Uingereza: Wanawake waislamu wawafaidisha madaktari kwenye kutengeneza bikra

Hivyo mama na mtoto mchangawake wakifariki wakati mama anajifungua wote watazikwa kaburi moja?
inategemea mila na desturi....ila hata wakizikwa kaburi moja itakuwa kwenye nafasi tofauti hawawezi eti kumrudisha kichanga tumboni mwa mama wawe kitu kimoja tena.
 
inategemea mila na desturi....ila hata wakizikwa kaburi moja itakuwa kwenye nafasi tofauti hawawezi eti kumrudisha kichanga tumboni mwa mama wawe kitu kimoja tena.
Mila Na desturi ya kwako?
 
Mkuu haya yote ili mkwepe jibu la swali langu?
Unahisi ntasahau?
Turudi kwako kashasha adhabu ya mwanamke mzinifu katika uislam ni nini?
HAO WAHINDI ADHABU YA MWANAMKE MZINIFU NI IPI?
 
Mkuu haya yote ili mkwepe jibu la swali langu?
Unahisi ntasahau?
Turudi kwako kashasha adhabu ya mwanamke mzinifu katika uislam ni nini?
HUWA SINA TABIA YA KUKWEPA SWALI.
PIA HUWA SINA TABIA YA KUJIBU SWALI ILI KUMRIDHISHA MTU.

JE HUYO MWANAMKE HUJIDHINI MWENYEWE?
KOSA LIMETENDWA NA WAWILI AU MMOJA? KWANINI HUKUMU ZIWE TOFAUTI?
IKI UNAHITAJI JIBU LENYE MLENGO FULANI ILI UJENGE HOJA KWANGU UMEKWAMA
 
Hahah dah
Najua adhabu ni moja kwa wote lakini mimi namuongelea mwanamke kwakuwa mada hapa inahusu wanawake
Kazini wafanyakazi wote hata mkilipwa mshahara mmoja ukirudi home wife hatakuuliza na wenzako wamelipwa shingapi,,yeye atajali ulichopata wewe

Kwahiyo huyo mwanamke aliyezini adhabu yake ni nini??
Usipojibu tena na hapa ukaendelea kunizungusha basi tena sitaendelea kujibizana upumbafu
 
Kumbe nawe umeona ni upumbafu
Unajua adhabu ni moja ila hujui adhabu anayopewa mwanamke!
HUU NI UPUMBAFU WA KIWANGO CHA ANGA
 
Kumbe nawe umeona ni upumbafu
Unajua adhabu ni moja ila hujui adhabu anayopewa mwanamke!
HUU NI UPUMBAFU WA KIWANGO CHA ANGA
Haha sawa Mkuu....hapa tunaelimishana wewe unaleta ligi.
ila tambua nlikuwa namuuliza yule mjumbe kule juu kwa faida ya wanabodi wote sio ya kwangu tu
 
wamanga ndo wapi hao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…