Uingereza: Wanawake waislamu wawafaidisha madaktari kwenye kutengeneza bikra

Source ya info yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nyie wajinga wajinga msie fahamu dunia inaendaje mmeamini na kuingia mkenge mpaka povu lina watoka hizo ni mbinu tu za watu wanao tafuta hifadhi ya kupata kibali kuishi uingereza
 
Kwao kesi nyingi adhabu ni kifo.
Hama dini pakistani au indonesia au saudia halafu wajue uone msala wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwenzako anayejiita ubwabwa mtamu kaufurahia sana huu uzi wa kuwasifu wanawake wa kiislamu kwa utapeli wao wewe unampinga mleta uzi, mnatabu nyinyi, hebu elewaneni
 
Huo ni upuuzi yani kutolewa bikra ndo sababu ufanye mikakati ya kumuua binti yako?

Huu utopolo wa hizi dini utaisha lini mazee?
Ndomana wachina wanawatimua kule kwao.hawatak ujinga
 
Kosoa uislamu uone adhabu ya kifo inavyotolewa. Zanzibar yenyewe watu wakila mchana kipindi cha Ramadhan, wanachapwa viboko. Hii dini huwa sielewi kabisa. Dini kama kikundi cha wauza madawa ya kulevya yaani ukitoa siri au ukienda kinyume na masharti yao unauwawa.
Kwao kesi nyingi adhabu ni kifo.
Hama dini pakistani au indonesia au saudia halafu wajue uone msala wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nyie wajinga wajinga msie fahamu dunia inaendaje mmeamini na kuingia mkenge mpaka povu lina watoka hizo ni mbinu tu za watu wanao tafuta hifadhi ya kupata kibali kuishi uingereza
Mkuu umeonyesha jinsi gani ulisivyokuwa na idea jinsi vitu vinavyoendelea katika tamaduni ambazo zinazotilia mkazo mwanamke awe bikra kabla hajaolewa. Hii ni kweli inatokea nchi za Mashariki ya kati hata baadhi za nchi za Afrika mfano Somalia. Labda hujasikia stori za kuwa baadhi ya wasichana wa Kiarabu, kimanga, kisomalia huwa wanatoa nyuma ili watunze ubikra wao hadi siku za kuolewa. Kumbukeni utamaduni wa eneo sio lazima ujali dini ya mtu. Kwa hiyo Waislamu, Wakristo, na wasio na dini huwa wanafuata hivi vitu subconsciously. Mfano kwetu Tanzania uwe mkristo au muislamu tunatumia mkono wa Kulia kulia chakula .
 
Yani wasiliamu bana...unaulizwa swali nawewe unauliza swali
Yaani makafiri bwana. Yaani linauliza swali nusu halafu linataka jibu kamili.
Zinaa ni tendo la watu wawili mwanamke na mwanaume sasa kwanini auhukhmiwe mmoja au unamaanisha zinaa ya CHAPUTA?
 
Yaani makafiri bwana. Yaani linauliza swali nusu halafu linataka jibu kamili.
Zinaa ni tendo la watu wawili mwanamke na mwanaume sasa kwanini auhukhmiwe mmoja au unamaanisha zinaa ya CHAPUTA?
Sijataka kujua kuhusu mwanaume ningetaka ningemuulizia...mfano mwanangu darasani wako 80 lakini wakifanya mitihani huwa siulizi matokeo ya kila mtu ingawa yanakuwepo,huwa nauliza matokeo yake tu (mwanangu)...sasa wewe bwandugu usijifanye kichaa
 
Sijataka kujua kuhusu mwanaume ningetaka ningemuulizia...mfano mwanangu darasani wako 80 lakini wakifanya mitihani huwa siulizi matokeo ya kila mtu ingawa yanakuwepo,huwa nauliza matokeo yake tu (mwanangu)...sasa wewe bwandugu usijifanye kichaa
Asante mimi najifanya kichaa ila wewe ni kichaa kimili.
Katika huo mfano wako mfu, Je huyo mwanao mwanao na wenzake hufanya mtihani kwenye karatasi moja au kila mtoto huwa na karatasi lake?
HEBU TUMIA MFANO WA GROUP DISCUSSION
AMBAPO WANAFUNZI HUDISCUSS KITU KISHA WAKIMALIZA MAJIBU HUPELEKA KWA MKUFUNZI WAO JE MAJIBU YAKIWA SI SAHIHI JE MAKOSA HUWA NI YA WOTE AU MMOJA?
 
Makosa ni ya wote ...haya je mwanafunzi huyo akifukuzwa chuo..wewe kama baba utaanza kuwajali na groupmate wenzake?? Au utadeal na mwanao tu?
 
Makosa ni ya wote ...haya je mwanafunzi huyo akifukuzwa chuo..wewe kama baba utaanza kuwajali na groupmate wenzake?? Au utadeal na mwanao tu?
Hivyo mama na mtoto mchangawake wakifariki wakati mama anajifungua wote watazikwa kaburi moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…