Hizo ndege za Elon Musk zimeongelewa aya ipi au hadithi ipi...?Uislamu upo mbele ya dunia mambo yote ambayo unayaonq Leo hii tayari yameongelewa kwenye uislamu
Elon musk mwenyewe anatumiq Islamic technology
Hizi ndege zimeongelewa miaka 1000 kwenye uislamu
So uislamu ni mfumo wa Maisha ya binadamu hayawezi kuwa nyuma daima bro
Achana na ukristo ambayo ni Dini ya kutunga (agano jipya)
Elon musk mwenyewe anatumiq Islamic technology
Hizi ndege zimeongelewa miaka 1000 kwenye uislamu
Ukristo ndio hauwezi kuendana na mabadiriko ya ulimwengu ndio maa Papa amependekeza iandikwe Bibilia mpya Ili iendane na mambo ya sasaUhusiano kati ya Uislamu na ulimwengu wa kisasa ni mada tata na yenye utata. Wengine wanasema haya mawili hayana utangamano wowote, huku wengine wakidai kuwa Uislamu unaweza kubadilika na kukua ili kukabiliana na changamoto za ulimwengu wa kisasa.
Nimeona Ukristo unajitahidi kuendana na hii karne. Je, unaaminj Uislam utaweza?
Maana dini yeyote ambayo haiendani na nyakati huwa inakufa (mifano ni mingi sana )
Nini mtazamo wako juu ya hili?
Papa sio kiongozi wa Ukristo, halafu Papa na uislamu ni Pete na kidoleUkristo ndio hauwezi kuendana na mabadiriko ya ulimwengu ndio maa Papa amependekeza iandikwe Bibilia mpya Ili iendane na mambo ya sasa
Uislam umepitwa na wakati na si dini ya kuifuata hata kidogo kwani ukiangalia misingi yake imekaa sana kwenye unyanyasaji, ubaguzi, chuki. Huwezi ishi maisha ya karne ya 6 kwa karne hii ya 21, it's just pathetic na ndiyo maana unakuta Waislam wengi hawajitambui na ukiwaambia ukweli kuwafungua macho wanataka kukuuua au kukusomea albadiri uwe kichaa usiseme ukweli.Uhusiano kati ya Uislamu na ulimwengu wa kisasa ni mada tata na yenye utata. Wengine wanasema haya mawili hayana utangamano wowote, huku wengine wakidai kuwa Uislamu unaweza kubadilika na kukua ili kukabiliana na changamoto za ulimwengu wa kisasa.
Nimeona Ukristo unajitahidi kuendana na hii karne. Je, unaaminj Uislam utaweza?
Maana dini yeyote ambayo haiendani na nyakati huwa inakufa (mifano ni mingi sana )
Nini mtazamo wako juu ya hili?