mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hicho ndio kipimo cha imani
Utajuaje kama imani yako ni thabiti ikiwa hupatwi na majaribu?
Kwani mke wako anpompikia mtoto wa miaka minne huwa anapatwa na tamaa ya kula?Mungu pekee ndo anajua imani ya mtu.
Kula mbele ya mwenzio wakati unajua. Amefunga ni dharau
Kwani mke wako anpompikia mtoto wa miaka minne huwa anapatwa na tamaa ya kula?
Au maandalizi ya msosi wa kufuturu si huwa yanafanyika kabla ya muda wa kufuturu, sasa kama wanaweza kujizuia katika mazingira hayo kwanini washindwe pindi wakiona watu wengine wanakula?
Unavyosema sio ustaarabu ni kama kitendo cha mtu kula ni aina fulani ya uchafu kitu ambacho nakiona sio sahihihakuna anayeshindwa kujizuia.
Ila sio ustaarabu kula mbele ya mtu aliyefunga
Turudi katika msingi wa imani Mtume anasema..Kula mbele ya mwenzio wakati unajua. Amefunga ni dharau
Kwahyo leo hii wakristo wa Italia wakiweka sheria hakuna kula hadharani wakati wa kwaresma utaona wametenda haki ?
Sheria lazima ziheshimiwe.
Hata tunachokisema ni kwaba uislamu haujakataza popote watu kula mchana wa ramadhani kwa wale ambao hawalazimiki kufunga.
Hoja yangu ni kuwa sheria hizo zisinasibishwe na uislamu waweke wazi kwamba uislamu haujakataza ila wao ndio wamekataza.Hizo sheria zimeekwa Zanzibar, na wenyewe wazanzibari hawana tatizo nazo kabisa. Wanaolialia ni huku bara. Yani kwa kifupi wao wanatamani kule kuwe kama hapa kwao. kila baada ya nyumba mbili Bar
Unaposema 99 ni waislamu hiyo 1% hawana haki ya kula mchana wakati ilikuwa waachwe tu kwa sababu hiyo 1% haina madhara yoyote hata wakila mchana itaonekana kana kwwmba wote wamefunga tu ?
Hoja yangu ni kuwa sheria hizo zisinasibishwe na uislamu waweke wazi kwamba uislamu haujakataza ila wao ndio wamekataza.
Umeelewa mkuu ?
Ukisema hivi maana yake uislamu haukujua kwamba watu kula mchana kunaweza kukaharibu dini,so watu wameona sasa kula mchana kunaweza kuharibu dini jambo ambalo sio sahihi mkuu.Ni kweli mkuu, Ila Pia hakuna kosa kwenye kujaribu kuprotect mazingira ya Jamii au Dini yasiathiriwe kupitundukia.
Sio kweli mkuu,mtume aliishi na wqsiokuwa waislamu muda mwingi sana na yeye ndiye alikuwa mbora na kinara wa uislamu.Na kama kufuata sheria hasa za uislamu, Wakristo wasingeweza kabisa kuishi kwenye Ardhi za waislamu.
Ni sawa sio tatizo mimi nakubali.Mkuu 1% ni ndogo sana kwenye nchi, na kikawaida watu kama hao hua wameathieika kabisa na mila za hizo dini zenye majority. Wakristo wa Zanzibar wapo tofauti kabisa na wakristo wabara, wengi wao ni kawaida hata kuwaona na baibui na mitandio wamejivisha, Wameathirika sana na mazingira ya kiislamu kiasi ambacho hicho ambacho munakiona tatizo kwao sio tatizo kabisa, Mana toka mababu zao huo ndio mfumo wa maisha Kule Zanzibar. Nahilo si kwa zanzibar tu nchi zote zenye high majority za kiislmau ndio tartibu zake, Nchi za kiarabu zipo zinaishi kwa taratibu hizo.
🤣🤣🤣🤣Hii mada haijaletwa kwa mlengo wa Kuelimisha waislamu
bali imeletwa na muhisika kwa mlengo wa kujipendekeza kwa Makafiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa sio tatizo mimi nakubali.Mkuu 1% ni ndogo sana kwenye nchi, na kikawaida watu kama hao hua wameathieika kabisa na mila za hizo dini zenye majority. Wakristo wa Zanzibar wapo tofauti kabisa na wakristo wabara, wengi wao ni kawaida hata kuwaona na baibui na mitandio wamejivisha, Wameathirika sana na mazingira ya kiislamu kiasi ambacho hicho ambacho munakiona tatizo kwao sio tatizo kabisa, Mana toka mababu zao huo ndio mfumo wa maisha Kule Zanzibar. Nahilo si kwa zanzibar tu nchi zote zenye high majority za kiislmau ndio tartibu zake, Nchi za kiarabu zipo zinaishi kwa taratibu hizo.
Kivipi?Ina maana Quran ilikuja kutengua injili?
Kabla ya kuandika uzi huu nilitegemea pia maoni kama haya kwa sababu waislamu shida yetu ukiongea jambo la kurekebisha vilio kama hivi huwa ni vingiHii mada haijaletwa kwa mlengo wa Kuelimisha waislamu
bali imeletwa na muhisika kwa mlengo wa kujipendekeza kwa Makafiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali fupi tu la kumuuliza huyo anaedai unajipendekeza kwa kwa makafiri je uislamu umemkataza msafiri, mgonjwa, wanawake walio kwenye siku zao, wazee na watoto wadogo kula mgahawani mchana wa siku ya ramadhani?Kabla ya kuandika uzi huu nilitegemea pia maoni kama haya kwa sababu waislamu shida yetu ukiongea jambo la kurekebisha vilio kama hivi huwa ni vingi
Almuhiiim vilio hivyo havina athari yoyote kwangu.