Uislam wa Afrika unanishangaza sana

Uislam wa Afrika unanishangaza sana

Ni ngumu snaa kukuta wakristo baada ya mwezi wa kwarezma Siku ya pasaka ukute Guest house zimejaa au wana mavurugu yaani huwa wanaishi kwa kutokuwa na maigizo maisha yao huwa ni miezi 12 mtu haishi kinafki yaani akiamua kuwa mwema ni siku zote akiamua kuwa mshenzi basi hana mda wa kuigiza


Waarabu ambao ndio wenye hii dini hasa huko saudi Arabia huwa wana imani kuwa Ramadhan ni miezi yote 12 yaani huwa hata baada ya mfungo hata kama hawafungi basi huendeleza maadili wakiamini kuwa kifo kikija mda wowote ukiwa nje na Ramadhan na ulikuwa zambini basi ni mitoni

Sasa Africa hata hapa Tz utakuta huu mwezi pekee ndio waislam wanatulia, wakuvaa nguo fupi wanajistiri, ila ikifika idi tu Gesti zote zimejaa wanarudi kule kule uasherati miezi 11 alafu mwezi mmoja ndio wanatulia, kwa huu mwendo pepo mtaionq?
Umefunga lakini.? Au unasumbua watu tu.
 
Kama huyu mpuuzi yani anatumia uislamu kama kinga.Anapenda kukashifu watu au kuropoka ikifika wakamgeuzia kibao anaanza na haya nyingi kujionesha mtu safi.
Sijui kwa ninu masoud kipanya alimsamehe.
IMG_0769.jpeg
 
Hakika, dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu. Wengi wetu tunapenda sana dini kuliko kumpenda Mungu.
"Mkinipenda mtazishika amri zangu." Yohana 14:15
Wokovu unasema hivi

Kwa maana jinsi hii Mungu alimpenda ulimwengu hata akamtoa mwanae wa pekee ili kila amuaminiye asipotee Bali awe na uzima wa milele


Even hata uwe Gaidi ,dakika ya mwisho ukaamini Yesu ni bwana na mwokozi wa MAISHA yako na anasamehe dhambi zako unatoka mautini na kuingia uzimani kupitia Damu yake iliyomwagika pale msalabani,ukakata roho basi tutakukuta mbinguni


Mfano mzuri yule JAMBAZI pale msalabani

Yule hakuwahi kufata hizo taratibu zenu za dini, hakubatizwa, n.k

Alipomwamini Yesu tu ,akaokolewa


Njoo dini sasa ,imejaa vitisho, taratibu kibao wanataka uzifate ,ukienda against unaitwa muasi ,n.k
 
Wokovu unasema hivi

Kwa maana jinsi hii Mungu alimpenda ulimwengu hata akamtoa mwanae wa pekee ili kila amuaminiye asipotee Bali awe na uzima wa milele


Even hata uwe Gaidi ,dakika ya mwisho ukaamini Yesu ni bwana na mwokozi wa MAISHA yako na anasamehe dhambi zako unatoka mautini na kuingia uzimani kupitia Damu yake iliyomwagika pale msalabani,ukakata roho basi tutakukuta mbinguni


Mfano mzuri yule JAMBAZI pale msalabani

Yule hakuwahi kufata hizo taratibu zenu za dini, hakubatizwa, n.k

Alipomwamini Yesu tu ,akaokolewa


Njoo dini sasa ,imejaa vitisho, taratibu kibao wanataka uzifate ,ukienda against unaitwa muasi ,n.k
Yakobo 1:27 "Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa."
 
Acha uongo mara useme mchaga leo mara mwarabu ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu na kuna warabu wengi tanzania hawajahi fika nchi za kiarabu
Ndio mimi ni mchaga , wapi nimesema ni mwarabu ? Kwamba hizi nchi za uarabuni ni nchi zipo sayari gani mpka mtu ashindwe kufika?

Unaelewa maana ya kinasaba?
Unajua kuwa yemen kuna kilimo cha opium?
 
Yakobo 1:27 "Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa."
Neno lililotumika katika Yakobo 1:27 kwa Kigiriki si "dini" bali ni "Θρησκεία" (Thrēskeía), ambalo linaweza kumaanisha ibada ya kidini, uchaji Mungu, au namna ya kuabudu.

Katika muktadha wa kifungu hiki, "Θρησκεία" inahusu si tu imani ya nje au taratibu za kidini, bali pia maisha ya kiroho yanayoonyeshwa kwa matendo mema kama kusaidia mayatima na wajane na kujitunza mbali na maovu ya dunia.

Katika Kiswahili, tafsiri nyingi hutumia neno "dini", lakini tafsiri inayosisitiza maana halisi inaweza kusema "ibada safi" au "uchaji Mungu ulio safi".
 
Nchi za gulf wageni tu ndo wanarusiwa kunywa pombe na kwa kiwango maaluumu na maeneo yaliyotengwa wenyeji hawarusiwi
🤣🤣🤣 kwamba waarabu hawanyi pombe na kuvuta shisha na heroin, sijakataa kuwa sheria ni kali na zinawabana.
 
Huwa sijui mnawachukuliaje waarabu , kama tu kulivyo Africa ndio na wao wapo hivyo, mateja , makahaba walevi na nk wapo tu tu kama walivyo sehemu nyinginezo.
Ebu mwambie huyo😅😅😅wale kanzu ni mawazo yao wala hawaendi msikiti wengi wao.
 
Africa wahuni ndio wamezidi waarabu wahuni wangetuzidi Rate ya magonjwa ya kuambukiza ingekuwa kubwa elewa hilo
Magonjwa ya kuambukuzwa sio uhuni ni elimu tu ,utekelezaji wa mipango.

Hata kwa bongo viruka njia hawapati magonjwa ni wataalamu ,ila wewe siku ukikosea njia ukachepuka basi umepata Gono..
 
Watanzania ni bigwa wa copying, kibaya tunakopi mabaya zaidi mpaka tunawazidi
 
Kwa kuongezea tu single mother wanaoongoza kila mtoto kuwa na baba yake ni hao hao!
 
Ni mwezi wa Ramadhani ila kuna Waislamu wanakuja sana dukani kwa wife kununua juice,soda, keki, biscuits na cookies. Tuseme wananunua kwa ajili ya jioni? Wananunua soda na juice za baridi ili wazitunze hadi jioni? Uongo mkubwa.

Wateja wangu hawa wameshindwa kufake life. Wameona bora wafakamie misosi tu kuliko kufake life na dini ya ajabu ajabu.
 
Ni ngumu snaa kukuta wakristo baada ya mwezi wa kwarezma Siku ya pasaka ukute Guest house zimejaa au wana mavurugu yaani huwa wanaishi kwa kutokuwa na maigizo maisha yao huwa ni miezi 12 mtu haishi kinafki yaani akiamua kuwa mwema ni siku zote akiamua kuwa mshenzi basi hana mda wa kuigiza


Waarabu ambao ndio wenye hii dini hasa huko saudi Arabia huwa wana imani kuwa Ramadhan ni miezi yote 12 yaani huwa hata baada ya mfungo hata kama hawafungi basi huendeleza maadili wakiamini kuwa kifo kikija mda wowote ukiwa nje na Ramadhan na ulikuwa zambini basi ni mitoni

Sasa Africa hata hapa Tz utakuta huu mwezi pekee ndio waislam wanatulia, wakuvaa nguo fupi wanajistiri, ila ikifika idi tu Gesti zote zimejaa wanarudi kule kule uasherati miezi 11 alafu mwezi mmoja ndio wanatulia, kwa huu mwendo pepo mtaionq?

LICHADI tufanye uko sahihi na unachosema. Umefurahi?
 
Back
Top Bottom