Ujasusi na uongozi: Mafanikio ya rais Putin katika kuirejesha tena Urusi

EXACTLY CHIFU,
 
Rushwa ikidhibitiwa na tukawa na uzaelendo pia tukiondoa masuala ya uchama( uccm, uchadema, ucuf..) naiman tutapiga hatua kubwa kimaendeleo.

 
Duh!! kama chakubanga na bashite nao ni Tiss ,bas hii taasis iko icu na sio muda itakua mortuary!?bashite tiss?? Chakubanga tiss???
Inasikitisha.huko tiss wanafundisha basi kama product zao ndio hiz??
Taasis gan inayoshindwa kudhibit staff wake?????
 
Kwa lugha nyingine ujasusi ni umbea ila nashangaa watu wanapinga umbea wa aina zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee jamaa fala sana ujue[emoji3][emoji3][emoji23]

Nimecheka kinyamaaa
 
Putin ni namba nyingine alikua na rank ya juu sana kule KGB sasa tutalinganisha vipi na viongozi wa afrika hata kama walikua wamo idarani lakini hawakuwai hata kushiriki/kuratibu/kupafom operation/mission moja ya kibabe na ikawa completed ...
 
Shukrani sana mkuu!
Tuko Pamoja
Mkuu umefunga PM, lakini analysis zako huwa nazielewa sana, natamani nipate uwezo huu japo nusu, niweze kuwa na taarifa za muelekeo wa dunia na niweze kuzichambua. Kama ni vitabu nisaidie, au kama ni link za kusoma haya mambo
 
Tumeanza kuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…