Uingereza yaichimba mkwara Kremlin

Uingereza yaichimba mkwara Kremlin

State Propaganda

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2024
Posts
542
Reaction score
1,286
Nimejikuta nacheka mno mpaka machozi baada ya kusoma kauli ya UK Deputy Chief of Defence Staff Rob Magowan isemayo
"Uingereza ipo tiyari kuingia vitani na Urusi usiku wa leo endapo kama Russia itaivamia Ulaya Mashariki.

IMG_20241123_010041.jpg

“Britain is ready to engage Russia tonight if Russian troops invade Eastern Europe” .

What a joke 😂😂
 
Nimejikuta nacheka mno mpaka machozi baada ya kusoma kauli ya UK Deputy Chief of Defence Staff Rob Magowan isemayo
"Uingereza ipo tiyari kuingia vitani na Urusi usiku wa leo endapo kama Russia itaivamia Ulaya Mashariki.

View attachment 3159183
“Britain is ready to engage Russia tonight if Russian troops invade Eastern Europe” .

What a joke 😂😂
Duh! Pole sana kwa kukosa ufahamu.
 
Vijana bana hivi hujui UK ilitawala karibu nusu ya dunia kwa karibu karne nzima?

Vijisiwa vidogo tu lkn hata Marekani, Canada na Australia waliziachia na kuzipa uhuru!

Hiyo potential haijaisha na vita ni pesa na strategies sio maombi na viapo
Hata mongolia imeshawahi kuitawala asia na baadhi ya nchi ulaya.

Ottoman empire imeshawahi kutawala eneo kubwa tu kibabe.

Hata roma imeshawahi kutawala dunia.

Acha kutuletea historia uingereza hana chochote cha kumfanya mrusi.

Kadiri unavyopigana vita ndivyo unavyozidi kuwa imara na madhubuti na unapata uzoefu mrusi ana uzoefu na vita.

Wabishi wote wa dunia mrusi kawanyonya kamasi kuanzia napolean bonaparte mpaka adolf hitler.
 
Nimejikuta nacheka mno mpaka machozi baada ya kusoma kauli ya UK Deputy Chief of Defence Staff Rob Magowan isemayo
"Uingereza ipo tiyari kuingia vitani na Urusi usiku wa leo endapo kama Russia itaivamia Ulaya Mashariki.

View attachment 3159183
“Britain is ready to engage Russia tonight if Russian troops invade Eastern Europe” .

What a joke 😂😂
Urusi hii inayotolewa kamasi na Ukraine?
 
Hata mongolia imeshawahi kuitawala asia na baadhi ya nchi ulaya.

Ottoman empire imeshawahi kutawala eneo kubwa tu kibabe.

Hata roma imeshawahi kutawala dunia.

Acha kutuletea historia uingereza hana chochote cha kumfanya mrusi.

Kadiri unavyopigana vita ndivyo unavyozidi kuwa imara na madhubuti na unapata uzoefu mrusi ana uzoefu na vita.

Wabishi wote wa dunia mrusi kawanyonya kamasi kuanzia napolean bonaparte mpaka adolf hitler.

Vita ni pesa uchumi wa Urusi unaingia mara 2 kwa uchumi wa Britain, acheni kuota ndoto, huyu General wa UK sio mpumbavu kama hapo kijiweni mtogole eti hajui Urusi ina uwezo gani akachimba mkwara tu km kimbwa koko cha hapo jalalani kwenu! Mashabiki wa vita mnadhani ni yanga na simba hii
 
Back
Top Bottom