NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Tanzania tulitukanwa kila aina ya matusi lakini leo wanafata ya kwetu. #usitukane mto kabla hujavuka mamba#
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama watu wangekuwa wanaona watu wengi wakiumwa visivyo kawaida na vifo vikiongezeka ni wazi hiyo kauli ya "corona imepungua/kuisha" isingewaingia watu,hebu mtu anaona mtaani kwake watu wanaumwa na kupukutika halafu umwambie corona hamna na ndio aache kuvaa barakoa wala kunawa mikono?Baada ya ule msemo tulioaminishwa "Corona imepungua/imekwisha" watu wakapuuza uvaaji wa barakoa, wakapuuza kunawa mikono, mikusanyinyiko imerudi kama kawaida, dah!!😁
Kama watu wangekuwa wanaona watu wengi wakiumwa visivyo kawaida na vifo vikiongezeka ni wazi hiyo kauli ya "corona imepungua/kuisha" isingewaingia watu,hebu mtu anaona mtaani kwake watu wanaumwa na kupukutika halafu umwambie corona hamna na ndio aache kuvaa barakoa wala kunawa mikono?
Sawa jifunze kunawa maji mtiririko.Napoishi mimi wamekufa wengi tu, ndio maana najihadhari zaidi.
Unafikiri kwanini mtaani kwenu wamekufa wengi? maana wengine hawana hata kifo kimoja mtaani kwao,kazini kwao,hadi ukoo wao kabisa. Ni kwamba nyie mtaani kwenu hamnawi mikono na kuvaa barakoa au tatizo nini?Napoishi mimi wamekufa wengi tu, ndio maana najihadhari zaidi.
Wanadhani hadi kufikia januari corona itakuwa imeishaWakenya wameamua watoe likizo kwa wanafunzi paka january 2021
Oooh pole huo mtaa upo Tanzania hiihii?Napoishi mimi wamekufa wengi tu, ndio maana najihadhari zaidi.
Oooh pole huo mtaa upo Tanzania hiihii?
Basi huo mtaa itabidi tuutenge kabisa, mtaa ambao unaambukizana kimtaa tu watu wengine tunachanganyika na wamtaa huohuo makazini,sokoni na maeneo mengine Lakini wanakufa wao mtaani kwao tu.
Poleni sana
Unafikiri kwanini mtaani kwenu wamekufa wengi? maana wengine hawana hata kifo kimoja mtaani kwao,kazini kwao,hadi ukoo wao kabisa. Ni kwamba nyie mtaani kwenu hamnawi mikono na kuvaa barakoa au tatizo nini?
Sawa jifunze kunawa maji mtiririko.