Uingereza yarekodi Maambukizi Mapya 54,674 ndani ya saa 24 zilizopita

Uingereza yarekodi Maambukizi Mapya 54,674 ndani ya saa 24 zilizopita

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Uingereza imetangaza kupata maambukizi mapya mengi tangu Januari ambapo yamefikia 54,674 ndani ya saa 24 zilizopita

Aidha, kumerekodiwa vifo 41 ndani ya saa 24 zilizopita vilivyotokana na #COVID19

Hadi sasa Uingereza imetoa chanjo kwa 67.8% ya watu wake.
 
Back
Top Bottom