hadi wewe ushajiona kuwa unatumia kalio kufikiria. Badala ya kujibu swali unaongea utumbo. Blalifuu.Kweli wewe bichwa lako limejaa kamasi
Unashabikia mpira kimihemko sana, utakufa kwa preshaNani mjinga asiyekua na akili kwani Nani asiyejua kuwa Kuna mpango unatengenezwa makusudi ili mchezaji wa Simba sc apate kiatu Cha ufungaji Bora?
Kocha wa Polisi Tanzania hutufai katika ligi yetu kutokana na utumbo /njama za wazi zinazofanyika ili hao Mabwana angalau wafute machozi.
Coastal union na Simba sc ni Kama beka na Bakari tu tunajua Nini kitafuata lazima mazingira yatengenezwe ili Saidoo Ntibazonkiza achukue kiatu mbele ya Fistoni kalala Mayele.
Endeleeni kutumia Bahasha Ila waelevu tushajua.hadi wewe ushajiona kuwa unatumia kalio kufikiria. Badala ya kujibu swali unaongea utumbo. Blalifuu.
Hatari mno Tena mno.Aise hii timu ina mbumbubu wengi sana tuishie hpo!
Acheni kujitoa ufahamu kwa kujidai mmeshikwa na uchungu kwa mechi ya Simba.Turudi kwenye mechi ya Yanga na Mbeya City.Pale mlikuwa mnafanya maigizo ya kihindi kuanzia upangaji wa wachezaji,uchezaji hadi ufungaji wa magoli.Msipoteze watu maboya wakati yenu mnayajua.Utopolo ninyi.Wewe unaonaje
Polisi ata wangeshinda mechi walikuwa wanashuka daraja, kwa maana iyo biashara imefanyika maana awakuwa na cha kupoteza, mayele ashafunga hesabu zake na atocheza mechi inayofata kwa sababu tiyali mipango iliyopo ishavuja, kiatu chake cha caf kinatosha kumtofautisha na washambuliaji wote wa tanzania, anabaki kuwa mshambuliaji bora kuwai kutokea na mwenye mafanikio ya kubeba makombePolisi ndiyo walikuwa wanahitaji ushindi kuliko Simba. Kiwango kimeamua mchezo.
Acha ujinga na utoto mpira unachezwa uwanjani siyo chumbani kama unapiga nyetoNani mjinga asiyekua na akili kwani Nani asiyejua kuwa Kuna mpango unatengenezwa makusudi ili mchezaji wa Simba sc apate kiatu Cha ufungaji Bora?
Kocha wa Polisi Tanzania hutufai katika ligi yetu kutokana na utumbo /njama za wazi zinazofanyika ili hao Mabwana angalau wafute machozi.
Coastal union na Simba sc ni Kama beka na Bakari tu tunajua Nini kitafuata lazima mazingira yatengenezwe ili Saidoo Ntibazonkiza achukue kiatu mbele ya Fistoni kalala Mayele.
ulitakaje ndo uwezo wa mchezaji we ungekaa golini sasa udakeKiwango gani mtu mmoja anafunga goli tano ndiyo kiwango??
hao ndo yang`aaYaani watu wasifunge kwa sababu wataonekana wamenunua game. Akili zenye mwiko nyuma hizo.
Mbona hakufanya hivyo dhidi ya Azam na Namungo ili kuleta chachu ya kuwania kombe??ulitakaje ndo uwezo wa mchezaji we ungekaa golini sasa udake
Mleta mada nenda ulale upigwe kamoja.Nani mjinga asiyekua na akili kwani Nani asiyejua kuwa Kuna mpango unatengenezwa makusudi ili mchezaji wa Simba sc apate kiatu Cha ufungaji Bora?
Kocha wa Polisi Tanzania hutufai katika ligi yetu kutokana na utumbo /njama za wazi zinazofanyika ili hao Mabwana angalau wafute machozi.
Coastal union na Simba sc ni Kama beka na Bakari tu tunajua Nini kitafuata lazima mazingira yatengenezwe ili Saidoo Ntibazonkiza achukue kiatu mbele ya Fistoni kalala Mayele.
Hakuna tusi sijasikia mpaka umri huuMleta mada nenda ulale upigwe kamoja.
usijifanye mjinga hata Ronaldo hafungi hattrick kila mechiMbona hakufanya hivyo dhidi ya Azam na Namungo ili kuleta chachu ya kuwania kombe??
NALIA NGWENA the great thinker tayali nimeng'amua Nini kinacho endelea.
Kwa hiyo ntibazonkiza kawa Ronaldo??usijifanye mjinga hata Ronaldo hafungi hattrick kila mechi
heri wewe umesemaKwa hiyo ntibazonkiza kawa Ronaldo??