Huu ushabiki mnao ufanya as if mnashabikia mpira siyo mzuri dada angu..madhara ya hizi vita sisi hatuwezi kuyakwepa..let us be honest. Haipendezi hata kidogoMimi kama Mrusi mweusi sina wasiwasi, jana Putin alisema kuna watu wana wasiwasi hawapaswi kuwa nao.
Na wasiwasi umenitoka baada ya chuma kimoja tu cha Oreshnik kudondoka dunia nzima imesimama, hawa watu walijiandaa vyema na wanachokifanya.
Vita sio uzoefu ni strategies na uchumi imara,Hata mongolia imeshawahi kuitawala asia na baadhi ya nchi ulaya.
Ottoman empire imeshawahi kutawala eneo kubwa tu kibabe.
Hata roma imeshawahi kutawala dunia.
Acha kutuletea historia uingereza hana chochote cha kumfanya mrusi.
Kadiri unavyopigana vita ndivyo unavyozidi kuwa imara na madhubuti na unapata uzoefu mrusi ana uzoefu na vita.
Wabishi wote wa dunia mrusi kawanyonya kamasi kuanzia napolean bonaparte mpaka adolf hitler.
Kamasi lipi tuliwaambia Russia anawavuta waingie Nato vitani awanyoleshe soma hii Putin kashazeeka lkn ukitasmin mipango ya nchi za West pamoja na iyo marekani Canada wameisogelea sana Russia kitu ambacho ni hatari kwa mustakabari wa Russia kwanini wanasogelea Russia miaka na miaka adi sasa wapo milangoni mwa mipaka ya Russia? So mjue waRussia chini ya PUTIN wameamua kabla Putin kufa au kuacha nchi itawaliwe na mwengine PUTIN kapewa jukum kuondosha kitisho kilicho izunguka Russia miaka kwa miaka wapo tayali kufa waRussia ata 3milion lkn lengo lao litumie nalo ni kuondosha kitisho ichi kilicho kalibu na mipaka yao Wa Russia wanataka kupigania haki yao inch yao mustakbari wao na kizazi chao hii Vita aitoisha adi Russia wajilidhishe sasa akuna kitisho, hii vita aikwepeki ipo tena kubwa sana lkn Russia ndio mshindi,, Wazungu wa Ulaya na USA bado wanakuna vichwa je huu ndio muda wa vita lkn!! upande wa Russia upo wazi wanaitaka hii Vita kuvunja njama zilizoizunguka RUSSIA Russia bado ajaonesha makali yake. Lkn kimbelembele cha West kinaenda kuisha na mustakbari wa Dunia unaenda Badilika soon.Urusi hii inayotolewa kamasi na Ukraine?
Nilitaka nimjibu kitu kama hicho. UK wako advanced sana katika mbinu na vifaa vya vitaHuna akil hivi unaijua UK wewe kwenye ulimwengu wavita
Achana na huyu ,maana amevimbiwa maharage ya maris ya zamani ya makaburii ,hajui anachozungumzaHuna akil hivi unaijua UK wewe kwenye ulimwengu wavita
Hawa bado wanaishi kwenye ndoto wanajijuwa wazi bila USA hawana lolote. Kizazi kile kimezeeka wamejaza LBGT na pesa kwishneiiiiiii. Fitna zote duniani hawa ndio waanzilishi.Nimejikuta nacheka mno mpaka machozi baada ya kusoma kauli ya UK Deputy Chief of Defence Staff Rob Magowan isemayo
"Uingereza ipo tiyari kuingia vitani na Urusi usiku wa leo endapo kama Russia itaivamia Ulaya Mashariki.
View attachment 3159183
“Britain is ready to engage Russia tonight if Russian troops invade Eastern Europe” .
What a joke 😂😂
Vita ya sasa imebase kwenye Technology zaidiUingereza ile ya WW1 /2 huwezi ifananisha na hii ya sasa iliyojaza mpaka mashoga jeshini
Hiyo history wakati wanatawala makoloni kule kumeisha hawana hata huo utajiri tu umeisha hawa enzi hizo walikuwa kila sehemu wapo wanatawala watu na mali zao, leo hawana ubavu huo kizazi kile kimeisha, pesa hakuna walitumia nafasi yao kutawala dunia kushinda vita kwa kutumia nchi nyingi kama India leo ngoma tofauti.Nilitaka nimjibu kitu kama hicho. UK wako advanced sana katika mbinu na vifaa vya vita
Pia Britain wana Experience kubwa sana ya Vita tangu karne iliyopita kuliko hata Germans, USA na France...wakiitawala dunia
GDP ya uingereza ni ngapi kwa sasa kulinganisha na ya Urusi? Na Military position yake ipoje?Hiyo history wakati wanatawala makoloni kule kumeisha hawana hata huo utajiri tu umeisha hawa enzi hizo walikuwa kila sehemu wapo wanatawala watu na mali zao, leo hawana ubavu huo kizazi kile kimeisha, pesa hakuna walitumia nafasi yao kutawala dunia kushinda vita kwa kutumia nchi nyingi kama India leo ngoma tofauti.
Wanaweza kutuangamiza sisi lakini sio wenzao wenye tech kama wao na zaidi. Kelele tu za kisiasa.Vita ya sasa imebase kwenye Technology zaidi
Hao machoko wanaweza wakakaa tu ofisini na laptops wakakuangamiza popote ulipo 🤣
Uingereza yenyewe inasema kupigana na Russia labda usiku eti ina wanajeshi laki moja. NATO ni USA tuNimejikuta nacheka mno mpaka machozi baada ya kusoma kauli ya UK Deputy Chief of Defence Staff Rob Magowan isemayo
"Uingereza ipo tiyari kuingia vitani na Urusi usiku wa leo endapo kama Russia itaivamia Ulaya Mashariki.
View attachment 3159183
“Britain is ready to engage Russia tonight if Russian troops invade Eastern Europe” .
What a joke 😂😂
UK ipi au unamaanisha Uhuru KenyattaHuna akil hivi unaijua UK wewe kwenye ulimwengu wavita
Nani alikwambia haya? Ni hisia zako au una references?Kamasi lipi tuliwaambia Russia anawavuta waingie Nato vitani awanyoleshe soma hii Putin kashazeeka lkn ukitasmin mipango ya nchi za West pamoja na iyo marekani Canada wameisogelea sana Russia kitu ambacho ni hatari kwa mustakabari wa Russia kwanini wanasogelea Russia miaka na miaka adi sasa wapo milangoni mwa mipaka ya Russia? So mjue waRussia chini ya PUTIN wameamua kabla Putin kufa au kuacha nchi itawaliwe na mwengine PUTIN kapewa jukum kuondosha kitisho kilicho izunguka Russia miaka kwa miaka wapo tayali kufa waRussia ata 3milion lkn lengo lao litumie nalo ni kuondosha kitisho ichi kilicho kalibu na mipaka yao Wa Russia wanataka kupigania haki yao inch yao mustakbari wao na kizazi chao hii Vita aitoisha adi Russia wajilidhishe sasa akuna kitisho, hii vita aikwepeki ipo tena kubwa sana lkn Russia ndio mshindi,, Wazungu wa Ulaya na USA bado wanakuna vichwa je huu ndio muda wa vita lkn!! upande wa Russia upo wazi wanaitaka hii Vita kuvunja njama zilizoizunguka RUSSIA Russia bado ajaonesha makali yake. Lkn kimbelembele cha West kinaenda kuisha na mustakbari wa Dunia unaenda Badilika soon.
Ni Kweli kivita UK haiwezi kuizidi Russia hata kidogo, na pia nakuhakikishia hizi nchi haziwezi kupigana vita coz hazina uadui, vita sio rahisi kama watu wanavojadili humuWanaweza kutuangamiza sisi lakini sio wenzao wenye tech kama wao na zaidi. Kelele tu za kisiasa.
Unajuwa GDP isikudanganye unaweza kuwa na kinchi kama Qatar ukaambiwa tajiri number one lakini unagawa na population ya watu nchi haina hata watu million. Hata ukitaka number hizo UK number 7 na Russia 11 kijeshi Russia ana rank nyuma ya USA ila UK ina watu kama milion 70 russia wanagonga 150 huko ki size UK inaingia mara 70 ndani ya Russia.GDP ya uingereza ni ngapi kwa sasa kulinganisha na ya Urusi? Na Military position yake ipoje?
Hana lolote, mlisema hivyo hivyo kwa Isaraeli leo mwaka sasa anapambana na magorofa na watoto.Huna akil hivi unaijua UK wewe kwenye ulimwengu wavita
Hawa wakubwa watatu USA, CHina na Russia hawatakuja kupigana wao wanalinda maslahi yao tu, nchi za Ulaya pamoja UK ukitaka kujuwa hawana ubayu subiri Trump ashike rasmi Jan tamko lake moja tu wote hawa watakaa kimyaa hawana ubavu huo Germany wameshaanza kubadili gear angani. Wanajuwa hawawezi bila USA, mpaka leo military base za US ziko Germany, hivi kweli USA anaweza kuweka military base Russia? hapo ndio utajuwa nguvu za ulaya, kumbuka Germany kiuchumi super power in EU lakini US wapo pale.Ni Kweli kivita UK haiwezi kuizidi Russia hata kidogo, na pia nakuhakikishia hizi nchi haziwezi kupigana vita coz hazina uadui, vita sio rahisi kama watu wanavojadili humu
Kwasasa nchi tishio kivita duniani ni USA, CHINA na RUSSIA