Uingereza: Kuwa shoga kusiwe kigezo cha kukubaliwa kuwa mkimbizi

Uingereza: Kuwa shoga kusiwe kigezo cha kukubaliwa kuwa mkimbizi

... kama wanapokea wakimbizi wa ksiasa, kwa sababu kwao hakuna Demokrasia, kwanini wasipokee na hawa wanaonyimwa haki zao za kijinsia nchini kwao?
... AU WANA MASLAHI GANI MAALUM NA WAKIMBIZI WA KISIASA?

😅
Kuna wakimbizi na kuna economic migrant hawa ndio hawatakiwi hao wanaoingia kwa mitumbwi na wameshindikana
Pia Kuna wale ambao wanatoka nchi kama Turkey au India na kudanganya kuwa ni watu wa sehemu zenye vita huku wakiwa wamechana passports zao
Huo ni mfano tu maana kuna nchi nyingi watu wanaingia na kudanganya kuwa ni waliotoka kwenye vita

Hao sio wakimbizi
 
Waziri wa mambo ya ndani Uingereza, Suella Braverman, amesema mtu kusema ananyanyaswa ama kutishiwa kushitakiwa au uhai wake, kwenye nchi yake ya asili kwa vile tu ni shoga, kusiwe sifa ya mtu kukubaliwa kuwa mkimbizi kwenye nchi za ulaya na Marekani.
Wameyataka maana waliutangaza kwa nguvu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii njia watu wengi sana wametumia hata kama sio mashoga ili mradi wapenye
Wale Wakenya waliojifanya mapunga wakapewa hifadhi ya ukimbizi huko uingereza walipofika wakapewa makazi mazuri kweli ya kuishi
Ilipofika jioni siku ya pili wakatembelewa na mibasha ya kiingereza watoke wakaliwe.. Waoneshe ufundi wa Mombasa [emoji23] jamaa wakang'aka kuwa wao sio mapunga!

Walipakiwa next flight kurudi Kenya [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale Wakenya waliojifanya mapunga wakapewa hifadhi ya ukimbizi huko uingereza walipofika wakapewa makazi mazuri kweli ya kuishi
Ilipofika jioni siku ya pili wakatembelewa na mibasha ya kiingereza watoke wakaliwe [emoji23] jamaa wakang'aka kuwa wao sio mapunga!

Walipakiwa next flight kurudi Kenya [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
😄 🤣 😂
 
Wale Wakenya waliojifanya mapunga wakapewa hifadhi ya ukimbizi huko uingereza walipofika wakapewa makazi mazuri kweli ya kuishi
Ilipofika jioni siku ya pili wakatembelewa na mibasha ya kiingereza watoke wakaliwe.. Waoneshe ufundi wa Mombasa [emoji23] jamaa wakang'aka kuwa wao sio mapunga!

Walipakiwa next flight kurudi Kenya [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahhahahahahahah noma sana
 
Wafanye tu kwamba mtu akijisema yeye ni shoga, akifika huko kwao apewe "mume" wa kumtafuna uwemba kwa lazima...
 
Waziri wa mambo ya ndani Uingereza, Suella Braverman, amesema mtu kusema ananyanyaswa ama kutishiwa kushitakiwa au uhai wake, kwenye nchi yake ya asili kwa vile tu ni shoga, kusiwe sifa ya mtu kukubaliwa kuwa mkimbizi kwenye nchi za ulaya na Marekani.
Ni jambo zuri
 
Back
Top Bottom