Uislamu na unaweza kuendana na ulimwengu wa kisasa (21st century)?

Uislamu na unaweza kuendana na ulimwengu wa kisasa (21st century)?

Uislamu upo mbele ya dunia mambo yote ambayo unayaonq Leo hii tayari yameongelewa kwenye uislamu

Elon musk mwenyewe anatumiq Islamic technology
Hizi ndege zimeongelewa miaka 1000 kwenye uislamu

So uislamu ni mfumo wa Maisha ya binadamu hayawezi kuwa nyuma daima bro

Achana na ukristo ambayo ni Dini ya kutunga (agano jipya)
Hizo ndege za Elon Musk zimeongelewa aya ipi au hadithi ipi...?
 
Elon musk mwenyewe anatumiq Islamic technology
Hizi ndege zimeongelewa miaka 1000 kwenye uislamu
200w.gif
 
Uhusiano kati ya Uislamu na ulimwengu wa kisasa ni mada tata na yenye utata. Wengine wanasema haya mawili hayana utangamano wowote, huku wengine wakidai kuwa Uislamu unaweza kubadilika na kukua ili kukabiliana na changamoto za ulimwengu wa kisasa.

Nimeona Ukristo unajitahidi kuendana na hii karne. Je, unaaminj Uislam utaweza?

Maana dini yeyote ambayo haiendani na nyakati huwa inakufa (mifano ni mingi sana )

Nini mtazamo wako juu ya hili?
Ukristo ndio hauwezi kuendana na mabadiriko ya ulimwengu ndio maa Papa amependekeza iandikwe Bibilia mpya Ili iendane na mambo ya sasa
 
Ukristo ndio hauwezi kuendana na mabadiriko ya ulimwengu ndio maa Papa amependekeza iandikwe Bibilia mpya Ili iendane na mambo ya sasa
Papa sio kiongozi wa Ukristo, halafu Papa na uislamu ni Pete na kidole

Catholic church ndio waanzilishi wa Uislamu
 
Uhusiano kati ya Uislamu na ulimwengu wa kisasa ni mada tata na yenye utata. Wengine wanasema haya mawili hayana utangamano wowote, huku wengine wakidai kuwa Uislamu unaweza kubadilika na kukua ili kukabiliana na changamoto za ulimwengu wa kisasa.

Nimeona Ukristo unajitahidi kuendana na hii karne. Je, unaaminj Uislam utaweza?

Maana dini yeyote ambayo haiendani na nyakati huwa inakufa (mifano ni mingi sana )

Nini mtazamo wako juu ya hili?
Uislam umepitwa na wakati na si dini ya kuifuata hata kidogo kwani ukiangalia misingi yake imekaa sana kwenye unyanyasaji, ubaguzi, chuki. Huwezi ishi maisha ya karne ya 6 kwa karne hii ya 21, it's just pathetic na ndiyo maana unakuta Waislam wengi hawajitambui na ukiwaambia ukweli kuwafungua macho wanataka kukuuua au kukusomea albadiri uwe kichaa usiseme ukweli.
 
Back
Top Bottom