comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,950
Daah aisee kazi kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa ndio huyu Faiznakumbuka kuna tukio moja lilitokea 2014 pale malindi kuna jamaa alikuwa spy wa serikali akajipenyeza ndani ya alshabaab, walipomshtukia walimtenganisha kichwa na kiwiliwili tena ilikuwa asubuhi ya saa tatu kama skosei
basi kama ndio huyo nilikuwepo eneo la tukio broItakuwa ndio huyu Faiz
Maana huyu faiz aliuliwa 2014 malindi kwa kutenganishwa kichwa na kiwili wili
Unamfahamu kwaniaisee kumbe huyo mzee alikuwa informer wa fbi
Ni kweli kabisa uliyosema usaliti siyo kitu kizurKimsingu hapo unaweza kujiuliza hao al-shabab walijuaje kuwa mshikaji ni double agent?
Inawezekana FBI walimpenyeza mwingine apate kuaminiwa kwa kumchoma hao washikaji
Zambi ya usaliti haijawah kumuacha mtu salama
upo sahihi mkuuIla Westgate saga ni 2013 na sio 2012
We Malaya kweli,unaquote Uzi wote afu unakuna comments matapishi,Devil is calling your ass.Vvfiff829f6ff9
7fgdzsxee
Hfxed6[emoji53]'÷dx'
Kazi ngumu sana hizi kubadilikana kuko nje nje!Kuwa mtoa taarifa ya mashirika ya kijasusi ni kazi ngumu sana na mara chache kukuta informants wanakoswa kueleweka kwa muda wao wote wa utumishi.
Na kigezo kikubwa kinachohitajika ni lazima uweze kuwasaliti unaotenda nao mission.
Nimeona kupitia bbc swahili waingereza wamekasilishwa sana uchunguzi unaendelea.Naomba utuelimishe na yanayojiri UK na mrusi maana mpaka sasa wameisha uwawa 14 wote wakiwa wapinzani na spies waliohamia UK
Hii ni soft war baina yao