Uingereza: Wanawake waislamu wawafaidisha madaktari kwenye kutengeneza bikra

Haha sawa Mkuu....hapa tunaelimishana wewe unaleta ligi.
ila tambua nlikuwa namuuliza yule mjumbe kule juu kwa faida ya wanabodi wote sio ya kwangu tu
Sina haja ya kuleta ligi kwa kitu nisichokimiliki.
Hakuna adhabu ya Mwanamke mzinifu.
Ila kuna adhabu ya mwanaume na mwanamke wazimifu
 
Kwahiyo damu hutoka siku ya kuvunjwa hiyo bikra kama kawaida?
 
Ni kweli mnaweka limao au ndimu?
 
Ndio zao hawa na dini yao, kwanza kuna wengine huliwa tigo ili wadumishe ubikira wa papuchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…