira mapya ya wahamiaji ambao wanepelekwa Rwanda lakini ikiwa ni njia ya kuwarudisha Afrika.

Afrika isimame yenyewe ichagame na viongozi wa kiafrika waamke wahakikishe nchi za Afrika zinakuwa zajitegemea zenyewe khasa kwenye masuala kama ajira, elimu bora, afya bora na lishe nzuri ili watu wake khasa vijana wawe na afya na akili zichemke wawe wabunifu na wapate ajira ndani ya nchi zao.
 
Tatizo anaelengwa hapo ni mwafrika ila hawawezi kusema wazi kuwa hawawataki waafrika kwenye nchi zao.

Rejea tamko la waziri mkuu wa Italia mrembo Giorgia Meloni ambae mapema mwezi September alisema kwamba wahamiaji wa kutoka Afrika (alitumia tu neno wahamiaji) ni tishio kwa mstakabali wa bara ya Ulaya.

Kisha baadae akasema Italia itajenga vituo zaidi (detetion Centres) vya kuwashikilia wahamiaji hadi miezi 18 kabla ya kushughulikia kesi zao za kuzamia kutaka ukimbizi.

Ukifika kwenye kisiwa cha Lampedusa ndo utaelewa jinsi viongozi wa Afrika walovyowatekeleza vijana wake ambao ndo kizazi cha kesho.

Huyo Suella Braverman nae alitaka kuhakikisha wahamiaji wengi waloingia UK kwa njia haramu wapelekwe Kigali kwa mazee PK ili kesi zao zishughulikiwe pale lakini wanasheria wa UK wa kesi za uhamiaji wamefanikiwa kuzima mchakato huo ambao umeonekana kuwa si wa kibinadamu.

Yaani huyu mdada alisafiri kabisaa kuingia KIgali kuangali mazingira mapya ya wahamiaji ambao wanepelekwa Rwanda lakini ikiwa ni njia ya kuwarudisha Afrika.

Afrika isimame yenyewe ichagame na viongozi wa kiafrika waamke wahakikishe nchi za Afrika zinakuwa zajitegemea zenyewe khasa kwenye masuala kama ajira, elimu bora, afya bora na lishe nzuri ili watu wake khasa vijana wawe na afya na akili zichemke wawe wabunifu na wapate ajira ndani ya nchi zao.
Mkuu tatizo la waafrika ni ngumu sana kubadilika na kujitegemea
Maana hata vijana ndio hao wanafia kwenye maji badala ya kutafuta chanzo cha umasikini na kulitatua

Nakumbuka zamani wakimbizi wanaoingia Calais France walikuwa wanaachiwa makusudi waingie UK na lilikuwa tatizo kubwa sana na mwisho wakakubaliana Uingereza watoe hela kwa ajili ya kulinda wanaoingia kwenye mipaka ya maji na kuzuia wahamiaji
Wengine walikuwa wanasema Italians ndio wanaotoboa hizo meli kwa bomb 💣 ili wafe huko huko majini wasiingie nchini kwao

Haya mambo yalitokea sana huko Yemen wakati Wasomali wanakimbia vita na kutaka kuingia Yemen walipigwa risasi na kuuwawa sana ingawa Wayemen walikaribishwa na wasomali wakati wana kimbia vita vya wao kwa wao

Duniani Kuna mitihani sana mkuu
Turudi kwa Suella PM kwa kweli bila House of Lords kuingilia kati na kutetea haki za binadamu lilikuwa dili lake na Slim
Ila wazee walikataa na kusema mnaenda kuwatelekeza huko ambapo watafanyiwa vitendo vibaya zaidi huko kutokana na historia ya nchi hiyo
 
Haha kuna mwamba alijifanya shoga kumbe sio choko ili mradi aingie ughaibuni kumbe katika kufutilia taratibu kuna basha anafanya kazi huko akamtamani hahaha basha anamuomba mzigo mwenetu
 
Kwamba unasingizia kuwa unapelekewa moto???
Halafu wanapelekwa kwa wenzao wanapelekewa kweli moto kisha ushoga ndio wanauanzia huko.

Pengine walikuwa wanapima marinda, wakikuta yapo huna sifa za ukimbizi
 
Back
Top Bottom