Uingereza na Ufaransa wanaandamana kwa ugumu wa maisha, Lissu na CHADEMA changamkieni tenda ya kutengeneza Katiba Mpya kule

Mtu yeyote asiyependa mabadiliko ya katiba iliyopo Tanzania aidha anafaidika kibibafsi na katiba iliyopo au ni mjinga mkubwa na hajui kwanini katiba mpya iwepo.
 
Mtu yeyote asiyependa mabadiliko ya katiba iliyopo Tanzania aidha anafaidika kibibafsi na katiba iliyopo au ni mjinga mkubwa na hajui kwanini katiba mpya iwepo.
Uzuri ni kwamba mabadiliko Huwa hayalaximishwi,yatakuja yenyewe Kwa wakati
 
Ni sawa tu na kusema maendeleo huwa hayalazimishwi yatakuja tu yenyewe. Kweli? Ndio maana Africa hatuendelei.
 
kweli nimeamini kuwa suala la ugumu wa maisha au kupanda gharama za maisha kama vile nafaka na bidhaa zingine ni suala la nchi zote duniani sio Tanzania pekee.
Mungu azidi kuwapa maono viongozi wetu ili tujinasue kwenye mkwamo huu.
 
Kwani katiba hii inakataza maandamano?
 
Mtu yeyote asiyependa mabadiliko ya katiba iliyopo Tanzania aidha anafaidika kibibafsi na katiba iliyopo au ni mjinga mkubwa na hajui kwanini katiba mpya iwepo.
Hao wajinga wakubwa wasiojua kwanini katiba mpya iwepo na wenye kujua kwa nini katiba mpya iwepo unadhani ni kundi gani ndio wako wengi?
 
kweli kabisa hasa kutowajibika uvivu wa watawala na wizi ni hatari
 
sio watanzania wote sema watawala wa kiafirika watu binafusi mbona wanasimamia miladi yao vizuli tu
 
Nakubaliana na wewe lakini sijui kama hiyo ni order of priority. Kama ndio, ningependa kuona namba 5 ndio inakuwa moja. Mleta mada anashindwa kujua kuwa hayo maandamano ni kutafuta uwajibikaji sisi kwetu kuwajibika ni kuacha kazi au madaraka. Kwa wenzetu kuwajibika ni kurekebisha hali kwa kubadili mifumo, vipimo, sheria/taratibu nk. Ni watu wa aina ya mleta mada watakopungua au kukosa ngu ndipo tutaona matatizo yetu yatamalizwa na sisi wenyewe - kama anawaza Lissu na Chadema waende ufaransa, hapa kwetu nani atakuja??? Hawezi kujibu hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…