inategemea mila na desturi....ila hata wakizikwa kaburi moja itakuwa kwenye nafasi tofauti hawawezi eti kumrudisha kichanga tumboni mwa mama wawe kitu kimoja tena.Hivyo mama na mtoto mchangawake wakifariki wakati mama anajifungua wote watazikwa kaburi moja?
Mila Na desturi ya kwako?inategemea mila na desturi....ila hata wakizikwa kaburi moja itakuwa kwenye nafasi tofauti hawawezi eti kumrudisha kichanga tumboni mwa mama wawe kitu kimoja tena.
Mila Na desturi ya kwako?
HAO WAHINDI ADHABU YA MWANAMKE MZINIFU NI IPI?Unahisi dunia nzima imesilimu?? Wahindi wanachoma
HAO WAHINDI ADHABU YA MWANAMKE MZINIFU NI IPI?
HUWA SINA TABIA YA KUKWEPA SWALI.Mkuu haya yote ili mkwepe jibu la swali langu?
Unahisi ntasahau?
Turudi kwako kashasha adhabu ya mwanamke mzinifu katika uislam ni nini?
Hahah dahHUWA SINA TABIA YA KUKWEPA SWALI.
PIA HUWA SINA TABIA YA KUJIBU SWALI ILI KUMRIDHISHA MTU.
JE HUYO MWANAMKE HUJIDHINI MWENYEWE?
KOSA LIMETENDWA NA WAWILI AU MMOJA? KWANINI HUKUMU ZIWE TOFAUTI?
IKI UNAHITAJI JIBU LENYE MLENGO FULANI ILI UJENGE HOJA KWANGU UMEKWAMA
Wewe bado unayo tukuoe?Weka link ya hii habari.
Hapa naona Uislam umechomekewa tu.
Acha chuki hizo za kijinga.
Nchi yenyewe Uingereza ndiyo hao wanawake wanauliwa?
Kwi kwi kwi teh teh teh.
Kumbe nawe umeona ni upumbafuHahah dah
Najua adhabu ni moja kwa wote lakini mimi namuongelea mwanamke kwakuwa mada hapa inahusu wanawake
Kazini wafanyakazi wote hata mkilipwa mshahara mmoja ukirudi home wife hatakuuliza na wenzako wamelipwa shingapi,,yeye atajali ulichopata wewe
Kwahiyo huyo mwanamke aliyezini adhabu yake ni nini??
Usipojibu tena na hapa ukaendelea kunizungusha basi tena sitaendelea kujibizana upumbafu
Kwakweli Inashangaza sana.Siwangesubiria zile bikra sabini walizohaidiwaga kule pepon tuu kuliko kung'ang'ana na hizi za hapa duniani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha sawa Mkuu....hapa tunaelimishana wewe unaleta ligi.Kumbe nawe umeona ni upumbafu
Unajua adhabu ni moja ila hujui adhabu anayopewa mwanamke!
HUU NI UPUMBAFU WA KIWANGO CHA ANGA
Ushahindi wa kufanya zinaa unakuwa nao wewe?
Mimi sina.
wamanga ndo wapi haoMkuu umeonyesha jinsi gani ulisivyokuwa na idea jinsi vitu vinavyoendelea katika tamaduni ambazo zinazotilia mkazo mwanamke awe bikra kabla hajaolewa. Hii ni kweli inatokea nchi za Mashariki ya kati hata baadhi za nchi za Afrika mfano Somalia. Labda hujasikia stori za kuwa baadhi ya wasichana wa Kiarabu, kimanga, kisomalia huwa wanatoa nyuma ili watunze ubikra wao hadi siku za kuolewa. Kumbukeni utamaduni wa eneo sio lazima ujali dini ya mtu. Kwa hiyo Waislamu, Wakristo, na wasio na dini huwa wanafuata hivi vitu subconsciously. Mfano kwetu Tanzania uwe mkristo au muislamu tunatumia mkono wa Kulia kulia chakula .
Ushahindi wa kufanya zinaa unakuwa nao wewe?
Mama yangu anayoMimi sina.
Mama'ko vipi bado anazo? Kama hana mwambie anitafute namtengenezea mpya, dakika tano tu. Ufaidike vizuri.
Ooh sawa kabisa. Anayo, hujakosea. Inaonesha unamfahamu vizuri sana.