Uingereza: Wanawake waislamu wawafaidisha madaktari kwenye kutengeneza bikra

Uingereza: Wanawake waislamu wawafaidisha madaktari kwenye kutengeneza bikra

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Wanawake wa kiislamu wengi wanakuwa katika hatari ya kuuwawa inapotokea wakathibitika kuwa wameolewa bila kuwa na bikra.

Baadhi yao wamejiwekea utaratibu wa kuwafuata madaktari ili kuwarudishia bikra zao, tabaka la ngozi kwenye uke.

Kuna hatari ya kuwa kama utengenezaji wa bikra utazuiwa basi kuna hatari kubwa ya waislamu kufanya hivyo kimagendo.

Halaleh Taheri, muasisi wa Middle Eastern Women and Society Organisation amemzungumzia mwanafunzi Mmoroko anayejificha uingereza baada ya kusikia baba yake kamuajiri mtu ili amuue baada ya kugundua kwamba binti huyo hana bikra.

Kuna takribani kliniki 22 ndani ya uingereza ambazo zinafanya upasuaji wa kuweka tabaka la ngozi ili mwanamke kurudi kuwa bikra

Inagharimu hadi £3,000 sawa na Tsh milioni 9, kwa upasuaji ambao huchukua takribani lisaa kukamilika.

Wapiganiaji haki za wanawake wanasema kliniki hizo zinafaidika kutokana na uwepo wa waislamu ambao huogopa kuonekana sio wasafi siku ya ndoa.

Katibu wa afya Matt Hancock amesema wanachunguza namna ya kukomesha tukio hili bovu Lakini idara ya afya imekataa shauri hilo kutokana na ugumu wa kutekeleza zuio hilo.

Taheri amesema: "wasichana wanaweza kuishia kufa kama kutakuwa na zuio la kutengeneza bikra kwa kuwa itafanyika kimagendo

Dr Khalid Khan, aliyewahi shuhudia namna upasuaji huo iunafanyika na kusema haitakuwa sahihi kuzuia upasuaji huo

Dr Naomi Crouch, amehofu kuhusu wanawake na wasichana watakao lazimika kufanya tukio hilo ambalo halina manufaa yoyote kiafya
 
Bado hawajagundua mtu akiwa ndani ya Kristo anakua kiumbe kipya ya kale yote yanapita anakua mpya...!

Sasa kwanini wanahangaikia mwili wenye asili ya dhambi badala waje kwa Kristo hivyo hivyo walivyo wapate uponyaji hata wa hizo bikra wanazohangaikia...!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Bado hawajagundua mtu akiwa ndani ya Kristo anakua kiumbe kipya ya kale yote yanapita anakua mpya...!

Sasa kwanini wanahangaikia mwili wenye asili ya dhambi badala waje kwa Kristo hivyo hivyo walivyo wapate uponyaji hata wa hizo bikra wanazohangaikia...!
Huyo mnaemwita kristo mwenyewe nasikia hua anakataa zinaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii imani ya karne ya saba ndio watu wengine wapumbavu bado wamekariri. Kwanza wewe baba unajuaje kuwa binti yako kavunja ubikira.

Huyo mwaarabu anayetamani kumuua binti yake kwa kisingizio cha kijinga hivyo hilo swala la ubikra linamuusuje yeye kama baba badala ya mchumba mtarajiwa wa binti au ina maana yeye hana dhambi yoyote hapo alipo? Mnafiki mkubwa huyo, au anataka amuoe huyo binti wake.

Waarabu na huu utamaduni wao wa karne ya saba unawapa conservatism fulani inayowafanya waonekane jamii ya watu bogus sana. Waarabu waelewe hatuko karne ya saba leo.
 
Wanawake wa kiislamu wengi wanakuwa katika hatari ya kuuwawa inapotokea wakathibitika kuwa wameolewa bila kuwa na bikra.

Baadhi yao wamejiwekea utaratibu wa kuwafuata madaktari ili kuwarudishia bikra zao, tabaka la ngozi kwenye uke.

Kuna hatari ya kuwa kama utengenezaji wa bikra utazuiwa basi kuna hatari kubwa ya waislamu kufanya hivyo kimagendo.

Halaleh Taheri, muasisi wa Middle Eastern Women and Society Organisation amemzungumzia mwanafunzi Mmoroko anayejificha uingereza baada ya kusikia baba yake kamuajiri mtu ili amuue baada ya kugundua kwamba binti huyo hana bikra.

Kuna takribani kliniki 22 ndani ya uingereza ambazo zinafanya upasuaji wa kuweka tabaka la ngozi ili mwanamke kurudi kuwa bikra

Inagharimu hadi £3,000 sawa na Tsh milioni 9, kwa upasuaji ambao huchukua takribani lisaa kukamilika.

Wapiganiaji haki za wanawake wanasema kliniki hizo zinafaidika kutokana na uwepo wa waislamu ambao huogopa kuonekana sio wasafi siku ya ndoa.

Katibu wa afya Matt Hancock amesema wanachunguza namna ya kukomesha tukio hili bovu Lakini idara ya afya imekataa shauri hilo kutokana na ugumu wa kutekeleza zuio hilo.

Taheri amesema: "wasichana wanaweza kuishia kufa kama kutakuwa na zuio la kutengeneza bikra kwa kuwa itafanyika kimagendo

Dr Khalid Khan, aliyewahi shuhudia namna upasuaji huo iunafanyika na kusema haitakuwa sahihi kuzuia upasuaji huo

Dr Naomi Crouch, amehofu kuhusu wanawake na wasichana watakao lazimika kufanya tukio hilo ambalo halina manufaa yoyote kiafya
Siyo 'Bikra' Kiswahili sanifu ni "Bikira".
Ninyi ndiyo mnaandika 'Dreva' badala ya 'Dereva'. Shuleni mlienda kusoma ujinga au?
 
Huo ni upuuzi yani kutolewa bikra ndo sababu ufanye mikakati ya kumuua binti yako?

Huu utopolo wa hizi dini utaisha lini mazee?
Hizo dini ndio zinafundisha hivyo?
 
[/QUOTE]
Hizo dini ndio zinafundisha hivyo?
Hii imani ya karne ya saba ndio watu wengine wapumbavu bado wamekariri. Kwanza wewe baba unajuaje kuwa binti yako kavunja ubikira.

Huyo mwaarabu anayetamani kumuua binti yake kwa kisingizio cha kijinga hivyo hilo swala la ubikra linamuusuje yeye kama baba badala ya mchumba mtarajiwa wa binti au ina maana yeye hana dhambi yoyote hapo alipo? Mnafiki mkubwa huyo, au anataka amuoe huyo binti yake.

Waarabu na huu utamaduni wao wa karne ya saba unawapa conservatism fulani inayowafanya waonekane jamii ya watu bogus sana. Waarabu waelewe hatuko karne ya saba leo.
Comment yako kama iko kushoto hivi.
Ila kama iko sawa basi your GT
 
Wanawake wa kiislamu wengi wanakuwa katika hatari ya kuuwawa inapotokea wakathibitika kuwa wameolewa bila kuwa na bikra.

Baadhi yao wamejiwekea utaratibu wa kuwafuata madaktari ili kuwarudishia bikra zao, tabaka la ngozi kwenye uke.

Kuna hatari ya kuwa kama utengenezaji wa bikra utazuiwa basi kuna hatari kubwa ya waislamu kufanya hivyo kimagendo.

Halaleh Taheri, muasisi wa Middle Eastern Women and Society Organisation amemzungumzia mwanafunzi Mmoroko anayejificha uingereza baada ya kusikia baba yake kamuajiri mtu ili amuue baada ya kugundua kwamba binti huyo hana bikra.

Kuna takribani kliniki 22 ndani ya uingereza ambazo zinafanya upasuaji wa kuweka tabaka la ngozi ili mwanamke kurudi kuwa bikra

Inagharimu hadi £3,000 sawa na Tsh milioni 9, kwa upasuaji ambao huchukua takribani lisaa kukamilika.

Wapiganiaji haki za wanawake wanasema kliniki hizo zinafaidika kutokana na uwepo wa waislamu ambao huogopa kuonekana sio wasafi siku ya ndoa.

Katibu wa afya Matt Hancock amesema wanachunguza namna ya kukomesha tukio hili bovu Lakini idara ya afya imekataa shauri hilo kutokana na ugumu wa kutekeleza zuio hilo.

Taheri amesema: "wasichana wanaweza kuishia kufa kama kutakuwa na zuio la kutengeneza bikra kwa kuwa itafanyika kimagendo

Dr Khalid Khan, aliyewahi shuhudia namna upasuaji huo iunafanyika na kusema haitakuwa sahihi kuzuia upasuaji huo

Dr Naomi Crouch, amehofu kuhusu wanawake na wasichana watakao lazimika kufanya tukio hilo ambalo halina manufaa yoyote kiafya
Weka link ya hii habari.

Hapa naona Uislam umechomekewa tu.

Acha chuki hizo za kijinga.

Nchi yenyewe Uingereza ndiyo hao wanawake wanauliwa?

Kwi kwi kwi teh teh teh.
 
Tunaomba ushuhuda ww kwa upande wako ilikuaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeomba link kutoka kwa mleta mada ili tusome chanzo cha habari yake. Naona ana chuki fulani tu za kijinga na Uislam.

Mimi ndiyo nimeyasoma hapa na hayaingii akilini.

Nijuavyo bikra feki zinatengenezwa hata majumbani tu, dakika tano nyingi. Si lazima uende kwa daktari.

Wajinga ndiyo waliwao.
 
Hizo dini ndio zinafundisha hivyo?
Comment yako kama iko kushoto hivi.
Ila kama iko sawa basi your GT
[/QUOTE]
Hauna msimamo.
 
Bado hawajagundua mtu akiwa ndani ya Kristo anakua kiumbe kipya ya kale yote yanapita anakua mpya...!

Sasa kwanini wanahangaikia mwili wenye asili ya dhambi badala waje kwa Kristo hivyo hivyo walivyo wapate uponyaji hata wa hizo bikra wanazohangaikia...!
Imani bana. Tunawacheka wanaoua wanawake kwa kutokuwa na bikra sababu ni idea iliyo illogic and irrational halafu hapo hapo tunaaminishwa kuwa ndani y kristo unakuwa mtu mpya which is another illogical thing kuupata upya sababu ya kuamini.
 
Back
Top Bottom