Ujanja wa kibiashara wa Ally Sykes ulivyosaidia TANU wakati wa kudai uhuru


Jumababu,
Nakushukuru kwa kunisaidia kumrekebisha mwanajamvi mwenzetu.

Wala huna haja ya kunitaka radhi kwani ulofanya ni wajibu wako wa sawa
kabisa.

Naamini kaelewa na keshajua kuwa mjadala watu mnajadili na hamkubaliani
lakini hatoki mtu akamtukana mwenzake kwa kuwa tu hoja zao zimepishana.

Mjadala wa waungwana haumalizikii kwa matusi.

Ahsante sana ndugu yangu.
 

Hata kama natofautiana na baadhi ya hoja zako lakini ww mzee una majibu ya hekima nyingi pia lako ni darasa la dezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…