Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Wanawake wa kiislamu wengi wanakuwa katika hatari ya kuuwawa inapotokea wakathibitika kuwa wameolewa bila kuwa na bikra.
Baadhi yao wamejiwekea utaratibu wa kuwafuata madaktari ili kuwarudishia bikra zao, tabaka la ngozi kwenye uke.
Kuna hatari ya kuwa kama utengenezaji wa bikra utazuiwa basi kuna hatari kubwa ya waislamu kufanya hivyo kimagendo.
Halaleh Taheri, muasisi wa Middle Eastern Women and Society Organisation amemzungumzia mwanafunzi Mmoroko anayejificha uingereza baada ya kusikia baba yake kamuajiri mtu ili amuue baada ya kugundua kwamba binti huyo hana bikra.
Kuna takribani kliniki 22 ndani ya uingereza ambazo zinafanya upasuaji wa kuweka tabaka la ngozi ili mwanamke kurudi kuwa bikra
Inagharimu hadi £3,000 sawa na Tsh milioni 9, kwa upasuaji ambao huchukua takribani lisaa kukamilika.
Wapiganiaji haki za wanawake wanasema kliniki hizo zinafaidika kutokana na uwepo wa waislamu ambao huogopa kuonekana sio wasafi siku ya ndoa.
Katibu wa afya Matt Hancock amesema wanachunguza namna ya kukomesha tukio hili bovu Lakini idara ya afya imekataa shauri hilo kutokana na ugumu wa kutekeleza zuio hilo.
Taheri amesema: "wasichana wanaweza kuishia kufa kama kutakuwa na zuio la kutengeneza bikra kwa kuwa itafanyika kimagendo
Dr Khalid Khan, aliyewahi shuhudia namna upasuaji huo iunafanyika na kusema haitakuwa sahihi kuzuia upasuaji huo
Dr Naomi Crouch, amehofu kuhusu wanawake na wasichana watakao lazimika kufanya tukio hilo ambalo halina manufaa yoyote kiafya
Baadhi yao wamejiwekea utaratibu wa kuwafuata madaktari ili kuwarudishia bikra zao, tabaka la ngozi kwenye uke.
Kuna hatari ya kuwa kama utengenezaji wa bikra utazuiwa basi kuna hatari kubwa ya waislamu kufanya hivyo kimagendo.
Halaleh Taheri, muasisi wa Middle Eastern Women and Society Organisation amemzungumzia mwanafunzi Mmoroko anayejificha uingereza baada ya kusikia baba yake kamuajiri mtu ili amuue baada ya kugundua kwamba binti huyo hana bikra.
Kuna takribani kliniki 22 ndani ya uingereza ambazo zinafanya upasuaji wa kuweka tabaka la ngozi ili mwanamke kurudi kuwa bikra
Inagharimu hadi £3,000 sawa na Tsh milioni 9, kwa upasuaji ambao huchukua takribani lisaa kukamilika.
Wapiganiaji haki za wanawake wanasema kliniki hizo zinafaidika kutokana na uwepo wa waislamu ambao huogopa kuonekana sio wasafi siku ya ndoa.
Katibu wa afya Matt Hancock amesema wanachunguza namna ya kukomesha tukio hili bovu Lakini idara ya afya imekataa shauri hilo kutokana na ugumu wa kutekeleza zuio hilo.
Taheri amesema: "wasichana wanaweza kuishia kufa kama kutakuwa na zuio la kutengeneza bikra kwa kuwa itafanyika kimagendo
Dr Khalid Khan, aliyewahi shuhudia namna upasuaji huo iunafanyika na kusema haitakuwa sahihi kuzuia upasuaji huo
Dr Naomi Crouch, amehofu kuhusu wanawake na wasichana watakao lazimika kufanya tukio hilo ambalo halina manufaa yoyote kiafya