meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
barakoa za namna gani?UK tofauti yao na TZ ni wanahimizwa kuvaa barakoa, kitu muhimu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
barakoa za namna gani?UK tofauti yao na TZ ni wanahimizwa kuvaa barakoa, kitu muhimu sana.
Hakuna kufa kimya kimya mkuu, kifo hakifichikiLeo tarehe 7/7/2020 wametoa updates vifo vimeanza kuongezeka. UK tofauti yao pia na TZ ni wanahimizwa kuvaa barakoa, kitu muhimu sana. TZ watu kimya kimya kuugua na wengine kufariki, na kuacha wameambukiza wengine.
😂😂😂😂😂😂😂Hatimaye Uingereza imeamua rasmi kutoendelea kutangaza idadi ya wagonjwa wapya wa corona.
Muongo bana. Kika siku wanatangaza. Leo wamekufa 155Hatimaye Uingereza imeamua rasmi kutoendelea kutangaza idadi ya wagonjwa wapya wa corona.
kesho uniletee updateMuongo bana. Kika siku wanatangaza. Leo wamekufa 155
Halafu buku 7 anakuambia wamefuata ushauri wa MagufuliUku UK ukipanda public transport bila barakoa unapigwa fine. Vyuo na mashule wanatarajia kufungua September 1. Maduka wameanza kufungua na ukienda kuna alama kabisa imeekwa ya kusimama Yani 2 meter apart hakuna kusogeleana.
Ninawafahamu watu kama sita wamekufa mtaani kwangu kwa kipindi kifupi tu tena kwa tatizo la aina moja TATIZO LA KUPUMUA!!!Hakuna kufa kimya kimya mkuu,kifo hakifichiki
Tupe data mtaani kwako wamekufa wangapi?
Kwani binadamu akitaka kufa huwa anaimba?Ninawafahamu watu kama sita wamekufa mtaani kwangu kwa kipindi kifupi tu tena kwa tatizo la aina moja TATIZO LA KUPUMUA!!!
Source ya habari ,Hatimaye Uingereza imeamua rasmi kutoendelea kutangaza idadi ya wagonjwa wapya wa corona.
Kwani binadamu akitaka kufa huwa anaimba?
Ili ufe lazima ushindwe kupumua
Facts. Tukiyasema hayo tunaonekana mapunguani... kumbe wakosoaji wametoka pale Mirembe dirisha la wodi no.14 acute kuchukua DAWA zao haloperidol.... Magufuli is charismatic, talented, visionary with exquisite brain... time will tell🤹🏽♂️🏊🏊🏊Magufuli ana maono makali sana. Alisema ifikapo 2025 Tanzania ifikie uchumi wa kati na imekuwa kweli, akasema tena anataka kuzalisha mabilionea katika utawala wake na imekuwa kweli kwa mchimba Tanzanite kupata mawe mawili na kuingia kwenye kundi la ubilionea na ukija kwenye issue ya Corona kila mtu amejionea maono yake. Magufuli ana kitu fulani watu wengi hawana, huo ndiyo ukweli.
Lengo la serekali ni kufikia 2025 wananchi wawe na kupata Cha Dolla 3000, mwaka huu tumefikia Dolla 1200+, je ni kweli tumefikia lengo la 2025 kuwa mfuatiliaji wa mambo na acha uzwazwaT
Facts.Tukiyasema hayo tunaonekana mapunguani...kumbe wakosoaji wametoka pale Mirembe dirisha la wodi no.14 acute kuchukua DAWA zao haloperidol....Magufuli is charismatic,talented,visionary with exquisite brain...time will tell🤹🏽♂️🏊🏊🏊
Hahaaa sureKwani binadamu akitaka kufa huwa anaimba?
Ili ufe lazima ushindwe kupumua
Kinachofanya waichukulie simple ni ile hali mwanzoni tulivyokuwa tunaichukulia hiyo corona na tukawa tuna hofu sana,ila athari za corona zikawa tofauti na kwa vile tulivyoichukulia na hadi tukawa na hofu.Watanzania corona mnaichukulia very simple, ushabiki mbaya sana. Mpaka ikutokee kwenye familia zenu ndio mtajitambua.
Corona ipo, twendelee kujihadhari zaidi
Mikusanyinyiko
Barakoa
Kunawa na sabuni
Vitu vi3 hivyo vizingatiwe.
Sio wanafuata bali wanatuiga, ukiona mpaka mzungu naye kaamua kutuiga waswahili basi ujue kashikwa pabaya, sasa hivi hata ukiwaambia Ugali na kisamvu, bamia na maharage ni dawa ya Covid-19 watakula...Wanafuata msimamo wa magufuli saivi