LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Ni ngumu snaa kukuta wakristo baada ya mwezi wa kwarezma Siku ya pasaka ukute Guest house zimejaa au wana mavurugu yaani huwa wanaishi kwa kutokuwa na maigizo maisha yao huwa ni miezi 12 mtu haishi kinafki yaani akiamua kuwa mwema ni siku zote akiamua kuwa mshenzi basi hana mda wa kuigiza
Waarabu ambao ndio wenye hii dini hasa huko saudi Arabia huwa wana imani kuwa Ramadhan ni miezi yote 12 yaani huwa hata baada ya mfungo hata kama hawafungi basi huendeleza maadili wakiamini kuwa kifo kikija mda wowote ukiwa nje na Ramadhan na ulikuwa zambini basi ni mitoni
Sasa Africa hata hapa Tz utakuta huu mwezi pekee ndio waislam wanatulia, wakuvaa nguo fupi wanajistiri, ila ikifika idi tu Gesti zote zimejaa wanarudi kule kule uasherati miezi 11 alafu mwezi mmoja ndio wanatulia, kwa huu mwendo pepo mtaionq?
Waarabu ambao ndio wenye hii dini hasa huko saudi Arabia huwa wana imani kuwa Ramadhan ni miezi yote 12 yaani huwa hata baada ya mfungo hata kama hawafungi basi huendeleza maadili wakiamini kuwa kifo kikija mda wowote ukiwa nje na Ramadhan na ulikuwa zambini basi ni mitoni
Sasa Africa hata hapa Tz utakuta huu mwezi pekee ndio waislam wanatulia, wakuvaa nguo fupi wanajistiri, ila ikifika idi tu Gesti zote zimejaa wanarudi kule kule uasherati miezi 11 alafu mwezi mmoja ndio wanatulia, kwa huu mwendo pepo mtaionq?