UJASUSI - Nani ni authority halali (Kisheria)?

UJASUSI - Nani ni authority halali (Kisheria)?

Kishimbe wa Kishimbe

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
5,566
Reaction score
5,477
UJASUSI - NANI NI AUTHORITY HALALI(KISHERIA)?
Sakata la kumpata mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo limeibua mambo mengi miongoni mwa kambi pinzani ndani ya chama, ikiwa ni matokeo ya kurushiana makombora Katika jitihada za kila kambi kutaka kuidhoofisha kambi pinzani!

Moja ya vijimambo vilivyoibuka ni hili la kumshambulia mmoja wa wadau wa kambi inayomuunga mkono 'incumbent', Yericko Nyerere, kuwa ni muandishi wa vitabu anayeiba mada za watu mbalimbali mitandaoni na kuziungaunga kupata vitabu ambavyo baadhi ya wadau pinzani sasa wanayaita 'MAKARATASI' wakimaanisha 'SI MALI KITU!'
Wapinzani wake wanadai kwamba, Yericko, ni muandishi 'COPY AND PASTE' na mada za vitabu vyake vyote ni wizi mtupu kiasi wameanza kuwahamasisha watu walioibiwa maandiko yao mitandaoni wamfungulie mashtaka ya kuvunja sheria zinazomlinda mmiliki halali wa ubunifu (sheria za 'COPY RIGHTS')!

SWALI LANGU: Hivi ni nani, hapa Bongo, anayeweza kusema yeye ndiye authority wa hizo mada za vitabu vya ujasusi? ... wote wanatujaza vitu vile vile, mara 'HONEY TRAPS' za MOSSAD, mara 'DEAD AGENTS' wa KGB na upuuzi mwingine,
DECLASSIFIED, tunaosoma kwenye vitabu vya wazungu na kuangalia kwenye 'documentaries' mitandaoni na hata kwenye baadhi ya TV channels!

UNAANZAJE KUMFIKISHA MTU MAHAKAMANI KWA MALI AMBAYO HATA WEWE MWENYEWE NI MWIZI!?
 
UJASUSI - NANI NI AUTHORITY HALALI(KISHERIA)?
Sakata la kumpata mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo limeibua mambo mengi miongoni mwa kambi pinzani ndani ya chama, ikiwa ni matokeo ya kurushiana makombora Katika jitihada za kila kambi kutaka kuidhoofisha kambi pinzani!

Moja ya vijimambo vilivyoibuka ni hili la kumshambulia mmoja wa wadau wa kambi inayomuunga mkono 'incumbent', Yericko Nyerere, kuwa ni muandishi wa vitabu anayeiba mada za watu mbalimbali mitandaoni na kuziungaunga kupata vitabu ambavyo baadhi ya wadau pinzani sasa wanayaita 'MAKARATASI' wakimaanisha 'SI MALI KITU!'
Wapinzani wake wanadai kwamba, Yericko, ni muandishi 'COPY AND PASTE' na mada za vitabu vyake vyote ni wizi mtupu kiasi wameanza kuwahamasisha watu walioibiwa maandiko yao mitandaoni wamfungulie mashtaka ya kuvunja sheria zinazomlinda mmiliki halali wa ubunifu (sheria za 'COPY RIGHTS')!

SWALI LANGU: Hivi ni nani, hapa Bongo anayeweza kusema yeye ndiye authority wa hizo mada za vitabu vya ujasusi? ... wote wanatujaza vitu vile vile, mara 'HONEY TRAPS' za MOSSAD, mara 'DEAD AGENTS' wa KGB na upuuzi mwingine, DECLASSIFIED, tunaosoma kwenye vitabu vya wazungu na kuangalia kwenye 'documentaries' mitandaoni na hata kwenye baadhi ya TV channels!

UNAANZAJE KUMFIKISHA MTU MAHAKAMANI KWA MALI AMBAYO HATA WEW MWENYEWE NI MWIZI!?
Actually,
kua muandishi wa vitabu na makala Lazima uwe msomaji wa mambo mballimbali ikiwa ni pamoja na kwenye mitandao ya kijamii na vitabu vya wengine.

nadhani ni umaskini wenye gubu binafsi tu zinawafukuta watu mioyoni mwao, dhidi ya wale wanaofanya vizuri na waliofanikiwa.

hata hivyo,
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi hawezi kamwe kushinda uchaguzi na kua mwenyekiti wa Chadema Taifa 🐒
 
IMG_7654.jpeg


We take literature easy, like seriously huyu Yericko Nyerere anaweza andika kitabu cha economic sabotage wakati hana hata credentials za uchumi?


View: https://m.youtube.com/watch?v=4f9V-8BHONo

Sikiliza hiyo interview ya ‘Neil deGrasse Tyson’ na ‘Kip Thorne’ ambae alikuwa ni executive producer wa filamu ya ‘interstellar’ he (also a theoretical physicist by profession) wakiulizana maswali ya uhalisia wa science kwenye kutengeneza hiyo move on how much is scientific fact.

Kabisa unaamini Yericko ambae hajui hata comparative advantages za uchumi wa Tanzania anaweza andika meaningful book ya maswala ya ujasusi wa kidola.

Wakati hiyo ni kazi ya serious analyst ambae kasoma economics, anafuatilia sera za Tanzania na kimataifa.

Taahira kama Yericko Kweli anaweza andika kitabu na wewe kabisa ukanunua, kusoma na ukaamini utajifunza kitu.

IMG_7655.jpeg


Huyo bwana waingereza watakwambia ni mchumi tu, kapanda kwenye civil services. Hajawaji kuwa mkurugenzi wa MI5 au MI6.

Iła alikuwa katibu mkuu, ukitaka kujua katibu mkuu ni head of civil services kwanini tafuta interview zake. Akuelezee alivyokuwa spy wa ngazi ya chini katupwa huko Ukraine kwenye waasi zama za USSR, jamaa wenyewe wanalewa kutwa. Kwenda nao sambamba na wewe inabidi ulewę huku utunze siru na kupeleka umbea ukikosea tu maiti.

Unacheza wewe, ukisikia katibu mkuu kiongozi huko kwa waingereza. Unadhani ni usalama wa mzaha au vyombo vya ulinzi vinaripoti kwake bure kwanza kabla ya kwenda kwa wengine (ni usalama proper).

Yericko Nyerere ataandika kitabu cha usalama, get serious. Unadhani hao wasomaji wengine duniani ni wapuuzi kama sisi au hao wanaompa tuzo za ujinga.
 
View attachment 3188479

We take literature it’s easy, like seriously huyu Yericko Nyerere anaweza andika kitabu cha economic sabotage wakati hana hata credentials za uchumi?


View: https://m.youtube.com/watch?v=4f9V-8BHONo

Sikiliza hiyo interview ya ‘Neil deGrasse Tyson’ na ‘Kip Thorne’ ambae alikuwa ni executive producer (also a theoretical physicist by profession) wakaulizana uhalisia wa science kwenye kutengeneza hiyo move on how much is scientific fact.

Kabisa unaamini Yericko ambae hajui hata comparative advantages za uchumi wa Tanzania anaweza andika meaningful book ya maswala ya ujasusi wa kidola.

Wakati hiyo ni kazi ya serious analyst ambae kasoma economics, anafuatilia sera za Tanzania na kimataifa.

Taahira kama Yericko Kweli anaweza andika kitabu na wewe kabisa ukanunua.

View attachment 3188485

Huyo bwana waingereza watakwambia ni mchumi tu, kapanda kwenye civil services. Hajawaji kuwa mkurugenzi wa MI5 au MI6.

Iła alikuwa katibu mkuu, ukitaka kujua katibu mkuu ni head of civil services kwanini tafuta interview zake. Akuelezee alivyokuwa spy wa ngazi ya chini katupwq huko Ukraine kwenye waasi zama za USSR, jamaa wenyewe wanalewa kutwa. Kwenda nao sambamba na wewe inabidi ulewę huku utunze sio ukikosea maiti.

Unacheza wewe, ukisikia katibu mkuu kiongozi huko kwa waingereza. Unadhani usalama ni usalama wa mzaha na vyombo vya ulinzi vinaripoti kwake kwanza kabla ya kwenda kwa wengine (ni usalama proper).

Yericko Nyerere ataandika kitabu cha usalama, get serious. Unadhani hao wasomaji wengine duniani ni wapuuzi kama sisi na hao wanaompa tuzo.

ASANTE MKUU!
... kuna watengenezaji wa bidhaa halisi na watengeneza midoli, wote waheshimiwe!
Yericko Nyerere ana kazi moja tu, ... kututafsiria sisi waswahili huo ujasusi ili tuambuliepo mawili matatu, sisi ambao hatuna malengo ya kujipatia PHD za somo husika!
 
ASANTE MKUU!
... kuna watengenezaji wa bidhaa halisi na watengeneza midoli, wote waheshimiwe!
Yericko Nyerere ana kazi moja tu, ... kututafsiria sisi waswahili huo ujasusi ili tuambuliepo mawili matatu, sisi ambao hatuna malengo ya kujipatia PHD za somo husika!
Ni sawa na kwenda jukwaa la biashara unakutana na mada inauliza Kenya mutual fund inalipa 25% na Tanzania inalipa 18%.

For starters mutual funds ina investments tofauti umewekeza wapi? Yaani upuuzi unaona mwanzo tu kama una akili zako timamu hiyo mada hata sio ya kusoma.

It’s a lot, kwa uelewa wa Yericko kuhusu maswala ya biashara kwa mwelevu hawezi soma kitabu chake.
 
Ni sawa na kwenda jukwaa la biashara unakutana na mada inauliza Kenya mutual fund inalipa 25% na Tanzania inalipa 18%.

For starters mutual funds ina investments tofauti umewekeza wapi? Yaani upuuzi unaona mwanzo tu kama una akili zako timamu hiyo mada hata sio ya kusoma.

It’s a lot, kwa uelewa wa Yericko kuhusu maswala ya biashara kwa mwelevu hawezi soma kitabu chake.
... siri ya mafanikio ya biashara ni kulifahamu soko!
Kuna watu hapa mjini, bila mtaji wowote, anaenda soko kuu, kwa mfano, anajiokoteza nyanya 'reject' na jioni utamkuta barabarani Manzese akijikusanyia maokoto, ... hawezi kuuza bidhaa yake supermarket lakini anasomesha watoto! 🤣
... Yericko Nyerere ni genius wa UTAFUTAJI, kama sio UCHUMI! ... sisi, waswahili, wenye shauku la kuwajua majasusi tunapata njia ya mkato ya kupata 'MATERIALS' za ujasusi!
 
Kitalaamu ukichukua idea ya mtu bila acknowledgement na ukaweka kwenye kitabu chako hiyo inaitwa "plagiarism," academically hiyo ni kosa kubwa sana, kama ni kweli yeriko alicite idea ya mtu bila kufanya kuacknowledge, yeriko anakosoa sifa za kuatwa mwandishi bora wa afrika, hata hizo tunzo zake ,kama itahibika pas na shaka kuwa alikopi na kupest bila kuacknowledge,inatakiwa apokonywe tunzo zote alixowai kupewa.
 
... siri ya mafanikio ya biashara ni kulifahamu soko!
Kuna watu hapa mjini, bila mtaji wowote, anaenda soko kuu, kwa mfano, anajiokoteza nyanya 'reject' na jioni utamkuta barabarani Manzese akijikusanyia maokoto, ... hawezi kuuza bidhaa yake supermarket lakini anasomesha watoto! 🤣
... Yericko Nyerere ni genius wa UTAFUTAJI, kama sio UCHUMI! ... sisi, waswahili, wenye shauku la kuwajua majasusi tunapata njia ya mkato ya kupata 'MATERIALS' za ujasusi!
Umeiweka kwa ufasaha zaidi.

That’s the point
 
Back
Top Bottom