Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
- Thread starter
- #21
Kitalaamu ukichukua idea ya mtu bila acknowledgement na ukaweka kwenye kitabu chako hiyo inaitwa "plagiarism," academically hiyo ni kosa kubwa sana, kama ni kweli yeriko alicite idea ya mtu bila kufanya kuacknowledge, yeriko anakosoa sifa za kuatwa mwandishi bora wa afrika, hata hizo tunzo zake ,kama itahibika pas na shaka kuwa alikopi na kupest bila kuacknowledge,inatakiwa apokonywe tunzo zote alixowai kupewa.
Ngoja tuone!Kitalaamu ukichukua idea ya mtu bila acknowledgement na ukaweka kwenye kitabu chako hiyo inaitwa "plagiarism," academically hiyo ni kosa kubwa sana, kama ni kweli yeriko alicite idea ya mtu bila kufanya kuacknowledge, yeriko anakosoa sifa za kuatwa mwandishi bora wa afrika, hata hizo tunzo zake ,kama itahibika pas na shaka kuwa alikopi na kupest bila kuacknowledge,inatakiwa apokonywe tunzo zote alixowai kupewa.
🤣
Cc: