Habari wadau wa JF.
Kutokana na kaulimbiu ya nchi yetu ya Tanzania ya Viwanda leo nataka kuwapa funzo/mafunzo ya jinsi ya kutengeneza sabuni za kipande au kufulia.
Jiulize wewe uliyekuwa Katavi, Simiyu, Songea, Songwe, Shinyanga nk mikoa mbalimbali uliwahi fikiria fursa hii kwanini unasubiri sabuni mpaka itoke jijini Dar es salaam, mpaka ikufikie huko wakati hapo ulipo wewe ukiwa tayari unaweza kuanza kudahalisha bidhaa hii muhimu kwa binadamu na kutumia malighafi zinazokuzunguka.
Fikiria sasa jiongeze kibiashara zaidi kwanini unachelewa, hata wenye viwanda vikubwa leo walitoka chini na kufika huku walipofika mpaka unaipata bidhaa huko uliko.
Embu tuone malighafi na vifaa vitumikavyo.
Malighafi za sabuni:
MAFUTA
Asikwambie mtu katika sabuni 80% ni mafuta yenye asili ya kuganda mfano mawese,nazi, mise, nk.
CAUSTIC SODA
Hii ni kemikali inayofanya kazi ya kuibadilisha mchanganyiko wa mafuta na kuwa sabuni sasa na kazi kubwa hii ya kemikali kwenye sabuni ni kuleta povu, kuitakatisha nguo.
SODIUM SILICATE
Kazi ya kemikali katika mchanganyiko wa sabuni yako ni kuondoa muwasho kama utazidisha kiwango cha Caustic Soda hupelekea kuwa kwa sabuni, kemikali hii huondoa muwasho, na kuifanya sabuni kuwa ngumu kutowahi kuisha kwa haraka.
PAFYUM
Hii kaz yake kuleta harufu nzur katika sabuni yako nzuri uliyoitengeneza.
Vifaa vitimikavyo:
• Lazima uwe na pipa, ndoo, chombo kikubwa cha kukorogea sabuni yako.
• Lazima uwe na box la kugandishia sabuni, la chuma au la mbao.
• Unahitaj uwe na meza ya kutatia sabuni yako.
• Nguvu kazi ya kuanzia watu wawili
• Muhuri wa chapa ya sabuni yako kama utahitaji pia.
Katika mchanganyiko wako wa sabuni lazima uendane kwa malighafi zako kwa maana ratio za uchanganyaji wa mafuta, caustic soda nk, ziwe sawa.
Njoo nikufundishe uanze sasa kutengeneza na kupeleka mzigo sokoni. Nakufundisha kwa vitendo hapo hpo ulipo na ikitokea sabuni umeharibika nitakurudishia gharama zako za malighafi
Soko lake ni kubwa kwa maana usambazaji wake katika maduka makubwa mpaka maduka ya mtaani kwako (kwa Mangi).
Chini ni pichaa za baadhi ya wanafunzi ambao niliwafUndisha na kurejesha mrejesho walichokifanya.
Shukran sana, karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokana na kaulimbiu ya nchi yetu ya Tanzania ya Viwanda leo nataka kuwapa funzo/mafunzo ya jinsi ya kutengeneza sabuni za kipande au kufulia.
Jiulize wewe uliyekuwa Katavi, Simiyu, Songea, Songwe, Shinyanga nk mikoa mbalimbali uliwahi fikiria fursa hii kwanini unasubiri sabuni mpaka itoke jijini Dar es salaam, mpaka ikufikie huko wakati hapo ulipo wewe ukiwa tayari unaweza kuanza kudahalisha bidhaa hii muhimu kwa binadamu na kutumia malighafi zinazokuzunguka.
Fikiria sasa jiongeze kibiashara zaidi kwanini unachelewa, hata wenye viwanda vikubwa leo walitoka chini na kufika huku walipofika mpaka unaipata bidhaa huko uliko.
Embu tuone malighafi na vifaa vitumikavyo.
Malighafi za sabuni:
MAFUTA
Asikwambie mtu katika sabuni 80% ni mafuta yenye asili ya kuganda mfano mawese,nazi, mise, nk.
CAUSTIC SODA
Hii ni kemikali inayofanya kazi ya kuibadilisha mchanganyiko wa mafuta na kuwa sabuni sasa na kazi kubwa hii ya kemikali kwenye sabuni ni kuleta povu, kuitakatisha nguo.
SODIUM SILICATE
Kazi ya kemikali katika mchanganyiko wa sabuni yako ni kuondoa muwasho kama utazidisha kiwango cha Caustic Soda hupelekea kuwa kwa sabuni, kemikali hii huondoa muwasho, na kuifanya sabuni kuwa ngumu kutowahi kuisha kwa haraka.
PAFYUM
Hii kaz yake kuleta harufu nzur katika sabuni yako nzuri uliyoitengeneza.
Vifaa vitimikavyo:
• Lazima uwe na pipa, ndoo, chombo kikubwa cha kukorogea sabuni yako.
• Lazima uwe na box la kugandishia sabuni, la chuma au la mbao.
• Unahitaj uwe na meza ya kutatia sabuni yako.
• Nguvu kazi ya kuanzia watu wawili
• Muhuri wa chapa ya sabuni yako kama utahitaji pia.
Katika mchanganyiko wako wa sabuni lazima uendane kwa malighafi zako kwa maana ratio za uchanganyaji wa mafuta, caustic soda nk, ziwe sawa.
Njoo nikufundishe uanze sasa kutengeneza na kupeleka mzigo sokoni. Nakufundisha kwa vitendo hapo hpo ulipo na ikitokea sabuni umeharibika nitakurudishia gharama zako za malighafi
Soko lake ni kubwa kwa maana usambazaji wake katika maduka makubwa mpaka maduka ya mtaani kwako (kwa Mangi).
Chini ni pichaa za baadhi ya wanafunzi ambao niliwafUndisha na kurejesha mrejesho walichokifanya.
Shukran sana, karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app