Uingereza yalaani shambulio la Iran

Uingereza yalaani shambulio la Iran

Anataka kununua ugomvi huyo tushamjua, anatafuta gear ya kuingilia.
Huyo ndio mother of all nations sasa.
Umesahau alikutawala hapahapa miaka mingi na ulishindwa kumtoa hadi akaamua mwenyewe kuondoka?
.
Wahindi hawana hamu nae, Hong Kong wameanza kumtaka tena soon atarudi
 
Hakuna nchi duniani inayojua machungu ya vita kama UK... Sidhqni hata kama ana mpango wa kuingia huko... Ila walishakuwa alarmed wameanza kuandaa navy huko.... Iran asijaribu atapigwa kolabo hiyo atoke nyang'anyang'a..
 
Australia hawa hawa ambao wameshindwa kuzima hata moto unaiwasumbua huko kwao?

Australia yenyewe imeshasema iko tayari kutoa majeshi yake ndani ya Iraq iyarudishe kwao.

dodge
We moto unaujua unausikia.
Moto uliouwa familia ya Stereo Singasinga nchi yako iliweza kuuzima?
.
Nitafute kwa muda wako nikupe elimu juu ya mioto ya kiangazi, mioto inayojitokeza sehemu kame na kwanini huwa ni ngumu kudhibitiwa na kipi kifanyike ili kama ikitokea iwe rahisi kuidhibiti.
.
Tukimaliza nakupeleka Serengeti mwezi may ukaone vyenye si hufanya
 
Hakuna nchi duniani inayojua machungu ya vita kama UK... Sidhqni hata kama ana mpango wa kuingia huko... Ila walishakuwa alarmed wameanza kuandaa navy huko.... Ilan asijaribu atapigwa kolabo hiyo atoke nyang'anyang'a..
Uliataka kumaanisha ILANI au IRAN?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah Australia wameita mpk army reserve kuja kupambana na moto hao wanajeshi wa kupigana na Iran itawatoa wapi,hahah.

Canada imebidi ijaribu kuwasaidia Australia kuzima huo moto maana la sivyo wataisha.

Hao wakizingua unapiga kombora moja tu kwny misitu yao moto unaendelea kwa kasi unawaacha wanazima moto tu hahah.


We moto unaujua unausikia.
Moto uliouwa familia ya Stereo Singasinga nchi yako iliweza kuuzima?
.
Nitafute kwa muda wako nikupe elimu juu ya mioto ya kiangazi, mioto inayojitokeza sehemu kame na kwanini huwa ni ngumu kudhibitiwa na kipi kifanyike ili kama ikitokea iwe rahisi kuidhibiti.
.
Tukimaliza nakupeleka Serengeti mwezi may ukaone vyenye si hufanya



dodge
 
Hawakulaani kwasababu qassim alikua anachukuliwa kama gaidi mvuruga amani, ila wanajeshi wa marekani ni wadumisha amani
 
Hawakulaani kwasababu qassim alikua anachukuliwa kama gaidi mvuruga amani, ila wanajeshi wa marekani ni wadumisha amani
Eti eeeh?
Screenshot_2020-01-06-12-29-31-1.jpeg


dodge
 
Nadhani ulimaanisha ILANI ya chama hapo.
Hakuna nchi duniani inayojua machungu ya vita kama UK... Sidhqni hata kama ana mpango wa kuingia huko... Ila walishakuwa alarmed wameanza kuandaa navy huko.... Ilan asijaribu atapigwa kolabo hiyo atoke nyang'anyang'a..

dodge
 
Back
Top Bottom