Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Ndio maana ya superpower sasa... Unataka atulie tu nchini kwake... Hata UK enzi zake aliishika almost dunia yote... Hata Spain enzi zileee....si ndiyo hivyo..?Unaanzia wapi kuweka kambi kwenye ardhi ya mataifa mengine?Hujiulizi this is not normal at all. Nammiss Saddam Hussein. Yaani ukikutana na wairaki wakianza kukusimulia maisha enzi za Saddam ni ilikuwa bomba,hao wamarekani walikuwa wanakwenda vacation Iraq.