Uingereza yaichimba mkwara Kremlin

Watoto wa mwaka 2000s hao,hawajui unyama wa Uingereza kwenye medani ya Vita na fitna.
Nakumbuka miaka ya 1980 alimchapa Mu Argentina wakigombea visiwa vya Falklands. Kumbuka ukubwa wa Taifa la Argentina lakini walichapwa vizuri tu. Any way huko nyuma sana sijui historia yao UK. Wakongwe zaidi watatuingiza darasani.
 
Achana na UK bro Wana Nguvu za Giza za ajabu nimekumbuka vita Yao na Argentina....!
Putin anawajua😇😇
 
Russia ndio ilikua core ya soviet baad ya kuvunjika walibaki na vitu vingi sana kijeshi .technologia .siraha zingine ndo izo zime enda kutupwa kama chuma chakavu apo ukraine
Niwaka wa 3 sasa anahangaika na Ukraine.
 
Kwenye top 10 ya mataifa yenye nguvu kijeshi UK inazidiwa hata na South Korea. Ni moja ya mataifa yenye nguvu ila kwa Russia, UK ni mdogo sana. Russia kijeshi inalinganishwa na USA.
Kuna wakati aliekuwa waziri wao mkuu aliwahi kuitisha.Russia,Lavrov akamwambia ukithubutu tu wataifuta nchi inayoitwa Uingereza duniani
 
Maswali Mujarrabu kabisa
 
Umeongea kishabiki sana na umeubadilisha ukweli kukidhi fantasy yako uliyoaminishwa kwamba RUSSIA ni taifa maskini lisilo na uwezo wowote.Kasome vizuri historia ya vita vya pili vya dunia halafu jisahiishe wewe mwenyewe.Hauwezi kuondoa ukweli wa kwamba Soviet Russia walikuwa ni washirika muhimu sana na wenye nguvu kwenye allied forces. Kukumbusha tu sehemu kubwa ya Europe wajerumani walipita nayo kama wako tour.Hao UK kilichowasaidia ni hali yao ya kuzungukwa na bahari , na kwamba nguvu kubwa sana Hitler aliziweka kuishinda URUSI na msaada mkubwa wa ndege za kivita za USA ambao ulikuwa unawanyima fursa wajerumani kuvusha majeshi yao kutoka France kuja pwani za UK. Ila ukweli unabaki hali ya UK ilikuwa mahututi sana ,maana wajerumani waliwaponda sana kwa kuwaangushia mabomu kutoka kwenye ndege.Bila dedication ya USA air force kuwazuia wanajeshi wa ujerumani kukatisha British chanel basi UK alikuwa kaishajichokea kwa kipondo.Ukweli utabaki Ujerumani ya vita vya pili ilikuwa ina nguvu kweli kweli.
 
Vijana bana hivi hujui UK ilitawala karibu nusu ya dunia kwa karibu karne nzima?

Vijisiwa vidogo tu lkn hata Marekani, Canada na Australia waliziachia na kuzipa uhuru!

Hiyo potential haijaisha na vita ni pesa na strategies sio maombi na viapo
Kishindo cha wakoma kimesikikaa dunia nzima....ni swala la kuwaambia Ukraine warushe tena Stomshadow.
 
Hapana, hapana, hapanaaaa... Na wewe ni shabiki tuu kama wengine. Russia is a giant in another level! Ikiwa TU, Russia ana Nuclear weapons kuzidi NATO wote, unapata wapi ujasiri wa kusema eti Britain peke yake ana msuli wa kumkabili Russia, ACHENI MAHABA deal with reality!
 
UK hawezi kuimudu vita na Russia wanajifariji kama Zelesky na kutegemea NATO
Huu ndio ukweli wenyewe.
Kuna watu wanasema eti watu hawaijui UK katika masuala ya vita.
Sasa NAMI najiuliza nao hawaijui Urusi katika masuala ya vita?
Urusi ambae ni mbabe wa WWIi
Urusi ni taifa la vita,hapo ulaya wanajaulikana kwa maisha Yao ya vita.
 
Uingereza hana ubabe wa kumtisha yeyote kivita kwa sasa. Labda azitishe Tanzania na Kenya.
Hv unazijua m16, vifaru vya Abraham namadude kibao ambayo yanatengenezwa hapo kwamfalme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…