GeniSys101
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,229
- 1,465
kaaa mnapimwa Covid china 😀😀😀Kuna makundi ya vijana nilikua nayaona Dar yakifanya mazoezi huku wakiimba nyimbo za kupaishana mizuka, jameni mpaka nilikua natamani kujiunga humo, hivi bado wanakimbia, hiyo kwa kweli ningependa Wakenya tuige, sisi huku huwa tunakimbia makundi ila kimya kimya hamna kuimba.