Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kuna wakimbizi na kuna economic migrant hawa ndio hawatakiwi hao wanaoingia kwa mitumbwi na wameshindikana... kama wanapokea wakimbizi wa ksiasa, kwa sababu kwao hakuna Demokrasia, kwanini wasipokee na hawa wanaonyimwa haki zao za kijinsia nchini kwao?
... AU WANA MASLAHI GANI MAALUM NA WAKIMBIZI WA KISIASA?
😅
Tena??Mashoga wako pwani huko kwa dini yenu...
Hii njia watu wengi sana wametumia hata kama sio mashoga ili mradi wapenye
Wameyataka maana waliutangaza kwa nguvu sanaWaziri wa mambo ya ndani Uingereza, Suella Braverman, amesema mtu kusema ananyanyaswa ama kutishiwa kushitakiwa au uhai wake, kwenye nchi yake ya asili kwa vile tu ni shoga, kusiwe sifa ya mtu kukubaliwa kuwa mkimbizi kwenye nchi za ulaya na Marekani.
Wale Wakenya waliojifanya mapunga wakapewa hifadhi ya ukimbizi huko uingereza walipofika wakapewa makazi mazuri kweli ya kuishiHii njia watu wengi sana wametumia hata kama sio mashoga ili mradi wapenye
😄 🤣 😂Wale Wakenya waliojifanya mapunga wakapewa hifadhi ya ukimbizi huko uingereza walipofika wakapewa makazi mazuri kweli ya kuishi
Ilipofika jioni siku ya pili wakatembelewa na mibasha ya kiingereza watoke wakaliwe [emoji23] jamaa wakang'aka kuwa wao sio mapunga!
Walipakiwa next flight kurudi Kenya [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm mwenyewee nimechekeaa sna alfu eti unaweza kuwaambia alfu ukataka kukujaribu Kama Kweli rinda lipo ndipo utajuwa ujuwiKwamba unasingizia kuwa unapelekewa moto???
Ahhahahahahahah noma sanaWale Wakenya waliojifanya mapunga wakapewa hifadhi ya ukimbizi huko uingereza walipofika wakapewa makazi mazuri kweli ya kuishi
Ilipofika jioni siku ya pili wakatembelewa na mibasha ya kiingereza watoke wakaliwe.. Waoneshe ufundi wa Mombasa [emoji23] jamaa wakang'aka kuwa wao sio mapunga!
Walipakiwa next flight kurudi Kenya [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jambo zuriWaziri wa mambo ya ndani Uingereza, Suella Braverman, amesema mtu kusema ananyanyaswa ama kutishiwa kushitakiwa au uhai wake, kwenye nchi yake ya asili kwa vile tu ni shoga, kusiwe sifa ya mtu kukubaliwa kuwa mkimbizi kwenye nchi za ulaya na Marekani.
KabisaHatua nzuri....
AahaaaaWafanye tu kwamba mtu akijisema yeye ni shoga, akifika huko kwao apewe "mume" wa kumtafuna uwemba kwa lazima...
Wamesema wakimbizi wasio na sifa za kuwa wakimbizi!!??Ni sheria ngumu tu kuwekwa kila mtu abaki nchini kwao
Mwambieni Mpwayungu Village wazungu washamstukiaWaziri wa mambo ya ndani Uingereza, Suella Braverman, amesema mtu kusema ananyanyaswa ama kutishiwa kushitakiwa au uhai wake, kwenye nchi yake ya asili kwa vile tu ni shoga, kusiwe sifa ya mtu kukubaliwa kuwa mkimbizi kwenye nchi za ulaya na Marekani.