Ujasiri wa Kocha Juma Mgunda Kuongea Kingereza unawazidi hata wasomi wakubwa nchini

Ujasiri wa Kocha Juma Mgunda Kuongea Kingereza unawazidi hata wasomi wakubwa nchini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kila alipokuwa akipelekewa mic na waandishi wa habari nchini Malawi Kaimu Kocha Mkuu wa Simba SC, Juma Mgunda hakuonyesha kuogopa au kubabaika au kushikwa na kigugumizi cha ghafla bali alikuwa very calm, comfortable and confident na kukizungumza vizuri. Kama mapungufu ni ya kawaida sana ila nilipenda na ameshawashinda mpaka wasomi wetu wakubwa tulionao nchini Tanzania.
 
Kila alipokuwa akipelekewa Mic na Waandishi wa Habari nchini Malawi Kaimu Kocha Mkuu wa Simba SC, Juma Mgunda hakuonyesha kuogopa au kubabaika au kushikwa na kigugumizi cha ghafla bali alikuwa very calm, comfortable and confident na kukizungumza vizuri na kama ni mapungufu ni ya Kawaida sana ila nilipenda na ameshawashinda mpaka Wasomi Wetu Wakubwa tulionao nchini Tanzania.
Teh teh

Mkuu kawazidi wasomi gani wa kwetu

Ova
 
Yule PhD Holder wenu mwana Mama ambaye alishawahi kuwa Waziri wa Education Docket kutokea kwa Watani zangu Washamba wa Kigoma.
Teh teh

Basi mkuu ngoja tuuishie hapa

Si unajua wasije watu wakaanza kukurushia mawe

Ova
 
Kila alipokuwa akipelekewa Mic na Waandishi wa Habari nchini Malawi Kaimu Kocha Mkuu wa Simba SC, Juma Mgunda hakuonyesha kuogopa au kubabaika au kushikwa na kigugumizi cha ghafla bali alikuwa very calm, comfortable and confident na kukizungumza vizuri na kama ni mapungufu ni ya Kawaida sana ila nilipenda na ameshawashinda mpaka Wasomi Wetu Wakubwa tulionao nchini Tanzania.
Yaani na usomi wako unaamini ilo. Mental slave Ni real uisha muona China president,Russian , German,franch wanaongea English kweli.

Iyo Ni lugha usishobokee mno mkuu.
Mbona nakuheshimu sema hapa poti umechemka kiukweli na sauti yako.

Yaani unachukulia like a weapon, kufundisha mpira ama kulinda sehemu sio kuwa Ni English Mana mwizi haibi kwa English. I think you gotcha me nigger
 
Kila alipokuwa akipelekewa Mic na Waandishi wa Habari nchini Malawi Kaimu Kocha Mkuu wa Simba SC, Juma Mgunda hakuonyesha kuogopa au kubabaika au kushikwa na kigugumizi cha ghafla bali alikuwa very calm, comfortable and confident na kukizungumza vizuri na kama ni mapungufu ni ya Kawaida sana ila nilipenda na ameshawashinda mpaka Wasomi Wetu Wakubwa tulionao nchini Tanzania.
Usinikumbe yule msomi marehemu mwenye PhD yake.
Juma Mgunda si tumekubaliana kwama.ni Guardiola mwenye one pack? Au sio?
 
Wachina , wajerumani,wataliano,wafaransa na wajapan mbona hawana mentality kama zetu.

Au ndio utumwa bado umewajaa watu vichwani.
 
Wachina , wajerumani,wataliano,wafaransa na wajapan mbona hawana mentality kama zetu.

Au ndio utumwa bado umewajaa watu vichwani.
Vua chupi, bukta, suruali, singland, soksi, viatu, shati, handkerchief, kofia, acha kutumia simu n.k ubakie hivyo au uvae kanga za urafiki ndo hutokuwa na mentality ya utumwa tena uanze kutembea kwa miguu usipande aina yoyote ya usafiri maana vyote vimetengenezwa nje ya nchi labda utumie ungo wa bibi au NGONGONGO
 
Nilichojifunza kocha Juma Mgunda anapenda kuongea kiingereza! Ila kiingereza chenyewe kama lugha, hakimpendi!

Wakati mwingine ikimpendeza, aongee tu Kiswahili. Hicho Kiingereza awaachie wenyewe.
 
Kiingereza cha kuongea jamani siyo chetu bongo.Tena mbele ya kamera!
 
Back
Top Bottom