Uingereza yaichimba mkwara Kremlin

Uingereza yaichimba mkwara Kremlin

Katika dunia hii kuna mataifa matatu tu ambayo yakiungana yanaweza kuchakaza taifa lolote likapoteana. Mataifa hayo ni USA, UK na France. Kati yao hakuna ataye ingia vitani bila support ya wengine. USA pamoja na power aliyo nayo hawezi kuingia vitani bila ya support ya UK na France. Hizo nchi tatu ndo NATO yenyewe. Hao ndo mabwana wa vita katika dunia hii. Sio kwa miaka iliyopita wala leo au kesho. Kwa sasa hakuna mataifa yenye umoja wa vita kama USA, UK na Ufaransa. Na walivyo na akili wanahakikisha hakuna mataifa yanayofanikiwa kutengeneza umoja wa kupigana kama wao. Kwenye issue za vita wako vizuri kiteknolojia, kimbinu, kiuchumi na kipropaganda. Mataifa mengine kuja kuwazidi hao sio leo
Ujerumani vipi?
 
Mwingereza Kenge tu , Argentina yenyewe ilimtunishia misuli pale Falkland Island
 
Jeshi la Uk ni genge la wanywa mbege tu na ulanzi ,Kenge hao🤣🤣🤣🤣🤣
 
Was***ge tu Hao hawana jipya Kwa sasa Putin Kesha waambia wafunge Midomo kama ni wanaume kweli wamvamie kama ambavyo walivyo Fanya Kwa Saddam na Gadaffi tuone ,

Wamemjaza upepo zelensky kuwa watamuunga na jumuia ya NATO mwenzao anapigwa mpaka Leo hii wamebaki kumtazama Tu what a foolish kama kweli hawa waogopi Russia wakati Russia anaivamia Ukraine kwanini wasingefanya haraka haraka kumuunganisha zelensky ktk huo umoja wa NATO ili Russia Atakavyo ipiga Ukraine wapate kumchangia ni nini wanacho kuogopa haswaa!?
Na mifano ipo. IRAQ alivyoiteka KUWAIT yote ndani ya siku TATU , haukupita mwezi NATO na vibaraka wa Kiarabu walienda kuikomboa KUWAIT.
 
GDP ya uingereza ni ngapi kwa sasa kulinganisha na ya Urusi? Na Military position yake ipoje?
Screenshot_20241124_153547_Opera Mini.jpg
 
Back
Top Bottom