Kamasi lipi tuliwaambia Russia anawavuta waingie Nato vitani awanyoleshe soma hii Putin kashazeeka lkn ukitasmin mipango ya nchi za West pamoja na iyo marekani Canada wameisogelea sana Russia kitu ambacho ni hatari kwa mustakabari wa Russia kwanini wanasogelea Russia miaka na miaka adi sasa wapo milangoni mwa mipaka ya Russia? So mjue waRussia chini ya PUTIN wameamua kabla Putin kufa au kuacha nchi itawaliwe na mwengine PUTIN kapewa jukum kuondosha kitisho kilicho izunguka Russia miaka kwa miaka wapo tayali kufa waRussia ata 3milion lkn lengo lao litumie nalo ni kuondosha kitisho ichi kilicho kalibu na mipaka yao Wa Russia wanataka kupigania haki yao inch yao mustakbari wao na kizazi chao hii Vita aitoisha adi Russia wajilidhishe sasa akuna kitisho, hii vita aikwepeki ipo tena kubwa sana lkn Russia ndio mshindi,, Wazungu wa Ulaya na USA bado wanakuna vichwa je huu ndio muda wa vita lkn!! upande wa Russia upo wazi wanaitaka hii Vita kuvunja njama zilizoizunguka RUSSIA Russia bado ajaonesha makali yake. Lkn kimbelembele cha West kinaenda kuisha na mustakbari wa Dunia unaenda Badilika soon.